Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli,ila ajabu kuu ni pale watu wanapo -overlook utata uliopo Kwenye hizi tuzo na kumkandia alikibaKwenye ukweli bora tuseme tu, kila mtu ana mapungufu yake, kiba ana mapungufu kama binadamu ila anapostahili support wacha apewe tu, hawa mtvema wameonesha udhaifu sana kwenye kumtangaza mshindi kwenye kipengele cha Alikiba, vipengele vingine wote waliokuwa wanaongoza kura ndio walioshinda tuzo na muda wa kupiga kura ulipoisha kila mshindi kuna alama ya tuzo aliwekewa kwa mbele ya picha yake, imefanyika hivo kwa washindi wote na ile alama ilikuwepo kwa Alikiba pia
ila akaja kutangazwa wizkid tena yeye akatangazwa na mtvmama badala ya ema na pia akawa na cover tofauti na zile za washindi wenzie kama kina justin, drake na kama hiyo haitoshi baada ya team kiba kualalamika sana kwenye page ya mtvema ikabidi ile alama ya ushindi waitoe kwa Alikiba na kuiweka kwa wizkid ili kuweka mambo sawa ila baada ya muda wa kama nusu saa wakairudisha tena kwa Alikiba hadi hapo mtu ukitoa chuki za kike na zakitoto lazima utaona hawa jamaa wameboronga
Nakumbuka mwaka jana wakati tunabeba hizi tuzo kupitia kwa Diamond, tulipotoka kushinda best African act ndo akachaguliwa kwenda kwenye best worldwide act na tulipiga kura kwa siku kadhaa hadi pale Diamond alipoibuka mshindi tena kwenye best worldwide act, ila cha ajabu kwa wizkid tuzo zote best African act na best worldwide act ameshinda ndani ya siku moja kweli jamani????
Ata kama humpendi kiba ila weka chuki pembeni basi ata kwa muda tu na tuongelee utata wa hizi tuzo kwa mwaka huu
Aisee umenifurahisha sana mwenzie hata akikosaga humsikii ng'o akilalamikahuyu naye sasa apewe na tuzo ya kulalamika!!!,uwezo wake ni wa mchangani anataka kujilinganisha na wa kimataifa
mwambien mchezoo huu hauhitaji hasiraNapenda mziki wa kiba ananiboa sana anavyopenda kulalamika vitu vingine unapiga kimya tu
tatizoooo nyotaaaa mbona mond alishawaambia kitambo au mnaboa banaKiukweli jamaa wamechemka sema wabongo wengi wanaroho mbaya yan mtu anaina bora mbongo mwenzake akose eti sababu ya miteam, Kama uliingia asubuhi mpaka mida ya saa saba mchana kwenye web ya mtvema yenye washindi kulikuwa kuna alama ya mstari mwisho kwa huo mstari kuna nembo ya mtv kwenye category zote. So kwa best african act hiyo alama ilikuwa ipo kwa kiba sasa walipo chemka baada ya watu kuandika sana wakahamisha kale kamstari wakakipeleka kwa wizzy kile kimstari kilivyotolewa kikaondoka na kura za kiba baadae wakakirudisha kwa kiba mwisho wakatoa kabisa!! Tatizo nini??
DuhMimi niko pamoja na wewe Kiba, usikubali hivi hivi tu. Kama vipi nenda nao mpaka mahakamani
Sema tuzo zenyewe zengwe jingi ndomana zinachanganya watu Jana kuna icon iliwekwa kwa kila mshindi kwenye kila categorie na kiba ilionyesha ameshinda picha hizi![]()
![]()
![]()
Aisee umenifurahisha sana mwenzie hata akikosaga humsikii ng'o akilalamika
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu achana na hizi siasa chafu za bongo[emoji38]utapata Ulcers bure kwa stress....unadhani sisi tunang'ang'ana na hili jukwaa la Celebrities tunapenda sasa?!heri huku kuna amani kuliko kule[emoji23][emoji23]...Jecha usimuwaze sana utakonda[emoji23][emoji23]Kiukweli huwa siwapendi kabisa wasanii wengi wa Bongo hususani Ali Kiba, lakini katika hili nitamtetea kabisa, Kiukweli Ali Kiba ameonewa. Sioni mantiki kwanini ashindane vizuri na watu wampigie kura kwa wingi kuliko wengine wote halafu mwisho wa siku mshindi awe mwingine.
Sijaona tofauti kati ya MTV na Jecha wa Zanzibar.