- Thread starter
- #121
Manara kwa mke yupi?Humo humo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manara kwa mke yupi?Humo humo
Manara kwa mke yupi?
Manara kwa mke yupi?
Acheni utani dc anafaha bhnaHuyu hapa
View attachment 2222975
ukweli ni kwamba hakuwa na mapenzi ya dhati na mumewe wamwanzo kwani kwenye mapenzi nafasi hupatikanaMoja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Azinie asie kuwa na akili yukoje huyo, anaye ziniwa bila ridhaa yake (hana akili) basi huko ni kubakwa sasa....Azinie hana akili,je utampiga mawe
Sio Juma tu.Juma alikua anakula mzigo huo
Na wote walikutania hukohuko kwenyedepo zao, na wanapenda kuoana wao kwa wao.Hao wengine Askari,usione mayanki wanapewa vyeo unadhani ni bahati sheikh