Umetoa bonge la wimbo, 'Mahaba'. Ni booonge la wimbo, HAKUNA UBISHI. Views zinapanda tu bila kushuka mwezi wa tatu huu sasa. Ingawa shooting si bora (kwa mtazamo wangu lakini watu wameipenda hivyo hivyo).
Badala ya kutulia kidogo kwa muda ili utuletee kitu zaidi ya kile au ikishindikana basi kifanane nacho, unakurupuka na kuja kutuletea huu wimbo wa 'on fire' ambao hauna maajabu yoyote ukilinganisha na 'mahaba'. Ulichopatia ni shooting tu basi lkn ladha ya nyimbo si ipo chini sana. Una haraka ya nini?!!! Unakimbilia wapi?!!! Wewe asili yako ni utulivu, kuwa mtulivu. Tathmini tu nyimbo ambazo ulizitoa baada ya muda mrefu zilikuaje.
Usijiweke kundi la konde boy ambaye; anatoa nyimbo yenye jina linalotisha, 'ZANZIBAR', lkn ukiisikiliza nyimbo yenyewe unaweza kumfuata jukwaani mkapigane. Unapotumia jina kama hilo, alitakiwa ajipange nyimbo iendane na mvumo wa wa eneo lenyewe.....kama ya yule msouth afrika inayoishi mpaka leo.
Ali umetukera sana mashabiki.
Badala ya kutulia kidogo kwa muda ili utuletee kitu zaidi ya kile au ikishindikana basi kifanane nacho, unakurupuka na kuja kutuletea huu wimbo wa 'on fire' ambao hauna maajabu yoyote ukilinganisha na 'mahaba'. Ulichopatia ni shooting tu basi lkn ladha ya nyimbo si ipo chini sana. Una haraka ya nini?!!! Unakimbilia wapi?!!! Wewe asili yako ni utulivu, kuwa mtulivu. Tathmini tu nyimbo ambazo ulizitoa baada ya muda mrefu zilikuaje.
Usijiweke kundi la konde boy ambaye; anatoa nyimbo yenye jina linalotisha, 'ZANZIBAR', lkn ukiisikiliza nyimbo yenyewe unaweza kumfuata jukwaani mkapigane. Unapotumia jina kama hilo, alitakiwa ajipange nyimbo iendane na mvumo wa wa eneo lenyewe.....kama ya yule msouth afrika inayoishi mpaka leo.
Ali umetukera sana mashabiki.