Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Yaani unanikaribisha nyumbani kwako nije kutalii? Kudadadeeki leta papuchi hiyo niisugue kama hautaki pita hivi.😡😡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wana pesa chafu na status kubwa chini.Bora nisipate fursa ya kuwaona maana nitakuta wengine ni wazee wameshastaafu kabisa lakini wakija huku wanaandika mambo ya kijinga ambayo hata mtoto wa darasa la tano hawezi kuandika.
Huu ni uzi mwingine au ni comment[emoji1][emoji1]
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki
Sasa ulitaka tuendekeze nini😅😅Kuna watu wameendekeza ngono mpaka kero!
Una haki ya kuamua ila huna haki ya kupokea posho na kukimbia ukijua kupokea ujue na kutoa piaHeee! Posho?
Ina maana kwenye haya maisha mwanamke hana uhuru wa kuamua?
Kwamba kila anayemhitaji ni lazima awe naye?
Nina uhakika hawezi kabisaIla wana pesa chafu na status kubwa chini.
Ukiwaona utaanza njaa zako na kujibebisha ulelewe na umsaliti huyo kijana uliyenae 😊😊😊👍🏾
Uliyenae anaweza kukununulia Villa Mikocheni au Mbezi beach? 😊
Ila wana pesa chafu na status kubwa chini.
Ukiwaona utaanza njaa zako na kujibebisha ulelewe na umsaliti huyo kijana uliyenae [emoji4][emoji4][emoji4][emoji1474]
Uliyenae anaweza kukununulia Villa Mikocheni au Mbezi beach? [emoji4]
Ni dhambi kubwa sana,na ni matumizi mabaya ya mkaribisho wa mwanaume,ila sema naye jamaa ilibidi amkaribishe kwake,,Well said
Utakuta amemtamanisha mwamba. Tamaa zikamjaa. Kisha akambania.
Sio Sawa hii
Kumbe danga lililolopoa,sasa kumbe unachukua mume wa watu halafu unaleta nene nene hapa,kapufu maofu😏Msikie huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Wewe unadhani mimi nipo na kijana sio?
Na hapo ukute ameshakula misimbazi ya jamaa mara kenda halafu ,leo ng'waaaa ng'waaaa kama ambulance,ukute jamaa aliona makusanyo yamekuwa makubwa😅😅🙌Urafiki halafu unautumia urafiki kibinafsi kujinufaisha. (Kumpiga piga vibomu)
Oh Hallelujah 😅😅😅Mlichopewa na Mungu, kumnyima mwanaume dhambi
Kwa umbegu upi alonao.Mwanamke huna adabu wewe,unawezaje kumtukana kidume cha mbegu hivyo?.
Shida sana kuwa mwanaume rijali. Ukitaka mroho..Ukipotezea haisimami au una kibamia. Sijuwi hata tufanye nini Kwa hawa viumbe wazuri?! 🤔😣😩😫Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani.
Acha kulia liaShida sana kuwa mwanaume rijali. Ukitaka mroho..Ukipotezea haisimami au una kibamia. Sijuwi hata tufanye nini Kwa hawa viumbe wazuri?! [emoji848][emoji21][emoji30][emoji31]
Kwahiyo watu ambao sio vijana ni waume za watu? Wewe mwendawazimu nini?Kumbe danga lililolopoa,sasa kumbe unachukua mume wa watu halafu unaleta nene nene hapa,kapufu maofu[emoji57]
Simba mzee? Bob Junior aliuliwa sababu Gani Mkuu?Akuna urafiki kati ya simba na swala labda simba mzee