Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,592
- 2,381
Tuliokua Jana ukumbini au tunafatilia kwenye mitandao show nzima ya alikiba" Funga mwaka na king kiba" tulete mrejesho.
Nakiri tu kwamba alikiba ni talented professional musician na atabaki kuwa hivyo forever yeye na kundi lake
Kiukweli show ilipendeza watu walikuepo wa kutosha sana ,show ilikua ya kibabe na kizazi zaidi!
Kiukweli alikiba hastaili kulinganishwa na msanii yoyote hapa bongo.
Cha mwisho nilichogundua ni kwamba " alikiba hashindani na mtu ila watu ndo wanashindana na mziki wake'
Karibuni mlete mrejesho wa hiyo kabambee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakiri tu kwamba alikiba ni talented professional musician na atabaki kuwa hivyo forever yeye na kundi lake
Kiukweli show ilipendeza watu walikuepo wa kutosha sana ,show ilikua ya kibabe na kizazi zaidi!
Kiukweli alikiba hastaili kulinganishwa na msanii yoyote hapa bongo.
Cha mwisho nilichogundua ni kwamba " alikiba hashindani na mtu ila watu ndo wanashindana na mziki wake'
Karibuni mlete mrejesho wa hiyo kabambee
Sent using Jamii Forums mobile app