Mwambangoma huvutia kwake... Cha muhimu kama unamapenzi ya dhati kwa kiba, mumkomalie atafute management ya maana itayomfanya apige hatua, hata AY ni manager mzuri sana...
Vanessa mafanikio yote anayopata hana management ni kujiongeza ye mwenyewe.. Alikiba ni mzito sana kujiongeza, suala hata la kuwafollow watu insta haikutakiwa kuwa suala la kupigiwa makelele sana na watu (mpaka staa mwenzako anakuomba umfollow afu unapotezea? kwa lipi hasa?) suala la kutoa ngoma kwa wakati, kujitangaza kama brand (lakini wengine ndio wanaishia kusifu ujinga kwamba hana mkuu ni ushenzi, kwa staili hiyo atasahau kulipwa hata asilimia 30% ya anayolipwa diamond kwa show moja)
Ukiwa bora, shabiki ataelewa tu!! kabla ya diamond nilikuwa kwa kiba mzimamzima, sasahivi kaja chibu dangote sina tatizo....
The winning team, matumaini peleka angaza,