Hahahaha [emoji23][emoji23] pumbu utapigwa na chai utapika vzr sana asabuhTena mengine yameoa kabisa, unakuta linajiliza ooh mke wangu ananibania nina mwezi sijafanya nihurumie[emoji23][emoji23][emoji23]ufyoko fyoko tu, kale ulikotoa mahari aisee tusizoeane, mbaafu
Ulikuwa ushaliwa na mtu mwingine. Ni ndugu yako mpaka ulale naye bila ku-do. Acha utapeli wa mapenziWanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani.
Kutongoza hakunaga formula. Sema nini Kapeace, mwanamke yeyote ukianza kwa kumwambia wewe lazima nikupate, lazima asumbue tu. Lakini, kwa mfano, mimi nikimwambia Bantu Lady kuwa Kapeace lazima nimgonge na huku Kapeace mwenyewe hajui KWAMBA NIMESEMA MANENO HAYO KWA Bantu Lady , HAPO LAZIMA UNGONGWE..!! Piga ua..!!Mbinu yako ishayumba, haijanishtua kabisa, muhimu mjifunze kutongoza mkachukue mbinu za kibabe kwa baba na babu zenu
Come 45 years of age and above, utaelewa..!! Kwa sasa acha liende hivyo hivyoMim kuolewa kwangu sio stress kukosa afya na pesa ndio stress
Sawa msemaji wanguHahahaha [emoji23][emoji23] pumbu utapigwa na chai utapika vzr sana asabuh
Unajishebedua tuu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bantu Lady ya kweli haya??Kutongoza hakunaga formula. Sema nini Kapeace, mwanamke yeyote ukianza kwa kumwambia wewe lazima nikupate, lazima asumbue tu. Lakini, kwa mfano, mimi nikimwambia Bantu Lady kuwa Kapeace lazima nimgonge na huku Kapeace mwenyewe hajui KWAMBA NIMESEMA MANENO HAYO KWA Bantu Lady , HAPO LAZIMA UNGONGWE..!! Piga ua..!!
Na hata Bantu Lady, asipojua kuwa kuna ligi inaendelea kuhusu kugongwa kwake, anasepeshwa tu..!!Bantu Lady ya kweli haya??
Wanawake hatufanani akili,Na hata Bantu Lady, asipojua kuwa kuna ligi inaendelea kuhusu kugongwa kwake, anasepeshwa tu..!!
Ni kweli, hamfanani, lakini mwalimu wenu kipofuWanawake hatufanani akili,
Utawaweza wanaume. Wao huwa akilini mwao, akimtaka mwanamke anajua lazima ampate.Bantu Lady ya kweli haya??
Umenikumbusha kitu,, matarajio yake yakifeli ndo wanaanzisha chukiUtawaweza wanaume. Wao huwa akilini mwao, akimtaka mwanamke anajua lazima ampate.
Matarajio yakiwa tofauti ndiyo hivyo. Ila huwa wanapania kama hivyo, so akili inamwambia lazima umpate tu.
Utazushiwa malaya, kila aina ya majina mabaya, chuki mpaka unajiuliza kosa ni kumkataa tu ama kuna mengine?Umenikumbusha kitu,, matarajio yake yakifeli ndo wanaanzisha chuki
Kipindi hiko umeshakula muda na resources zake zingine while u knew exactly what does that symbolises kwake[emoji849][emoji16] ladies bhanaUtazushiwa malaya, kila aina ya majina mabaya, chuki mpaka unajiuliza kosa ni kumkataa tu ama kuna mengine?
Mimi ni mmoja ya wanawake nayepigia kelele, wadada kama humtaki mtu usile vyake. Mimi kama sikutaki hutopata hata muda wa kuendelea kuwasiliana.Kipindi hiko umeshakula muda na resources zake zingine while u knew exactly what does that symbolises kwake[emoji849][emoji16] ladies bhana
Wanachekesha,, wanaumia sana wakikataliwaUtazushiwa malaya, kila aina ya majina mabaya, chuki mpaka unajiuliza kosa ni kumkataa tu ama kuna mengine?
Bora nisipate fursa ya kuwaona maana nitakuta wengine ni wazee wameshastaafu kabisa lakini wakija huku wanaandika mambo ya kijinga ambayo hata mtoto wa darasa la tano hawezi kuandika.Ungejua au ungepata fursa ya kumuona kila huyo mwanaume ambaye hajielewi ungebaki mdomo wazi [emoji4]
Shukuru anonimity policy inayowapeni jeuri za kuwaona wanaume wa humu hawajielewi, malofa, wahuni na kadhalika.