Kama vigezo ni kura tu diamond platnumz angekuwa tayari kashachukuliwa BET na tuzo MTV mama mwaka huu, wenzetu Kuna kitu extra wanakitazama, mtv mama wana panel (mmoja ya watu wanaounda panel bdozen, na ndio maana kila award zikifanyika lazima asafiri), Ukija MTV EMA mtu kama wizkid mwaka huu wake, one dance imefanya vizuri kuanzia marekani mpaka ulaya, mama cita tinnie tempah ft wizkid unakimbiza inchi za ulaya, shabba imeingia A list radio one extra ya uingereza, alikuwa na tour ya ulaya aliyofanya na cris brown (MTV EMA ni kwa ajili ya nchi za ulaya) sasa mnashangaa nn wizkid kushinda, kama kigezo kura nina uhakika black coffee asingechukua BET mwaka huu na tuzo ingekuwa ya platnumz, mimi kama ningekuwa kiba Namshauri aipotezee hii ishu inaweza ikamwaribia upande wa promotion wa nyimbo zake ktk kituo cha mtv, aachane nayo, kama mwenzake platnumz .