wasanii wanaolewa sifa ningum sana kujua nini wanahitaji kufanya...
yaan huyu jamaa angejua nini afanye angekua mbali mno kuliko hata mondi bt yeye daily anapambania kua msanii mkubwa wa local level tu na si international....
nadhani hata uongozi wake haufocus mbele zaidi yakumsikiliza boss kasema nini
yaan huyu jamaa angejua nini afanye angekua mbali mno kuliko hata mondi bt yeye daily anapambania kua msanii mkubwa wa local level tu na si international....
nadhani hata uongozi wake haufocus mbele zaidi yakumsikiliza boss kasema nini