Alikufa tar 24/7 na alizaliwa tar 24/7 na zote zikiwa ni Ijumaa

Alikufa tar 24/7 na alizaliwa tar 24/7 na zote zikiwa ni Ijumaa

taira la mirembe

Senior Member
Joined
May 29, 2015
Posts
188
Reaction score
63
Wakuu habari zenu,

Kuna swala limenishangaza kidogo! Kuna mdogo wangu amefariki juzi Ijumaa ya tar 24/7/2015 kwa ugonjwa wa kansa ya utumbo mpana. Siku mbili nyuma kabla hajafa alikuwa anaongea vitu vya ajabu ajabu na akili inakuwa sawa, ila siku ile ambayo alikuwa anakata roho alikuwa anaongea kiarabu si kiarabu yaani alikuwa anaongea lugha isiyoeleweka na kabla ya kukata roho aliniambia nipige magoti na akanishika kichwani huku akitaja jina langu. Na pia alifanya hivyo kwa watu wote tuliokuwa tunamuhudumia kwa ukaribu sana.

Ila kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha kufa tarehe aliyozaliwa na zote zikiwa ni siku ya ijumaa! Alizaliwa 24/7/92 na amekufa 24/7/2015 zote zikiwa ni ijumaa.

Swali langu ni kwamba hii inaweza kuwa na maana yoyote?
 
Wakuu habari zenu,

Kuna swala limenishangaza kidogo! Kuna mdogo wangu amefariki juzi Ijumaa ya tar 24/7/2015 kwa ugonjwa wa kansa ya utumbo mpana. Siku mbili nyuma kabla hajafa alikuwa anaongea vitu vya ajabu ajabu na akili inakuwa sawa, ila siku ile ambayo alikuwa anakata roho alikuwa anaongea kiarabu si kiarabu yaani alikuwa anaongea lugha isiyoeleweka na kabla ya kukata roho aliniambia nipige magoti na akanishika kichwani huku akitaja jina langu. Na pia alifanya hivyo kwa watu wote tuliokuwa tunamuhudumia kwa ukaribu sana.

Ila kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha kufa tarehe aliyozaliwa na zote zikiwa ni siku ya ijumaa! Alizaliwa 24/7/92 na amekufa 24/7/2015 zote zikiwa ni ijumaa.

Swali langu ni kwamba hii inaweza kuwa na maana yoyote?

Wewe mwenyewe ni Tahira la Mirembe. Kwahiyo hata unachouliza ni Utahira tu.
 
Wakuu habari zenu,

Kuna swala limenishangaza kidogo! Kuna mdogo wangu amefariki juzi Ijumaa ya tar 24/7/2015 kwa ugonjwa wa kansa ya utumbo mpana. Siku mbili nyuma kabla hajafa alikuwa anaongea vitu vya ajabu ajabu na akili inakuwa sawa, ila siku ile ambayo alikuwa anakata roho alikuwa anaongea kiarabu si kiarabu yaani alikuwa anaongea lugha isiyoeleweka na kabla ya kukata roho aliniambia nipige magoti na akanishika kichwani huku akitaja jina langu. Na pia alifanya hivyo kwa watu wote tuliokuwa tunamuhudumia kwa ukaribu sana.

Ila kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha kufa tarehe aliyozaliwa na zote zikiwa ni siku ya ijumaa! Alizaliwa 24/7/92 na amekufa 24/7/2015 zote zikiwa ni ijumaa.

Swali langu ni kwamba hii inaweza kuwa na maana yoyote?
Kaka kwanza pole...pili muogope Shetani hizo ni hila zake hakuna lolote.
 
We ni punda kabisa.... Kosa la mtoa mada ni nini??? Kama huelewi si unapita tu... Mseeengerema wewe nyumbani kwetu pazuri... Karibu Mkuu..

Umekurupuka wewe. Haujajua unachoandika. Tahira la Mirembe ni jina lake wala mimi sijamtukana ila wewe ndo umenitukana. Labda niseme kuwa wewe ni FISI na Msengerema.
 
Kweli jf kuna vituko zaidi ya kura za maoni za maCCM!
 
mdogo wako alifariki kwa kifo kinachotokana na ushirikina wa majini. siku ya kuzaliwa kiumbe chochote huwa dhaifu na hivyo inakuwa rahisi kushambuliwa na nguvu za giza.
 
Back
Top Bottom