Huyo sio mumewe ni danga, so muda wowote lingemuacha solemba…!!
Huyo dada ni mjasilia chiu, sasa kumpangia nani awe wake permanent ni kumkosea..!!
kwanza wanaume mnanishangaza, mnaacha kumsema huyo mume wa mtu asiyetulia na ndoa yake, au Mr chaunabe aliyepigwa upepo wa bodaboda kigamboni to ubungo-mbweni kwenda kumsumbua mwanaume mwenzie kwa mkewe wa ndoa, nyie mnasikia wivu kwa binti anayetumia urithi wa bibi yake.!! Mna akili kweli? 😹😹😹
Haya wote kwa umoja wenu mfanywe nyie michepuko ya mwarabu 🤣