Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Attachments

  • Screenshot_2022-02-19-12-37-54-95.jpg
    Screenshot_2022-02-19-12-37-54-95.jpg
    13.4 KB · Views: 1
Hata nafsi yako inajua umeongea siyo kweli.

Yaani unapokea keepchange ili kuthibitisha kuna free meal?

Kwa hiyo, huyo mteja mwingine alikuwa standby anasubiri kuwa replaced?🤣

Nielekeze bana, hata kama unauza magunia ntanunua nikashone pazia
Unaisemea nafsi yangu mkuu yaani unataka kuniaminisha unanijua kuliko mimi mwenyewe basi sawa ubishi si sehemu ya Maisha yangu🙌
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.

Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?

Yaani.
Yani wewe uwe rafiki..tunashauriana...nakupa madini...halafu aje boya apige show...!!!
 
Kwan kuomba hela huwa mnasubiri hadi kuwe na urafiki Sababu mmekua mkiomba hela sana ndo maana watu wanataka mizgo fasta usije kimbia na hela ushakula.
 
Unakuta ni mtu unayemheshimu.
Na ujue kukubali huo ndio mwanzo wa kuendelea...
HAPANA...Kuna dada tulikubaliana kabisa kwamba leo ni mwanzo na mwisho na imekua hivyo,ingawa alisumbua sana kutaka hogo ila niliweka uso wa mbuzi.
 
Kuna mmoja nimemtimua juzi, mara ya 2 hii hataki kuliwa sasa sijui anakuja home kufanya nini? Na yeye ndo huwa anauliza vip upo, utakuwepo then anajileta.
Maajabu yake kaondoka bado anapiga simu kila muda sijui anataka tudiscuss nini?
 
Kuna mmoja nimemtimua juzi, mara ya 2 hii hataki kuliwa sasa sijui anakuja home kufanya nini? Na yeye ndo huwa anauliza vip upo, utakuwepo then anajileta.
Maajabu yake kaondoka bado anapiga simu kila muda sijui anataka tudiscuss nini?
Mpunguze tu, mtengenezee mazingira magumu hadi ajue kuwa umepunguza ushikaji nae ili aanze kulaumu na huo ndiyo muda muafaka wa kumchana makavu.
 
Yani mtu wa namna hyo usimchekee kabisa kabisa.

Mimi hii ishawai nitokea, nilimtoa nduki na mvua ilikua ikinyesha hadi kufika kweny kigari chake nahisi alikua kaloa hadi mbupu.
Pumbavu sana,Yaani unafukuza mtu aliyekutoa Kwenye ubavu wake?!!.
 
Back
Top Bottom