TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Yani ulete uhuni nyumbani kwangu 😂😂😂
Basi utakua unaota bro tena ndoto za mchana.
Kwahiyo ni mumeo😅? Ama mchepuko?😏,,au ni Mgane?Kwahiyo watu ambao sio vijana ni waume za watu? Wewe mwendawazimu nini?