Biography yake insta tu kaweka hadi link ya kupigiwa kura, na anakumbushia sana tu kwa kuomba.. Nadhani tatizo lilikuwa kujipanga kulijibu hilo swali..
Next time ni kufanya kazi nzuri, na kuhakikisha inafika mbali atapata tuzo tu!!! Angepata na msaada ki ukaribu zaidi kwa King of Afropop
Next time ni kufanya kazi nzuri, na kuhakikisha inafika mbali atapata tuzo tu!!! Angepata na msaada ki ukaribu zaidi kwa King of Afropop