Wanaume tunajidhalilisha sana kwa njaa ya ngono, ila na nyie wanawake wa ajabu, Kwani ungempa papuchi umgepungukiwa nini? LovelovieYani mtu wa namna hyo usimchekee kabisa kabisa.
Mimi hii ishawai nitokea, nilimtoa nduki na mvua ilikua ikinyesha hadi kufika kweny kigari chake nahisi alikua kaloa hadi mbupu.
Huyo alikua rfk angu kabisa wa miaka mingi na nilikua namuheshimu mno.Sasa hili jitu lilifikaje kwako π
Asante sanaOoh polee sanaa love
Nani Abdiel mengi au?! π³π’π€π€π€Daah kuna mwanangu mbongo fleva yupo USAFINI mpaka leo siamini kama ni chakula.Sijui nini kilimukuta kuchukua tabia ile.Na yule dogo wa kiume wa marehemu mzee MACHACHE ambae ameoa karibuni.
Mim siko hapa kufanya watu waamini kuhusu mim kwa hyo kama ulifikiri hivo basi fikra zako zinakuchonganisha.Sio kupenda unakofikiri wewe ?????Nimeoenda majibu yako ya kibabe katika dhaania ila sio katika uhalisia.
Story za vijiweni.Ndo hao tunawataka tuwapige shoo mpaka mtupeleke ukweli katikati ya bahari na pete za bahati mtutunuku.
Kuna jamaa alipata zali demu jini akawa anampiga shoo za kibabe mpaka mrembo akadata akamuhonga mwamba pete, akiomba chochote kupitia hiyo pete kinakuja. Mwamba life ilinyooka sana!
π€¨π€¨Wewe ni mtu katika watu π€£π€£π€£π€£π€£π€£ umetisha
Sasa sijui unabisha nini πStory za vijiweni.
Nenda kamtafute huyo jini basi.Sasa sijui unabisha nini π
Tatizo nyie mnapenda kupewa... wenzenu warembo majini wanatupa sisi tena wanatupa utajiri. Sio nyie mkijitahidi sana mnatununulia viboksa na vi-form six vya Kariakoo π
Umejibu kwa hasira sana Mama kumbena πNenda kamtafute huyo jini basi.
Unabalaa ww.Umejibu kwa hasira sana Mama kumbena π
ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈπ¨
Kwahiyo mnachomwagiwaga ni takataka?! πππ wanawake mna drama πππshimo langu si sehem ya raia yyt kumwaga takataka zake khai.
Unapenda kubebelea vituKwahiyo mnachomwagiwaga ni takataka?! πππ wanawake mna drama πππ
Na-sign out
Mmh we dada michango yako imejaa ubabe na ukali sio poa!Unapenda kubebelea vitu
Em sign out tu.
Majibu kulingana na mtu anavyosema.Mmh we dada michango yako imejaa ubabe na ukali sio poa!
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani.
We unaweza kujenga urafiki na mwanaume bila kumuomba omba hela? [emoji3]