AlikibaVEVO vs Diamond YouTube

At last nimeelewa gap knowledge ilipo.

Labda nifafanue upya kwa Ku paraphrase.


Chukua hii ya mwisho Kama ilivyo,
Gwaj alisema ataongea jumapili, na almasi itegeuka Maji.

Kabla ya jumapili kufika.
Dai aka omba radhi fastafasta.

Jumapili imefika, gwaji akiwa anazo taharifa za Dai kumuomba msamaha.
Akasema nimemsamehe dai, kwasababu Ame apologize. Sitasema tena ni kwa jinsi gani alijiunga Freemasonry, na kutoa ushahidi.(note:-Gwaji alitamka hivi wakati, hapo kabla hakua amehaidi kwamba anaenda kupeleka ushahidi).

Kama ingekua Gwaji alisema Kabla, kua anaenda kutoa ushahidi namna Dai alivyojiunga na Masonry. Basi Apologize ya Dai ingekua haina maana wala Uzito na Dai angekua na wakati mgumu sana kuomba radhi.

Na hata Mimi ningekua na maoni tofauti kuhusu Gwajima kama angesitisha.


Dai akawajibu mashabiki kua wamwambie aseme.

Naye gwaji hakua amelumbana tena.
Ikaisha hivyo.

Sasa hapo kabla aliahidi kuyeyusha almasi iwe maji. Lakini siku ilipofika ndio akasema kile ambacho alipanga kukifanya, ila ameahirisha kwasababu dai mwenyewe Ame apologize.

Hope utapata picha sasa.

Kwahiyo sisi wengine tulijiongeza kua kumbe dai ni mjenzi huru.
Ila gwaji alimstahi.

Hope hapa utapata picha ninayoisema.

Sadly unaonyesha chuki ya wazi kwa Shigongo MTU mzima aliekuzidi Umri, elimu na kipato na fame.
Na unajaribu kumu undermine Gwaj Kama vile unayo elimu kumzidi .
kwa taaarifa yako Gwaji ni Guru. Ana wafuasi wengi duniani kote.
Na ni msomi WA doctorate. Ameandika kitabu.
Kumbuka hakuna elimu ya uprofesa.
Kama angekua mbabaishaji asingetoboa mpaka kufikia hapo alipo.
Anaweza kua na mapungufu yake Kama binadamu lakini, kamwe hujaweza kuvaa viatu vyake.
 
Akili za wengi ni nukta, hajui anachokiongea
 
Anafikiria kufichua kitu cha ndani kuhusu Masonic ni mchezo hadi aweze kupata video, hivi anajua kilichompata Bob Marley kwa kufichua? Gwajima asingekuwa hai kama angekuwa na ushahidi huo
 
Acha uongo wako Kijana japo umekula ban wacha tukufundishe , Msanii Wa kwanza Tanzania kuingia Vevo ni Gosy B , na sijui kama unamjua
 
Acha uongo wako Kijana japo umekula ban wacha tukufundishe , Msanii Wa kwanza Tanzania kuingia Vevo ni Gosy B , na sijui kama unamjua
Mkuu mbona uliye mquote hakuna sehemu aliposema mond ndo wa kwanza kujiunga vevo?
Gosby yuko wapi siku hizi maana nakumba 2010 hivi mpaka 2012 alikuwa akitoa mangoma kama ya mbele.
 
Tanzania hakuna access ya vevo account thus why hata hiyo nyimbo ya sedume me inatazamwa kupitia youtube,hivyo vevo ipo ndani ya youtube
 
Mmmmh basi baba utawauwaaaa..! [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ahaa kumbe domo level zake za Collabo na Underground eeeh?
 
Anafikiria kufichua kitu cha ndani kuhusu Masonic ni mchezo hadi aweze kupata video, hivi anajua kilichompata Bob Marley kwa kufichua? Gwajima asingekuwa hai kama angekuwa na ushahidi huo
Mkuu hawa devil worshiperzz wanaaibika kila siku. Ni kwamba hata hapo kufahamika tu ni aibu tosha. Wao hawako radhi hata kujulikana.
Siri gani ya maana waliyonayo zaidi ya ocult worshiping and witchcraft practicing?

Ni kwamba ukweli uko hadharani wanachofanya ni containment tu.
Sasa wakitulia muda ukienda unadhani hawajaumbuka. Kumbe wanakufa nayo kimoyomoyo.
 
Mange anawaharibu akili.

Wiz Khalifa hayupo Vevo na See You Again (Tribute ya Paul walker) ina viewers 3.1Bilion na kaingia Guiness World Record nini Vevo?!

Enjoy good music....
So you agree kwamba YouTube inaweza kujijazia mafamba as compared to Vevo... right?

In fact you have just concurred with mleta thread
 
Ndugu hata hayo unayoyasoma online si siri zao, zingekuwa siri zisingeanikwa. Hakuna media inayojua ukweli wote kuhusu hao watu, usidanganyike
 
So you agree kwamba YouTube inaweza kujijazia mafamba as compared to Vevo... right?

In fact you have just concurred with mleta thread
Lemme tell you something cuz' majority wanashindwa kutofautisha kati ya Vevo Account na Vevo Account zilizopo Youtube!!!

Hizi zinazosemwa ni Vevo Account sio Vevo Account bali ni Youtube Accounts zilizopo kwenye Vevo Youtube Channel. Vevo wana-channel yao Youtube as many business entities as well as watu wa kawaida. Kwahiyo hizi akaunti za akina Kiba ambazo can be accessed from anywhere zipo kwenye hii Youtube Channel ya Vevo.

Sio kwamba hawana Vevo Account lakini access ya Vevo is very limited kwa sababu nchi nyingi including Tanzania huwezi ku-access Vevo. And I can bet, 99.9% ya Views wanazosema za Vevo zinatoka Youtube na sio Vevo! Hata ukiingia Kiba Vevo Account (not youtube Channel), ngoma kama Seduce Me ina less than 100 Likes wakati iliyopo Youtube ina Likes zaidi ya 10K.

WHY? The track is more accessed from Youtube and not Vevo ambayo ina geographical restrictions.

But on top of that, hata hizo Views tunazosema account zipo Vevo, huwa haziwi monitored na Vevo bali na Youtube! So, kama account ya kawaida ya Youtube unaweza kununua Views basi hata Vevo Youtube Channel unaweza kununua Views na ndio maana, Lady Gaga alipata kashifa ya Views. Account ya Lady Gaga ipo Vevo Youtube Channel Account! Hata hivyo, issue ilikuwa handled na Youtube na sio Vevo kwa sababu, the so called Vevo Accounts are Youtube Accounts!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…