Kiba nae aache unafiki, si alisema hana mpango na awards, alafu wanafuatilia category ipi maana maana kama wiz kid alikuwapo ktk hiyo category wala hamna mchawi hapo. Zile alizoshindanishwa na Mond, Mond kamzidi kiba kwa mashabiki, kama ni suala la popular votes Mond fanbase yake ni kubwa!Mkali wa bongo fleva alikiba au king kiba akiongea kwenye kipindi cha jahazi clouds fm amesema management yake inafuatilia kujua vigezo gani vilitumika kupata mshindi wa mtv ema iliyotelewa jana huku Wizkid akitangazwa mshindi wa Best african act.
Alikiba anasema alipata kura za kutosha kumuezesha kushinda lakini imekuwa tofauti, huku mashabiki wake pia wakilalamika kupokwa ushindi
View attachment 430571
Alikiba pia amesema atafanya show ya kufungia mwaka kama kawaida huku akianzia mikoani
View attachment 430573
Nimetoka kapa ebu rudia tena maelezo yakoNina idea kidogo jinsi MTV (various awards) wanavyopata washindi wao! Ninaposema "various awards" kwa sababu MTV wana awards mbalimbali kama vile MTV MAMA, MTV Korea, MTV EMA, MTV Video Awards n.k!
Miongoni mwa wote hao, ni MTV EMA ndio wana utaratibu mzuri kupita wote! Majority ya awards zinazotolewa na MTV, Sponsor ndie ana Final Say. Kinyume chake, MTV EMA ni MTV EMA wenyewe ndio wana final say! Watu walishindwa kumuelewa Eddy Kenzo na tukahitimisha kuona ni hasira za kukosa tuzo lakini ni kweli, ukiondoa MTV EMA, tuzo nyingi za MTV sponsor ndie anashika mpini!
Nina idea kidogo jinsi MTV (various awards) wanavyopata washindi wao! Ninaposema "various awards" kwa sababu MTV wana awards mbalimbali kama vile MTV MAMA, MTV Korea, MTV EMA, MTV Video Awards n.k!
Miongoni mwa wote hao, ni MTV EMA ndio wana utaratibu mzuri kupita wote! Majority ya awards zinazotolewa na MTV, Sponsor ndie ana Final Say. Hata kama umeona kura na unaongoza kwa 99%, hutakiwi kufurahi hadi siku mshindi anapatikana manake Sponsor manake mwisho wa siku Sponsor anaweza kusema "NO!"
Kinyume chake, kwa MTV EMA, ni MTV EMA wenyewe ndio wana final say... hapa hakuna commercial interests zinazoweza kutokea kwenye MTV Awards zingine!
Kiba sema nyota yake mbaya basi kila baya ni lake.....mi nimesikiliza mwanzo aliyeanza kumhoji kamwambia mashabiki wanashangaa kwann hakushinda wakati alikua na kura nyingi...ndio akajibu kuwa menejiment yake inafatilia....aliyeonyesha kulalamika ni mtangazi mwenyeweNapenda mziki wa kiba ananiboa sana anavyopenda kulalamika vitu vingine unapiga kimya tu
Wapi hapajaeleweka ndugu?Nimetoka kapa ebu rudia tena maelezo yako
Hiyo screenshot ni ya Instagram, Facebook; au?! But all in all, narudia... utaratibu wa MTV EMA upo wazi sana! Kwenye Standard Voting Rules za MTV EMA, wamesema wazi kwa zile categories ambazo winner anakuwa declared kwa kura; ni wao MTV EMA ndio wata-tabulated kura na kutangaza mshindi! Aidha, wamesema wazi kwamba endapo ANYTIME wakiona palikuwa na udanganyifu katika zoezi la upigaji kura (wametoa aina ya udanganyifu), basi MTV EMA wana haki ya kufuta kura hizo na kutangaza mshindi wanaeona wao kwamba alistahili!Kaka naomba maelezo ya hiyo