Aliniacha kwa fedheha, lakini leo anahitaji msaada wangu

fata hii njia toa msaada kama mtu ambae hamjuani ili usikumbuke maumivu yyte then usifate yale atakayo yeye wanawake wana
self defense yao ya kugawa penzi ili kukusaulisha yale magumu aliyokueleza tambua bado anamegwa na huyo jamaa ake
wa chuo ila ww kama kijana smart msaaidie then pita hiviiiii...bila kukubali tena rushwa yake ya ngono...utanishukuru baadae
 
Nimekuelewa mkuu.
 
Sijasoma hadi mwisho. Lakini nasema hivi, achana nae. Mwambie apambane na hali yake.
 
Mshikaji alidate na mtu ambae yuko kimaslahi zaidi ndo maana unaona alikuwa anamtatulia changamoto nyingi so ameisha kuona wewe ndo mtu wa kumtatulia shida zake ila ukweli ni kwamba hakupendi, Jino Kwa jino huwa ni majibu sahihi Kwa watu washenzi kama yeye
 
nakuelewa sana mzee, blessed
 
Toa msaada wema hauozi bana, duniani tuliletwa tusaidie watu, pia huyu kakufundisha mahusiano yalivo. Na dunia ilivo ya ajabu IPO siku aweza kuja kukuokoa. Wewe msaidie ila kata mazoea naye utashangaa utapata armani moyoni
Huo upuuzi, akasaidiwe na bitozi wake wa kigamboni๐Ÿ˜…!!!
Watoto wa kike mnashangazaga mno yani, umkatae mtu kwa zereuw kisha yakikushinda huko urudi unajiliza liza et usamehewe shabash๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Mapenzi yaliyo ya ajabu huyo Mwanamke utamrudia kimwili mmeachana ila kiroho bado msamehe maisha yaendelee.
Akimuendekeza atamsaidia na kumrudia ila sheitwani kama hio huwa siruhusu hata sms yake kuingia tena kwangu! Najua atapiga kwa namba ingine sababu ana mashida yake yamemuelemea ila ndio muda mzuri wa kumnyoosha na kisasi kitamuingia vizuri sana akafie mbele!

The world is so cruel but we gotta face it at times!
 
ukiachana na mwanamke ambae mliishi miaka yote hiyo, akili hua haifanyi kazi vizuri,, najua bado unachembechembe za kumpenda na kumkumbuka, unakumbuka mlivyokua mnafanya, mapenzi yeny yalivyokuwa kipindi hicho nk.
.
.
nadhani wewe ni mtu mzima na unataka kuwa na familia yako tena yenye amani, tulia kwanza, endelea kuwa na marafiki wa kike, maumiv yakipoa tafuta mwanamke mzuri na msomi, wanawake wazuri wanaojiheshim wasafi na wenye elim zao wapo, ni wewe tuu kujichanganya na kumtafuta unaempenda, asikutese huyo mpuuzi, amejua ulikua unampenda ndo maana!!
.
wanini bin wakazigani unatafta mke si dem, unaweza kukaa na mke aliewahi kukwambia jiongeze mzee!!?
 
Jamani,huyu jamaa bado anampenda huyu mwanamke na atamsaidia na atatupwa tena,muacheni apambane na hali yake..ila kwa maelezo yake inaonekana mwanamke hakumpenda jamaa,alikuwa tu hajakutana na mtu wake!
Wanawake wote ndio wako hivyo akiwa hajampata wake wa hubani anakuinjoy na kula hela zako tu ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
KWENYE MASUALA HAYO HAKUNAGA MSAMAHA...
KESHO KUTWA AKIRUDI TUKIO LITAJIRUDIA
WATAKUJA TIANA KIBIRITI
HUYO MWANAMKE KAPIGIKA NDY ANATAKA KURUDI
HUYU MLETA MADA ASONGE MBELEEE TU

OVA
Kamuona mtoa mada ndio โ€œTigo Nivusheโ€ wake yani ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… akifulia anakuja kupumzikia kwake..,yakimkalia vyema anakiwasha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ