Umeanza vizuri mwishoni umeandika usengeKwangu mm ulichofanya ni sahihi kabisa, amekuachanisha na mtu uliyemtolea mahari kabisa, kumgonga hakuwezi kumrudisha mtu uliyempenda. So ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga. Na yeye ajisikie radha ya kuchongea watu
Anyway, hiyo laki mbili ya mwarabu, kata gharama ulizotumia kumfuata. Inayobaki yote nunua gauni zuri linalokutosha na mafuta ya mgando, then hamia kwa bwana ako
Sasa km anamiliki danga la 30m atakosa vipi danga 50m 😹😹We mkinga tumia akili kuna msemo unasema ombea bahati sio uzuri
Kupata danga la chap chap la kukupa biashara ya mtaji 30M sio rahisi kama unavyofikiria
Yangu macho 👀👀👀👀Sasa km anamiliki danga la 30m atakosa vipi danga 50m 😹😹
Huyo ana hesabu kali sio fallah..!!
Sasa unashindana na mwanamke 😹Kikubwa huyo mwanamke na yeye kachongewa, mambo ya kusema una umia au huumii hiyo utajua mwenyewe.
Kama ulivyosema Ubaya Ubwela tuishie hapo.
Ndio, umesahau pia ni mume wa mtu..!!Kodi 350k kwa mwezi
Mtaji wa Biashara Mil 30
Halafu HANA CHA KUPOTEZA??
😳😳😳😳
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Danadana huwezi kupiga moja ukaita danadana...nyie mipira sisi wapiga danadana 😂😂😂HIvi inakuwaga shida nini kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja,. Niambie kwanza nijue
Basi Edit mwishoni hapo andika ambacho siyo usenge. Si unataka kila mtu aandike unachokiwazaUmeanza vizuri mwishoni umeandika usenge
Mara yangu ya kwanza kuona comment ya kukata tamaa toka kwako 😂Daaaaa!
Huyo sio mumewe ni danga, so muda wowote lingemuacha solemba…!!Kumbe huwa mnajidanganya hivyo?
Ukiwa upo ndoani au na mshikaji anakuhudumia unaona wanaokutongoza wote wazuri. Achika uone
🤣 🤣 🤣 🤣Hiyo laki mbili,akikisha kiasi kidogo ujinunulie dela linalokufit.
Tafuta sehemu ambapo wanawake wanajiuza. Wanauza K kama bidhaa zingine na wapo busy na biashara utafikiri ni biashara halaliHuyo sio mumewe ni danga, so muda wowote lingemuacha solemba…!!
Huyo dada ni mjasilia chiu, sasa kumpangia nani awe wake permanent ni kumkosea..!!
kwanza wanaume mnanishangaza, mnaacha kumsema huyo mume wa mtu asiyetulia na ndoa yake, au Mr chaunabe aliyepigwa upepo wa bodaboda kigamboni to ubungo-mbweni kwenda kumsumbua mwanaume mwenzie kwa mkewe wa ndoa, nyie mnasikia wivu kwa binti anayetumia urithi wa bibi yake.!! Mna akili kweli? 😹😹😹
Haya wote kwa umoja wenu mfanywe nyie michepuko ya mwarabu 🤣
Valentine's Day hiyo ni future tense, tuna ongelea present tense. Kumbuka tayari ameweka demu muarabu kama yeye na vitu katoa vyote kuondoa nuksi.Sasa unashindana na mwanamke 😹
Kaachwa huyo anakuja mwingine na bado mwarabu atarudi Valentine’s Day na maua na iPhone ya kuombea msamaha..!! 🤣 pole weyee
Makasiriko ya nini, fanya watu na wewe ufanyiwe, iko hivyo tuu. Ubaya ubwelaHuyo sio mumewe ni danga, so muda wowote lingemuacha solemba…!!
Huyo dada ni mjasilia chiu, sasa kumpangia nani awe wake permanent ni kumkosea..!!
kwanza wanaume mnanishangaza, mnaacha kumsema huyo mume wa mtu asiyetulia na ndoa yake, au Mr chaunabe aliyepigwa upepo wa bodaboda kigamboni to ubungo-mbweni kwenda kumsumbua mwanaume mwenzie kwa mkewe wa ndoa, nyie mnasikia wivu kwa binti anayetumia urithi wa bibi yake.!! Mna akili kweli? 😹😹😹
Haya wote kwa umoja wenu mfanywe nyie michepuko ya mwarabu 🤣
😹😹😹 Atapata mwingine.!Valentine's Day hiyo ni future tense, tuna ongelea present tense. Kumbuka tayari ameweka demu muarabu kama yeye na vitu katoa vyote kuondoa nuksi.
Ubaya Ubwela ukitaka kujua na wewe jaribu api ulipo. Haribu mahusiano a ndoa za watu alafu upate dawa yako.
😹😹😹 Kwahiyo umefurahi yeye kupewa laki 2!!Makasiriko ya nini, fanya watu na wewe ufanyiwe, iko hivyo tuu. Ubaya ubwela
Kapigwa na upepo mwisho wa boda mpaka mbweni la mwisho wa siku katulia na laki 2 yake mkononi.
Infact kwa sasa moyo wake uko huru na amani, wewe usilete mambo ya uwanaume a uwanawake, Kula za macho tuliza mshono.
Mume wa mtu apewe heshima gani? Kama kashindwa kuiheshimu ndoa yake na mkewe hakuna wa kumuheshimu..!! 😹😹Tafuta sehemu ambapo wanawake wanajiuza. Wanauza K kama bidhaa zingine na wapo busy na biashara utafikiri ni biashara halali
Wanawake huwa wanaolewa hata 30 kwahiyo huyo mwaarabu dini yake inaruhusu kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja
Ukiona mwanaume anakuhudumia kwa kila kitu. Mpe heshima yake