Alikiba Punguza Uongo

Alikiba Punguza Uongo

Kufollow back ni uamuzi binafsi soo tulizana kama maji ya mtungi. Hajafollow nduguze wewe nani?
 
Mimi siyo shabiki wa Ali Kiba lakini huu uzi ni wa kipuuzi sana. Sidhani kama muanzisha uzi yupo vizuri kwa makuzi.
 
Niaje washkaji zangu.
Leo kuna kitu kimenijia ghafla kichwani baada ya kutembelea "akaunti'' ya insta ya Kiba. Nilitegemea nitakuta ametekeleza ahadi yake ya kuwafollow mashabiki zake lakin nikakuta kama kawaida hajamfollow mtu. Nashindwa kumuelewa huyu jamaa sijui huwa anaropoka ili kumpa faida nani.? mana tukianza kuhesabu ahadi alizotuahidi mashabiki ni nyingi kiasi cha kwamba kwa ahadi za kolabo hewa tu zinaweza kutengeneza "albamu" nzima. napenda kuchukua nafasi hii kumuambia kwamba awe makini katika kauli zake na sisi watanzania sio wajinga kila siku kutoa ahadi kwa mambo usiyo na uwezo wako. #Growup
Nawasilisha
Kwani umepungukiwa nin? na akikufollow utapata nn? sasa si ukalalamie huko insta, kama kukufollow kashindwa so unadhani humu utapata msaada gan kwa wanajamvi? unataka tukamfate kwake tumwambie akufollow back au? hili ni jukwaa la great thinkers jaman hata kama ni celebrities forum bt mada yako iwe ya ki great thinker kweli, tena inaonyesha umeumia sana from your heart, upo kwenye usingizi mzito, I guess had ukija kuamka it will be too late, take care budy.
 
Mimi siyo shabiki wa Ali Kiba lakini huu uzi ni wa kipuuzi sana. Sidhani kama muanzisha uzi yupo vizuri kwa makuzi.
Hadi wewe umeliona hili basi jamaa ni mbugila aliyetukuka.
 
Kwani umepungukiwa nin? na akikufollow utapata nn? sasa si ukalalamie huko insta, kama kukufollow kashindwa so unadhani humu utapata msaada gan kwa wanajamvi? unataka tukamfate kwake tumwambie akufollow back au? hili ni jukwaa la great thinkers jaman hata kama ni celebrities forum bt mada yako iwe ya ki great thinker kweli, tena inaonyesha umeumia sana from your heart, upo kwenye usingizi mzito, I guess had ukija kuamka it will be too late, take care budy.
asante kwa maoni. tuma salamu kwa watu watatu
 
Niaje washkaji zangu.
Leo kuna kitu kimenijia ghafla kichwani baada ya kutembelea "akaunti'' ya insta ya Kiba. Nilitegemea nitakuta ametekeleza ahadi yake ya kuwafollow mashabiki zake lakin nikakuta kama kawaida hajamfollow mtu. Nashindwa kumuelewa huyu jamaa sijui huwa anaropoka ili kumpa faida nani.? mana tukianza kuhesabu ahadi alizotuahidi mashabiki ni nyingi kiasi cha kwamba kwa ahadi za kolabo hewa tu zinaweza kutengeneza "albamu" nzima. napenda kuchukua nafasi hii kumuambia kwamba awe makini katika kauli zake na sisi watanzania sio wajinga kila siku kutoa ahadi kwa mambo usiyo na uwezo wako. #Growup
Nawasilisha
MBONA MAGU ALITUHAIDI MASHABIKI ZAKE AHADI AMBAZO KWA AKILI YA KAWAIDA TU UNAJUA KUWEZEKANA NI VIGUMU "ELIMU MPAKA LEO BADO TUNAICHANGIA" LAKIN HUJATOA UZI WA KUMUITA MUONGO AU MTOA AHADI ZISIZO NDANI YA UWEZO WAKE,
HII SPIRIT YA UONGO NI LAANA NIMEACHIWA TUKARITHISHWA NA TUNAIENDELEZA,
 
Niaje washkaji zangu.
Leo kuna kitu kimenijia ghafla kichwani baada ya kutembelea "akaunti'' ya insta ya Kiba. Nilitegemea nitakuta ametekeleza ahadi yake ya kuwafollow mashabiki zake lakin nikakuta kama kawaida hajamfollow mtu. Nashindwa kumuelewa huyu jamaa sijui huwa anaropoka ili kumpa faida nani.? mana tukianza kuhesabu ahadi alizotuahidi mashabiki ni nyingi kiasi cha kwamba kwa ahadi za kolabo hewa tu zinaweza kutengeneza "albamu" nzima. napenda kuchukua nafasi hii kumuambia kwamba awe makini katika kauli zake na sisi watanzania sio wajinga kila siku kutoa ahadi kwa mambo usiyo na uwezo wako. #Growup
Nawasilisha
nifollow mimi nitakufollow back
 
Niaje washkaji zangu.
Leo kuna kitu kimenijia ghafla kichwani baada ya kutembelea "akaunti'' ya insta ya Kiba. Nilitegemea nitakuta ametekeleza ahadi yake ya kuwafollow mashabiki zake lakin nikakuta kama kawaida hajamfollow mtu. Nashindwa kumuelewa huyu jamaa sijui huwa anaropoka ili kumpa faida nani.? mana tukianza kuhesabu ahadi alizotuahidi mashabiki ni nyingi kiasi cha kwamba kwa ahadi za kolabo hewa tu zinaweza kutengeneza "albamu" nzima. napenda kuchukua nafasi hii kumuambia kwamba awe makini katika kauli zake na sisi watanzania sio wajinga kila siku kutoa ahadi kwa mambo usiyo na uwezo wako. #Growup
Nawasilisha
mkuu ulifanikiwa kupata mke msabato/muislam?
 
Ktk list ya watu ataowafollow bahati mbaya jina lako halipo.
 
Back
Top Bottom