Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Lovie bado kigori kabisa,ana haki ya kutamba.
Thubutuuuuuu! 😂

Bikra zimekuwa historia siku hizi... yaan ni ngumu na haba kama kupata dagaa ziwa tanganyika. Ndomana wazee wa (Insha'Allah) pale kinondoni kule makaburini road wameamua zao kujadili tupitishe ile sheria ya kuozesha mabinti wa miaka kumi na nne (14) ili na wao waambulie emo...
 
Hv yule mzee ana mtoto wa miaka 14 atuozeshe kwanza.Au alikua anaongea tu kufurahisha umati???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…