brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Mkali wa bongo fleva Alikiba au King Kiba akiongea kwenye kipindi cha Jahazi clouds fm amesema management yake inafuatilia kujua vigezo gani vilitumika kupata mshindi wa mtv ema iliyotelewa jana huku Wizkid akitangazwa mshindi wa Best african act.
Alikiba anasema alipata kura za kutosha kumuwezesha kushinda lakini imekuwa tofauti, huku mashabiki wake pia wakilalamika kupokwa ushindi
Alikiba pia amesema atafanya show ya kufungia mwaka kama kawaida huku akianzia mikoani.
Alikiba anasema alipata kura za kutosha kumuwezesha kushinda lakini imekuwa tofauti, huku mashabiki wake pia wakilalamika kupokwa ushindi
Alikiba pia amesema atafanya show ya kufungia mwaka kama kawaida huku akianzia mikoani.