Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

K
Bora mtu akuombe unaweza mwambia kistarabu ndio au hapana.
Ety jitu linalazimisha alf sio bwana angu na sikuwai kufikilia.
Kumbwe swala sio kujiheshimu,ila ni kwa sababu huna hisia nae ? wanawake bwana,kwahyo kama unahisia nae na anataka mzigo hata kama sio bwana ako anakula.
 
K

Kumbwe swala sio kujiheshimu,ila ni kwa sababu huna hisia nae ? wanawake bwana,kwahyo kama unahisia nae na anataka mzigo hata kama sio bwana ako anakula.
Ishi huyu nae
 
Marafiki tulionao wanatosha
 
Wewe ndio umeongea safi sana,usipokula cha mtu hata kuleta mada za kukutaka itakuwa ngumu sana,na mwanume atakuelewa hawezi kukusumbua kabisa,maana hakupati kwenye lolote
 
Mmhhh, kwahiyo mfano ni staff member, au mme wa ndg yako, au jirani yako, hawezi kuja kwako kukutembelea na mkasaidiana kwenye shida hadi muwe wapenzi?
sasa huko katika kusaidiana kwenye shida na yeye shida yake ni penzi
 
Mnakula vyawanaume kutoa uroda inakuanongwa kama humpendi mtu mwambie sio kumpiga vibom hii huwa inaleta uhasama
 
Nilichopewa si sanamu la Michelin kwamba kila mtu atataka aone linafanana vip.

Usiibanie sana mwisho wake ni kuliwa na mchwa tu!! Itumie amana yako ungali na nguvu ,itafika wakati utashindwa kuitumia ingawa utataka kufanya hivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…