Sijaelewa, kwani kuchukua video wakati wa mazishi ni uovu?Kutumia neno "Nyie ni wakristo", ni Disrespect na ni kitendo cha kumaanisha kuwa Dini ya wakristo ndio ya wafanya uovu, au ya watu wasiofaa, au ya watu wa ovyo. Kwamba Wakristo sio watu wa kuheshimu Mazishi.
Wewe una haki gani? Na hao wasio haki hawana haki gani? Acha kuandika ujinga ujinga kama vile akili zako umeziweka kwenye friji kwa muda.Wakristo huwa hawana muda wa kuhangaika na "watu wasio haki"...
Kama wewe ni Mkristo elewa maneno "watu wasio haki"...
Sikiliza hiyo Kauli vizuri alafu ulete hapa hoja kuwa hakulenga kuidharau Dini ya wakristo, labda kama kiswahili kinakusumbua... Dini ni nyingi sana kwa nini alenge Dini ya wakristo kwamba ndio wanatabia mbaya misibani... Mbona hakuuliza nyie ni kabila gani... Kwa maana hiyo ni kwamba yeye kwenye akili yake kaamini kuwa wakristo ndio wapiga picha misibaniFuatlia alikuwa ana maanisha nn kwanza ,tambua Ally kiba sio mtu dini kama unavyofikria.
😂😂Kwani taarifa hata wewe umejuaje kama Qur an imechomwa?Hizo ni falsafa zako... Kuleta habari humu ni kuonyesha kwa namna gani msanii kubwa ambae unawafuasi wengi wa Dini tofauti tofauti hutakiwi kutoa kauli za kudharau dini za wengine.
Uzito wa Dini unategemea na Imani yako, sasa sio kwa kila mtu Dini ni nyepesi kama wewe unavyoichukulia... Ndio maana hata yule aliyechana Quran alipostiwa na vyombo vya habari, mbona hukutoka na kukataza wasiposti kuaminisha watu ujinga wa kumchukia huyo bwana
Hahahaaa alimuona vipiKweli hata Yuda Iskariote alimuona Yesu!
Sasa kama Dini yake ndio inakataza Kuchukua Video, kwa nini aulize kwamba ni wakristo kwani nani alisema Ukristo ndio unaruhusu kuchukua video msibani... Kwani angeuliza nyie ni wa Dini gani kosa lake lingekuwa wapi, kwa nini alenge wakristo hapo ndipo swali langu wakati dini Tanzania ni nyingiSijaelewa, kwani kuchukua video wakati wa mazishi ni uovu?
Mbona kuna baadhi ya waislam huonesha hayo matukio?
Huenda kiba aliuliza kutokana na taratibu zilizozoeleka za dini yake; yenye masharti mengi!
Nadhani Kauli yake haipaswi kuchukuliwa kwa ukubwa huo ulioeleza!
Sasa unatuambia sisi kua umemu unfollow ili tukusaidie nini? Punguza shobo.Kumu-unfollow imenisadia mimi binafsi, kwa sababu maamuzi ni yangu ya kipi nione na kipi nisikione... Siwezi kutizama mambo ya mtu anayekashfu Dini yangu
Huna akili wewe.Hizo ni falsafa zako... Kuleta habari humu ni kuonyesha kwa namna gani msanii kubwa ambae unawafuasi wengi wa Dini tofauti tofauti hutakiwi kutoa kauli za kudharau dini za wengine.
Uzito wa Dini unategemea na Imani yako, sasa sio kwa kila mtu Dini ni nyepesi kama wewe unavyoichukulia... Ndio maana hata yule aliyechana Quran alipostiwa na vyombo vya habari, mbona hukutoka na kukataza wasiposti kuaminisha watu ujinga wa kumchukia huyo bwana
Wewe nae hua unakurupuka tu na chuki zako za udini,unadhani hujulikani humu? Umeielewa kauli ya Kiba? Au unafuata mkumbo tu kama kawaida yako?Mbona kama ni mpuuzi fulani hivi aliyelewa sifa? Ukiwa staa ondoa mipaka ya dini yako maana utakuwa na mashabiki wa dini mbalimbali acha kutoa maneno ya kuudhi dhidi ya dini nyingine kwa kuwa huko pia una mashabiki. Kwanza hata kuonesha kujinasibisha zaidi na dini yako wakati una mashabiki wengi na wasio na dini ni ujuha. Labda wale specific artist kama waiba qaswida na injili wale wana mashabiki wa huko kwenye uinjili na ukaswida, hata hao wanaweza kuwa na mashabiki wasio wa dini yao. Mastaa waheshimu dini zote za mashabiki wao
Umesahau yule kijana alichana Quran, Magufuli akamfukuza kazi... Na baadhi ya waislamu mitandaoni wakawa wanataka kumuua... Wewe hujui Imani ni nini na ina nguvu gani... Al-shabab kila siku wanaua huko na kutaja Allah, wewe huna imani, wenzako wanaua huko kisa tu fulani sio muislam... Ndio maana Nchi za wakristo utakuta waislamu... Hila hapo Zanzibar tu kufungua kanisa ni ishu, Ukifungua kanisa Iran, Iraq, Afghanistan na nchi nyingine za kiislamu unaweza uliwa kabisa[emoji23][emoji23]Kwani taarifa hata wewe umejuaje kama Qur an imechomwa?
Tangu ni mdogo nasikiq hizo taarifa za Qur an kuchomwa yaana hata mtaani kwetu yupp kijana alichoma Qur an na tunaishi nae...Mungu atailindi dini yake milele .
Angalia tunavyopingwa vita na mataifa makubwa leo hii si pangekuwa hamna dini ila ukweli unabaki moyoni.
Kama ambavyo qur-an haijasema waislam wanafuga majini lakin watu wamekua wakisema ni dini ya majini hivyo hivyo kauli ya alikiba kuwa wakristo wanarekodi watu wakiwa wanazika ni kutokana na tunayoyaona misibani kwenuSiku za hivi karibuni kumetokea Msiba wa msanii wa kike wa Bongofleva Haitham. Na mazishi hayo yamefanyika jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watu mashuhuri na wasanii mbalimbali na mmoja wao akiwa msanii Ali Kiba.
Wakati wa mazishi kuna kitendo ambacho kimetokea ambacho kimepeleka Ali Kiba kutoa kauli ambayo sio nzuri au inayoonekana kudharirisha Dini ya Wakristo. Mimi binafsi kama Chief Lumanyika nimechukia sana na kupelekea kwenda kwenye Account yake ya instagram na kumu-unfollow hili nisiwe naona post zake.
View: https://youtu.be/C3rMRxBCXRU?si=giuRLLh1MAzofSfhKitendo hicho cha kukashifu Dini ya Wakristo kimetokea ambapo kwenye Video watu wanaonekana wapo kwenye mazishi na hatua za kuzika mwili wa marehemu ambapo Ali Kiba aliona kama anarekodiwa na watu, ambapo akaonekana kustaajabishwa na kutoa kauli ya "Nyie ni wakristo?", Akiwauliza vijana ambao ndio walikuwa wakimrekodi Ali Kiba hapo msibani.
Kutumia neno "Nyie ni wakristo", ni Disrespect na ni kitendo cha kumaanisha kuwa Dini ya wakristo ndio ya wafanya uovu, au ya watu wasiofaa, au ya watu wa ovyo. Kwamba Wakristo sio watu wa kuheshimu Mazishi. Cha kushangaza Tanzania ni nchi yenye Dini nyingi wakiwemo wapagani, lakini kitendo cha yeye kusema moja kwa moja kuwa nyie ni wakristo bila ya kujua hao watu anaowauliza ni Dini gani ni kutokuheshimu Dini ya kikristo. Kwa sababu Tukio hilo lingeweza kufanywa na mtu yeyote hata ambaye ni Muislamu ambaye ni wa Dini yake, budha au mpagani.
Kauli hii ya Ali Kiba pia imezua hoja mitandaoni kupelekea watu kuchukizwa na Kauli hii, na moja ya account ambayo nimeona watu wamechukua ni kwenye Instagram page ya Bongotrending Habari.
Hakuna sehemu yoyote kwenye Dini ya wakristo wanaposema tuwarekodi watu kwenye mazishi au wakiwa msibani. Hivyo hata ikitokea mkristo anarekodi mazishi, basi hiyo ni hulka yake binafsi na haina uhusiano wowote na Dini ya kikristo.
Ali Kiba anapaswa kuomba Radhi au Wakristo tuanze kuzisusia nyimbo zake kama jinsi wasanii wa Marekani na nchi nyingine wanavyofanyiwa wakizingua. Mimi staki kumuona tena, nimefuta hata nyimbo zake.
Aliuliza kwa sababi si desturi ya Waislamu Kurekodi wala kupiga picha katika msiba hasa Kwenye makabuli...Siku za hivi karibuni kumetokea Msiba wa msanii wa kike wa Bongofleva Haitham. Na mazishi hayo yamefanyika jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watu mashuhuri na wasanii mbalimbali na mmoja wao akiwa msanii Ali Kiba.
Wakati wa mazishi kuna kitendo ambacho kimetokea ambacho kimepeleka Ali Kiba kutoa kauli ambayo sio nzuri au inayoonekana kudharirisha Dini ya Wakristo. Mimi binafsi kama Chief Lumanyika nimechukia sana na kupelekea kwenda kwenye Account yake ya instagram na kumu-unfollow hili nisiwe naona post zake.
View: https://youtu.be/C3rMRxBCXRU?si=giuRLLh1MAzofSfhKitendo hicho cha kukashifu Dini ya Wakristo kimetokea ambapo kwenye Video watu wanaonekana wapo kwenye mazishi na hatua za kuzika mwili wa marehemu ambapo Ali Kiba aliona kama anarekodiwa na watu, ambapo akaonekana kustaajabishwa na kutoa kauli ya "Nyie ni wakristo?", Akiwauliza vijana ambao ndio walikuwa wakimrekodi Ali Kiba hapo msibani.
Kutumia neno "Nyie ni wakristo", ni Disrespect na ni kitendo cha kumaanisha kuwa Dini ya wakristo ndio ya wafanya uovu, au ya watu wasiofaa, au ya watu wa ovyo. Kwamba Wakristo sio watu wa kuheshimu Mazishi. Cha kushangaza Tanzania ni nchi yenye Dini nyingi wakiwemo wapagani, lakini kitendo cha yeye kusema moja kwa moja kuwa nyie ni wakristo bila ya kujua hao watu anaowauliza ni Dini gani ni kutokuheshimu Dini ya kikristo. Kwa sababu Tukio hilo lingeweza kufanywa na mtu yeyote hata ambaye ni Muislamu ambaye ni wa Dini yake, budha au mpagani.
Kauli hii ya Ali Kiba pia imezua hoja mitandaoni kupelekea watu kuchukizwa na Kauli hii, na moja ya account ambayo nimeona watu wamechukua ni kwenye Instagram page ya Bongotrending Habari.
Hakuna sehemu yoyote kwenye Dini ya wakristo wanaposema tuwarekodi watu kwenye mazishi au wakiwa msibani. Hivyo hata ikitokea mkristo anarekodi mazishi, basi hiyo ni hulka yake binafsi na haina uhusiano wowote na Dini ya kikristo.
Ali Kiba anapaswa kuomba Radhi au Wakristo tuanze kuzisusia nyimbo zake kama jinsi wasanii wa Marekani na nchi nyingine wanavyofanyiwa wakizingua. Mimi staki kumuona tena, nimefuta hata nyimbo zake.
Acha kuongea vitu usivyovijua,hua mnaropoka hovyo tu,Iraq yapo makanisa,Iran wapo christians,Lebanon wapo wakristo,Syria,Misri kote huko wapo wakristo na Makanisa yapo.Umesahau yule kijana alichana Quran, Magufuli akamfukuza kazi... Na baadhi ya waislamu mitandaoni wakawa wanataka kumuua... Wewe hujui Imani ni nini na ina nguvu gani... Al-shabab kila siku wanaua huko na kutaja Allah, wewe huna imani, wenzako wanaua huko kisa tu fulani sio muislam... Ndio maana Nchi za wakristo utakuta waislamu... Hila hapo Zanzibar tu kufungua kanisa ni ishu, Ukifungua kanisa Iran, Iraq, Afghanistan na nchi nyingine za kiislamu unaweza uliwa kabisa