Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Mimi ni mmoja ya wanawake nayepigia kelele, wadada kama humtaki mtu usile vyake. Mimi kama sikutaki hutopata hata muda wa kuendelea kuwasiliana.

Achana na muda wako wala hela zako, hatutafika huko. Sijakuelewa nakata mawasiliano nawewe. Sitatumia senti 5 yako nyekundu.
Then pass it on kwa wadada wengine if it's black or white,, kuwa grey jau
 
Bora nisipate fursa ya kuwaona maana nitakuta wengine ni wazee wameshastaafu kabisa lakini wakija huku wanaandika mambo ya kijinga ambayo hata mtoto wa darasa la tano hawezi kuandika.
What's wrong with kuwaona,,?? [emoji849] Hata maelezo yako kuna probability za kutosha,, Generalisations sio nzuri, bahari haina papa pekee,, hata dolphins wapo na wamejaa tele,
 
Sasa unaposema Wanaume ni viumbe wa Ajabu una maana gani? Kwa nini usitumie huyo Mwanaume wako Kama reference na ingetosha kueleweka tu.
 
Wanawake wengi hawajui/hamjui mapenzi na ndio maana wanaume wanawaacha na hata

wakiwapata mnaliwa na kuachwa,mwanamke unatakiwa uwe mbunifu kuliko unavyopika chakula jikoni

mwanaume umeshajua anataka Sex hivi wewe kama mwanamke huwezi mridhisha huyo mwanaume

bila kumvulia chupi? njia pekee ya kumridhisha mwanaume wako n kuvua chupi aingie? Fine hutaki SEX

unashindwa mfanyia chochote mwanaume wazungu wakaja,? ninachojua sisi wanaume kile kigoli cha

kwanza ndio kinakuaga na kihere here unauwezo wa kumfanyia chochote mwanaume wako akashusha zigo

sasa mwanamke mwanaume yuko High,mlivyo hamjui mapenzi hamna option wala kauli ni kukazana tu STAKI STAKI STAKI...

hata mimi staki pia ila ni chululuuuu ndio inataka kwa hiyo hamna neno utaniambia nitakuelewa na ninajua wewe ni mpenzi wangu.

Mpaka nafikia hatua ya kutaka sex kwako fahamu wewe ni mpenzi wangu ulipaswa unipe na usiponipa basi utumia njia unayoweza kunishusha juuu hadi chini.

Mianamke ya saivi kisa ina sura nzuri,ina shape,tako,rangi Ndio ishamaliza... Kauli za mapenzi kwa waume/wapenzi zenu hamna,kubembeleza ZERO

ki ufupi mimi ndio mana nawatafutaga nikiwa na genye tu,zikiisha na deal na biashara zangu...Hamna kitu zaidi ya sex mnaweza offer kwa mwanaume yani Hamna.

Siku uko bleed Je,una nini unaweza offer kwa mwanaume wako? au ndio akajiongeze?

Umetoka Jifungua,una nini unaweza offer kwa mwanaume wako? au ndio akajiongeze?

Hujiskiii out of mood,una nini unaweza offer kwa mwanaume wako? au ndio akajiongeze?

Wanawake mnachukuliaga kumkatalia mwanaume akitaka papuchi jambo la kawaida sana eeh?

Kaeni hapo msubiri miujiza ndio mana ndoa hazipo,wanaume wa siku hizi (wanatest mitambo) kabla ya lolote hilo mkae mkilijua.

Kuuziana Mbuzi kwenye gunia ilikua zamani,so Mpe hata mara 1 kutest mitambo inatosha hizo zingine Jiongezeni.
 
Wanawake wengi hawajui/hamjui mapenzi na ndio maana wanaume wanawaacha na hata

wakiwapata mnaliwa na kuachwa,mwanamke unatakiwa uwe mbunifu kuliko unavyopika chakula jikoni

mwanaume umeshajua anataka Sex hivi wewe kama mwanamke huwezi mridhisha huyo mwanaume

bila kumvulia chupi? njia pekee ya kumridhisha mwanaume wako n kuvua chupi aingie? Fine hutaki SEX

unashindwa mfanyia chochote mwanaume wazungu wakaja,? ninachojua sisi wanaume kile kigoli cha

kwanza ndio kinakuaga na kihere here unauwezo wa kumfanyia chochote mwanaume wako akashusha zigo

sasa mwanamke mwanaume yuko High,mlivyo hamjui mapenzi hamna option wala kauli ni kukazana tu STAKI STAKI STAKI...

hata mimi staki pia ila ni chululuuuu ndio inataka kwa hiyo hamna neno utaniambia nitakuelewa na ninajua wewe ni mpenzi wangu.

Mpaka nafikia hatua ya kutaka sex kwako fahamu wewe ni mpenzi wangu ulipaswa unipe na usiponipa basi utumia njia unayoweza kunishusha juuu hadi chini.

Mianamke ya saivi kisa ina sura nzuri,ina shape,tako,rangi Ndio ishamaliza... Kauli za mapenzi kwa waume/wapenzi zenu hamna,kubembeleza ZERO

ki ufupi mimi ndio mana nawatafutaga nikiwa na genye tu,zikiisha na deal na biashara zangu...Hamna kitu zaidi ya sex mnaweza offer kwa mwanaume yani Hamna.

Siku uko bleed Je,una nini unaweza offer kwa mwanaume wako? au ndio akajiongeze?

Umetoka Jifungua,una nini unaweza offer kwa mwanaume wako? au ndio akajiongeze?

Hujiskiii out of mood,una nini unaweza offer kwa mwanaume wako? au ndio akajiongeze?

Wanawake mnachukuliaga kumkatalia mwanaume akitaka papuchi jambo la kawaida sana eeh?

Kaeni hapo msubiri miujiza ndio mana ndoa hazipo,wanaume wa siku hizi (wanatest mitambo) kabla ya lolote hilo mkae mkilijua.

Kuuziana Mbuzi kwenye gunia ilikua zamani,so Mpe hata mara 1 kutest mitambo inatosha hizo zingine Jiongezeni.
Huu ni uzi mwingine au ni comment😄😄
 
Wanawake wengi hawajui/hamjui mapenzi na ndio maana wanaume wanawaacha na hata

wakiwapata mnaliwa na kuachwa,mwanamke unatakiwa uwe mbunifu kuliko unavyopika chakula jikoni

mwanaume umeshajua anataka Sex hivi wewe kama mwanamke huwezi mridhisha huyo mwanaume

bila kumvulia chupi? njia pekee ya kumridhisha mwanaume wako n kuvua chupi aingie? Fine hutaki SEX

unashindwa mfanyia chochote mwanaume wazungu wakaja,? ninachojua sisi wanaume kile kigoli cha

kwanza ndio kinakuaga na kihere here unauwezo wa kumfanyia chochote mwanaume wako akashusha zigo

sasa mwanamke mwanaume yuko High,mlivyo hamjui mapenzi hamna option wala kauli ni kukazana tu STAKI STAKI STAKI...

hata mimi staki pia ila ni chululuuuu ndio inataka kwa hiyo hamna neno utaniambia nitakuelewa na ninajua wewe ni mpenzi wangu.

Mpaka nafikia hatua ya kutaka sex kwako fahamu wewe ni mpenzi wangu ulipaswa unipe na usiponipa basi utumia njia unayoweza kunishusha juuu hadi chini.

Mianamke ya saivi kisa ina sura nzuri,ina shape,tako,rangi Ndio ishamaliza... Kauli za mapenzi kwa waume/wapenzi zenu hamna,kubembeleza ZERO

ki ufupi mimi ndio mana nawatafutaga nikiwa na genye tu,zikiisha na deal na biashara zangu...Hamna kitu zaidi ya sex mnaweza offer kwa mwanaume yani Hamna.

Siku uko bleed Je,una nini unaweza offer kwa mwanaume wako? au ndio akajiongeze?

Umetoka Jifungua,una nini unaweza offer kwa mwanaume wako? au ndio akajiongeze?

Hujiskiii out of mood,una nini unaweza offer kwa mwanaume wako? au ndio akajiongeze?

Wanawake mnachukuliaga kumkatalia mwanaume akitaka papuchi jambo la kawaida sana eeh?

Kaeni hapo msubiri miujiza ndio mana ndoa hazipo,wanaume wa siku hizi (wanatest mitambo) kabla ya lolote hilo mkae mkilijua.

Kuuziana Mbuzi kwenye gunia ilikua zamani,so Mpe hata mara 1 kutest mitambo inatosha hizo zingine Jiongezeni.
[emoji817] Agreed

Wamezubaa sana
 
Mimi ni mmoja ya wanawake nayepigia kelele, wadada kama humtaki mtu usile vyake. Mimi kama sikutaki hutopata hata muda wa kuendelea kuwasiliana.

Achana na muda wako wala hela zako, hatutafika huko. Sijakuelewa nakata mawasiliano nawewe. Sitatumia senti 5 yako nyekundu.
Kama ulichokiandika hapa unakiishi ubarikiwe sana
Kama ni kinyume chake ...................
 
Back
Top Bottom