Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Eti friendship wewe sema ulitaka uendelee kula vitu vyake huna lolote.Hata bongo wa hivyo wapo.
Wanaitwa cha wote au changu doa...
Unaweza tu kuwafuata.
But once it comes to friendship, rules & laws shall be applied!
Ila wewe una maneno πUngetaka kujua toka mwanzo ungeuliza kwanza na sio kujiongelesha ongelesha.
Kapeace acha hizo bbyππ€£π€£π€£Roho mbaya hiyoEe bwana tenda miujiza, π€£π€£
Uwe na jmosi njema mmeshindwa kunishawishi niufungue mlango na rafiki yako Nelson Jacob lushasi
Kuna zawadi yako ipo inbox tayari bby.Mimi tena pedeshee wa misimu ya mvua.πππ€£π€£Ee bwana tenda miujiza, π€£π€£
Uwe na jmosi njema mmeshindwa kunishawishi niufungue mlango na rafiki yako Nelson Jacob lushasi
Na utakuta mwingine anapewa bure
Ova
Unaisemea nafsi yangu mkuu yaani unataka kuniaminisha unanijua kuliko mimi mwenyewe basi sawa ubishi si sehemu ya Maisha yanguπHata nafsi yako inajua umeongea siyo kweli.
Yaani unapokea keepchange ili kuthibitisha kuna free meal?
Kwa hiyo, huyo mteja mwingine alikuwa standby anasubiri kuwa replaced?π€£
Nielekeze bana, hata kama unauza magunia ntanunua nikashone pazia
Alikuwa akiziacha nikimrudishia hataki π€·πΌββοΈππIla chenji zake ulichukua..!!!
#YNWA
Katika vitu sijawahi kufanya ni kuomba pesa kwa mtu kwanza nina bahati ya kupewa kabla sijaomba namshukuru Mungu kwa bahati hii aliyonipatiaNa sio kila wallet lazima uombe hela, nyengine ziwapite.
#YNWA
Yani wewe uwe rafiki..tunashauriana...nakupa madini...halafu aje boya apige show...!!!Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani.
[emoji419][emoji419]Tena mengine yameoa kabisa, unakuta linajiliza ooh mke wangu ananibania nina mwezi sijafanya nihurumie[emoji23][emoji23][emoji23]ufyoko fyoko tu, kale ulikotoa mahari aisee tusizoeane, mbaafu
HAPANA...Kuna dada tulikubaliana kabisa kwamba leo ni mwanzo na mwisho na imekua hivyo,ingawa alisumbua sana kutaka hogo ila niliweka uso wa mbuzi.Unakuta ni mtu unayemheshimu.
Na ujue kukubali huo ndio mwanzo wa kuendelea...
Chuzi kama chuziii..!! π π πPale ukianza kudowea ndo unafukuzwa hapo hapo sio kusubiri mpaka chuzi lishuke
Mpunguze tu, mtengenezee mazingira magumu hadi ajue kuwa umepunguza ushikaji nae ili aanze kulaumu na huo ndiyo muda muafaka wa kumchana makavu.Kuna mmoja nimemtimua juzi, mara ya 2 hii hataki kuliwa sasa sijui anakuja home kufanya nini? Na yeye ndo huwa anauliza vip upo, utakuwepo then anajileta.
Maajabu yake kaondoka bado anapiga simu kila muda sijui anataka tudiscuss nini?
Pumbavu sana,Yaani unafukuza mtu aliyekutoa Kwenye ubavu wake?!!.Yani mtu wa namna hyo usimchekee kabisa kabisa.
Mimi hii ishawai nitokea, nilimtoa nduki na mvua ilikua ikinyesha hadi kufika kweny kigari chake nahisi alikua kaloa hadi mbupu.
Umeona eenhh?!Mbona hakwenda kwingine akaja kwako. Na kwanini akasirike. Usikute ulishaanza kula vitu vyake.
Hahahaaaaa Nuzu upo? Naomba nikaribishe kwako me sina hizo mambo za hao.Walaji kimasihara wamepaniki baada mwenzao kupewa za mbavu walitaka iongezeke story kwenye kale kauzi kao ka ngono zembe [emoji2955]