twalib ngonyani
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 249
- 316
paniq [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Ina maana wewe una akili sana zaidi ya Sony Music Entertainment na Rockstar waliompa endorsement Alikiba?
Au wewe ni una weledi zaidi ya waandaaji wa Music wanaompeleka Alikiba America na Ulaya kwenye Shows?
Acha ubazazi.
Vyovyote cile ula haki yake ya hardworking mpe!!Utajiri wa vijumba viwili na magari ya kutembelea. Hizo ni basics za maisha etiii
Umeshaitazama Seduce me kwenye Vevo lakini?paniq [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Viewer moja inauzwa bei gani ?Alikiba yuko VEVO account wakati Diamond yuko YouTube kawaida. Mastaa wengi duniani wako VEVO account ambako huwezi kununua views au kuchezea views (robotic views). Msanii hulipwa pesa kwa views anazopata. Kama kweli Diamond hana kamchezo kachafu anakofanya kwenye views basi aje VEVO. Na kama atabaki huko basi kamwe asilinganishwe na alikibaVEVO, kwa sababu hiyo itakuwa sawa na kulinganisha Dispensary ya kijijini na Hospitali ya Rufaa.
Sasa kama ni hivyo usiseme Domo tajiri kuliko Alikiba coz kama ni nyumba hata huyo Kiba anazo, kama ni magari hata Alikiba anayo. Tofauti ni kwamba mmoja anapenda masifa kutangaza, na mwingine hajitangaziVyovyote cile ula haki yake ya hardworking mpe!!
Tunamaanisha unamnunua IDD ma computer Wa Sinza kwa Tsh 50,000/- anakutengenezea robbot App kwenye computer kwa ajili ya fake views.
Umri wa wao kuanza kuimba.. Maana ninaamini Mond alipaswa kuwa anavunja record za kiba then anajisifu nimempita bro.... Lakini cha kushangaza bro anafurahi kumpita dogo [emoji102]Umri wa akili au umri wa kuzaliwa? Fafanua aisee.
Kile kijumba cha tabata ambacho ata yeye anaogopa kukionyeshaSasa kama ni hivyo usiseme Domo tajiri kuliko Alikiba coz kama ni nyumba hata huyo Kiba anazo, kama ni magari hata Alikiba anayo. Tofauti ni kwamba mmoja anapenda masifa kutangaza, na mwingine hajitangazi
Au wewe unamaanisha lile banda la popo Madale, watu na nyumba zao hawachongiKile kijumba cha tabata ambacho ata yeye anaogopa kukionyesha
We jamaa ndo unaonekana hujui lolote kuhusu Vevo na Youtube!! Yaani kwako wewe Vevo ndo hospitali ya Rufaa na Youtube ni Zahanati?Alikiba yuko VEVO account wakati Diamond yuko YouTube kawaida. Mastaa wengi duniani wako VEVO account ambako huwezi kununua views au kuchezea views (robotic views). Msanii hulipwa pesa kwa views anazopata. Kama kweli Diamond hana kamchezo kachafu anakofanya kwenye views basi aje VEVO. Na kama atabaki huko basi kamwe asilinganishwe na alikibaVEVO, kwa sababu hiyo itakuwa sawa na kulinganisha Dispensary ya kijijini na Hospitali ya Rufaa.
We jamaa una viroja! Yaani iwe kama hivyo unavyoamini halafu bado duniani Google apewe matangazo ya biashara wakati wanafahamu watakaokuwa wana-view hayo matangazo ni bot apps?!Tunamaanisha unamnunua IDD ma computer Wa Sinza kwa Tsh 50,000/- anakutengenezea robbot App kwenye computer kwa ajili ya fake views.
We pimbi uwe unajiongeza basi sio unaropoka tu, hiyo 16 m watu walikuwa wanamuangalia neyo ndio maana zimefika hivyo,hata huu hallelujah watu wanaingia kuangalia Morgan heritage wameimba nini ndio maana view's mbali mbali duniani wanaingia kuangalia wameimba nini magwiji hao duniani, ni wimbo wakawaida sana sio mzuri kuliko hata eneka na zilipendwa,zaidi video ndio nzuri nyimbo ime score 40%.marry you IPO vevo ina 16M ila Kimba ana video mbili ukijumlisha hafkii 10M
KIBA SI KAWEKA RECORD SIO CHINI YA MBILI 1. KUWA NA VIEWERS WENGI NDANI YA MUDA MFUPI, PILI VIDEO YA AFRIKA MASHARIKI ILIYOPATA VIEWERS WENGI MSANII AKIWA PEKE YAKE(SOLO). MAMBO MENGINE NI KAMA IFUATAVYO KATIKA UWEKEZAJI KAMA TUNAPEWA VITABU VYAO NADHANI ALI KIBA ANA INVEST KIDOGO ANAVUNA KIKUBWA. DIAMOND ANA INVEST NYINGI ANAVUNA NYINGI LAKINI KASI NI NDOGO. SIDHANI KAMA GHARAMA ZA VIDEO FIRE, ENEKA,HISTORY ZIMESHARUDI NA SASA HALELUJAH. THATS WHY UNAMWONA SANA DIAMOND KATIKA MEDIA KULIKO ALI CUZ WANATOFAUTIANA NAMNA YA UWEKEZAJI,We jamaa ndo unaonekana hujui lolote kuhusu Vevo na Youtube!! Yaani kwako wewe Vevo ndo hospitali ya Rufaa na Youtube ni Zahanati?
Btw, hivi kabisa unaamini kwamba unaweza kununua views Youtube ukabaki salama?! Hivi unafahamu Youtube ni ya Google na wana mifumo nyoko ya ku-track suspicious activities kwenye youtube accounts pamoja na blogs zinazotumia Google Adsense?!
Wewe nadhani ni wale wanaoamini kila kinachosemwa na Mange ambae kutokana na umbumbu wake anawaambia watu wamripoti Diamond Youtube eti kwamba ananunua views.
Kwa mtu anayeelewa pale ndo amemuona ni ju'ha asiyefahamu chochote kuhusu Youtube cuz' Youtube au Google hawana sababu ya kusubiri mtu atoe taaarifa kwao wakati tayari wana mfumo unaofanya hiyo kazi.
Views 2M kwa siku moja hapo bots za Google zimeshatembelea sana ile video na kama kungekuwa na fake views hivi sasa account ama ingekuwa ishakuwa blocked au ku-fyekwa fake views wote!!!
Halafu haya mambo ya eti VEVO na Youtube mnajitia aibu manake mnaonekana hamfahamu chochote kuhusu hiyo VEVO !!
Tanzania huweziku-access Vevo unless kama unatumia VPN! The so called Vevo account are just mirror account iliyopo Youtube na ndio maana hata mtu wa Nanjilinji anaweza ku-access.
Vile vile nawe unaonekana hujui lolote kuhusu Youtube ndo maana umefikia kusema msanii analipwa kutokana na views anaopata! Huo ni uongo mtupu na ndio maana umefikia kuamini hayo mengine!!!
Sababu kubwa ya kuasisi Vevo wala haina uhusiano na Views au kununua bali UMG & Sony walianzisha VEVO kwa ajili ya wasanii wao kwa kile kilichoonekana issue za hatimiliki kwa Youtube ni kimeo!!
But all in all, Diamond alitumia Vevo Account mara moja na hapa chini ndo stats za hiyo account!
View attachment 599452
Kama unavyoona, Marry Me ina Views 16.5M lakini muhimu zaidi, ingawaje hiyo akaunti kaitumia mara moja tu lakini ina Subscribers 77K.
Kinyume chake, Kiba ametumia Vevo mara mbili lakini ndo kwanza ana subscribers 75K
View attachment 599458
Sasa kama unaamini Kiba anaburuzwa kwa sababu yeye anatumia Vevo na Diamond anatumia Youtube basi unatakiwa kutafakari upya jinsi unavyoyaelewa haya mambo!!!!
FYI, pasipo na Youtube VEVO is nothing na ingekimbiwa na watu at least for now! Ingekimbiwa kwa sababu sehemu nyingi Vevo haipatikani na ndio maana wanatumia mirror account through Youtube channel!
Wanashikiliwa akili hata kufikiri outside of the box inashindikanaMange anawaharibu sana akili.
Alikiba yuko VEVO account wakati Diamond yuko YouTube kawaida. Mastaa wengi duniani wako VEVO account ambako huwezi kununua views au kuchezea views (robotic views). Msanii hulipwa pesa kwa views anazopata. Kama kweli Diamond hana kamchezo kachafu anakofanya kwenye views basi aje VEVO. Na kama atabaki huko basi kamwe asilinganishwe na alikibaVEVO, kwa sababu hiyo itakuwa sawa na kulinganisha Dispensary ya kijijini na Hospitali ya Rufaa.
Mtaongea kila aina ya maneno lakin ukwl utbaki kuwa palepale jamaa yenu anaburutwa......kuanzia viewz, subs, shows, endorsements, lebels, na vitu zngne.......kilichobaki ni ubishi tu na kujipa matumaini pasipo na kwl.KIBA SI KAWEKA RECORD SIO CHINI YA MBILI 1. KUWA NA VIEWERS WENGI NDANI YA MUDA MFUPI, PILI VIDEO YA AFRIKA MASHARIKI ILIYOPATA VIEWERS WENGI MSANII AKIWA PEKE YAKE(SOLO). MAMBO MENGINE NI KAMA IFUATAVYO KATIKA UWEKEZAJI KAMA TUNAPEWA VITABU VYAO NADHANI ALI KIBA ANA INVEST KIDOGO ANAVUNA KIKUBWA. DIAMOND ANA INVEST NYINGI ANAVUNA NYINGI LAKINI KASI NI NDOGO. SIDHANI KAMA GHARAMA ZA VIDEO FIRE, ENEKA,HISTORY ZIMESHARUDI NA SASA HALELUJAH. THATS WHY UNAMWONA SANA DIAMOND KATIKA MEDIA KULIKO ALI CUZ WANATOFAUTIANA NAMNA YA UWEKEZAJI,
Unafikiri watakuelewa basi.....wameng'ang'ania vevo, vevo, huku wakisahau kuwa vevo ipo ndani ya YouTube yaani bila YouTube huwezi ku access vevo. Na mond atakuja awafunge midomo siku akiachia ngoma yake mwenyewe as solo artist na kuvunja rekodi yake aliyoiweka kwny hallelujah.We jamaa ndo unaonekana hujui lolote kuhusu Vevo na Youtube!! Yaani kwako wewe Vevo ndo hospitali ya Rufaa na Youtube ni Zahanati?
Btw, hivi kabisa unaamini kwamba unaweza kununua views Youtube ukabaki salama?! Hivi unafahamu Youtube ni ya Google na wana mifumo nyoko ya ku-track suspicious activities kwenye youtube accounts pamoja na blogs zinazotumia Google Adsense?!
Wewe nadhani ni wale wanaoamini kila kinachosemwa na Mange ambae kutokana na umbumbu wake anawaambia watu wamripoti Diamond Youtube eti kwamba ananunua views.
Kwa mtu anayeelewa pale ndo amemuona ni ju'ha asiyefahamu chochote kuhusu Youtube cuz' Youtube au Google hawana sababu ya kusubiri mtu atoe taaarifa kwao wakati tayari wana mfumo unaofanya hiyo kazi.
Views 2M kwa siku moja hapo bots za Google zimeshatembelea sana ile video na kama kungekuwa na fake views hivi sasa account ama ingekuwa ishakuwa blocked au ku-fyekwa fake views wote!!!
Halafu haya mambo ya eti VEVO na Youtube mnajitia aibu manake mnaonekana hamfahamu chochote kuhusu hiyo VEVO !!
Tanzania huweziku-access Vevo unless kama unatumia VPN! The so called Vevo account are just mirror account iliyopo Youtube na ndio maana hata mtu wa Nanjilinji anaweza ku-access.
Vile vile nawe unaonekana hujui lolote kuhusu Youtube ndo maana umefikia kusema msanii analipwa kutokana na views anaopata! Huo ni uongo mtupu na ndio maana umefikia kuamini hayo mengine!!!
Sababu kubwa ya kuasisi Vevo wala haina uhusiano na Views au kununua bali UMG & Sony walianzisha VEVO kwa ajili ya wasanii wao kwa kile kilichoonekana issue za hatimiliki kwa Youtube ni kimeo!!
But all in all, Diamond alitumia Vevo Account mara moja na hapa chini ndo stats za hiyo account!
View attachment 599452
Kama unavyoona, Marry Me ina Views 16.5M lakini muhimu zaidi, ingawaje hiyo akaunti kaitumia mara moja tu lakini ina Subscribers 77K.
Kinyume chake, Kiba ametumia Vevo mara mbili lakini ndo kwanza ana subscribers 75K
View attachment 599458
Sasa kama unaamini Kiba anaburuzwa kwa sababu yeye anatumia Vevo na Diamond anatumia Youtube basi unatakiwa kutafakari upya jinsi unavyoyaelewa haya mambo!!!!
FYI, pasipo na Youtube VEVO is nothing na ingekimbiwa na watu at least for now! Ingekimbiwa kwa sababu sehemu nyingi Vevo haipatikani na ndio maana wanatumia mirror account through Youtube channel!
Tuachane na viewz vipi kuhusu subscribers.....maana na zenyewe kapitwa japo mond hayupo active sana na vevo.We pimbi uwe unajiongeza basi sio unaropoka tu, hiyo 16 m watu walikuwa wanamuangalia neyo ndio maana zimefika hivyo,hata huu hallelujah watu wanaingia kuangalia Morgan heritage wameimba nini ndio maana view's mbali mbali duniani wanaingia kuangalia wameimba nini magwiji hao duniani, ni wimbo wakawaida sana sio mzuri kuliko hata eneka na zilipendwa,zaidi video ndio nzuri nyimbo ime score 40%.