Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
WAZIIIII! 💪🏾🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤Mzeee usianike code hadharani,maana wakurugwa wakizitambua code tutasumbuana kule maeneo yetu ya kujidai🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WAZIIIII! 💪🏾🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤Mzeee usianike code hadharani,maana wakurugwa wakizitambua code tutasumbuana kule maeneo yetu ya kujidai🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂Wacha weehUlifaidika nini kunifukuza? alafu sasa hivi unanipigia kuniomba msamaha
......sawa bibie ingawa Kikawaida kama humpendi mtu hamuwezi kufikia hatua kula tunda Kwa sababu utamkatalia Kwa nguvu zote hadi mgombane........so ni bora mkaachana hata kwa kugombana lakini hukula cha mtu kuliko kuvurugana ukiwa umekula vyake.......uzuri ni kuwa ulikutana na watu wazuri wapole na waelewa, ni ushauri tu lakini.......Mkuu mda wa shobo na pesa ya Mwanaume sinaga napambana mwenyewe sasa kama kuna boya anajileta na vipesa vyake mbuzi kila ukimuelewesha anajitoa akili sina cha kufanya kwa kweli🤷🏼♀️
Habari ndio hiyo mkuu sina gunduu njaa💃🏼💃🏼hatujakuuliza kama umeolewa au la, yaani usitukatishe tamaa.😀😀😀😀😀
Ila behind the scene kwenye tukio lenye ukweli na uhalisia haikuwa hivyo 😅👍🏾Nilimkazia ndugu tena kwa kumwambia kama una acha pesa zako kwa kutegemea kupata kitu kamwe haitatokea.
...hahahah una gundu shibe au siyoHabari ndio hiyo mkuu sina gunduu njaa💃🏼💃🏼
Sawa na hiyo ilikuwa zamani kabla sijakuwa mhenga......sawa bibie ingawa Kikawaida kama humpendi mtu hamuwezi kufikia hatua kula tunda Kwa sababu utamkatalia Kwa nguvu zote hadi mgombane........so ni bora mkaachana hata kwa kugombana lakini hukula cha mtu kuliko kuvurugana ukiwa umekula vyake.......uzuri ni kuwa ulikutana na watu wazuri wapole na waelewa, ni ushauri tu lakini.......
Naam mkuu...hahahah una gundu shibe au siyo
Shida iko wapi!kwanza utamu mnasikilizia woteKwahiyo, kama amewahi kutoa hela au zawadi, ndio kigezo cha kutaka mapenzi kwa nguvu?
.......tunaishi bila kujuana humu, anomity zinaficha yote mazuri na mabaya yetu.......Ungejua au ungepata fursa ya kumuona kila huyo mwanaume ambaye hajielewi ungebaki mdomo wazi 😊
Shukuru anonimity policy inayowapeni jeuri za kuwaona wanaume wa humu hawajielewi, malofa, wahuni na kadhalika.
Mim ninajua kuheshimu rfk zangu sana..Sawa sio lazima ufanye lakin sio kumfurumisha kiasi hicho afu wakati mvua inanyesha
Acha jeuri basi.. yaan unavyotamba humu ndani utafkiri bado kigori 😂😂😂We unaonaje?
Mkuu kaushaa,kuna mzee mmoja wa chamwino humu anatumia ID flani hv anacheeeka mada za vijana zinamfurahisha leo.😂🤣🤣🤣WAZIIIII! 💪🏾🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤
Wasiwasi wako maradhi yakoLovie mbona upo emotional sasa ,mimi kiukweli bado nashangaa sababu mwaliko utoe wewe,mazingira uweke wewe na kufukuza ufukuze wewe.Labda kuna kitu unakificha maana naamini huyo mwanaume ni mtu mzima na alikua na akili timamu.
Lovie bado kigori kabisa,ana haki ya kutamba.Acha jeuri basi.. yaan unavyotamba humu ndani utafkiri bado kigori 😂😂😂
Mmmh Zuwenna kweli mama????Ndio walivyo
Ipo siku utavilipia hivyo,duniani hamna kitu cha bure,ukila lazima nawe uliweWenzio nao walikuwa kama wewe pesa nilichukua kwa kuwa sikuziomba shobo zao wenyewe wakanipa vimikwara vyao mbuzi mpaka leo tukionana heshima
Urafiki wa SimbaWanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani.