Alimwambia mume wake aoe yeye yuko busy.

Alimwambia mume wake aoe yeye yuko busy.

Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
ukweli ni kwamba hakuwa na mapenzi ya dhati na mumewe wamwanzo kwani kwenye mapenzi nafasi hupatikana
 
Juma alikua anakula mzigo huo
Sio Juma tu.
Kuna mstaafu mmoja mwandamizi ambaye ilimkosti mpaka kaukosa
uheshimiwa.
Yuko mwingine Sasa sio rahisi kumtaja maana eh.
Halafu huyo mume wake wa kwanza na Juma.
Tuwe tu na roho ngumu maana unaweza kuoa mwanamke la Saba alikua na kijamaa. Fom foo alikua na wajamaa, fom six usiseme, mtaani kwao Kuna sponsor. Huko chuoni usiseme.
Halafu ukimuoa hataki ufaidi michepuko kutwa anavizia simu yako ili mgombane.
 
Back
Top Bottom