Alinichoma nikafumaniwa na Mwanamke wangu, nimelipiza kisasi kikamilifu

Alinichoma nikafumaniwa na Mwanamke wangu, nimelipiza kisasi kikamilifu

Kwangu mm ulichofanya ni sahihi kabisa, amekuachanisha na mtu uliyemtolea mahari kabisa, kumgonga hakuwezi kumrudisha mtu uliyempenda. So ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga. Na yeye ajisikie radha ya kuchongea watu

Anyway, hiyo laki mbili ya mwarabu, kata gharama ulizotumia kumfuata. Inayobaki yote nunua gauni zuri linalokutosha na mafuta ya mgando, then hamia kwa bwana ako
 
huko ni kujifariji sasa, haimuumi vipi sasa, kashapoteza biashara aliyokuwa amefunguliwa anarudi kwenye chama cha jobless, huko kijijini atapata sponsor muuza mazao
Yani kaweza kupata wote hao, aje kushindwa kumpata mwingine km hao?!!

Kwanza huyo mwarabu anaombwa msamaha anarudisha majeshi, yeye mwenyewe ana mke..!!
 
"Nikampa umbea wote na ushahidi wa video kuwa Dem wako yupo na mwamba ndani anapiga jamaa akachanganyikiwa ikabidi awashe gari turudi kigamboni,akashuhudie mwenyewe, ile kufika tu kweli akakuta Gari imepaki ndani na kuna mwamba ndani anamshuhulikia mwanamke wake kisawasawa"
Kwa mwandiko huu kuwa makini usijeleft group
 
Kwangu mm ulichofanya ni sahihi kabisa, amekuachanisha na mtu uliyemtolea mahari kabisa, kumgonga hakuwezi kumrudisha mtu uliyempenda. So ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga. Na yeye ajisikie radha ya kuchongea watu

Anyway, hiyo laki mbili ya mwarabu, kata gharama ulizotumia kumfuata. Inayobaki yote nunua gauni zuri linalokutosha na mafuta ya mgando, then hamia kwa bwana ako
[emoji23]
 
Yani kaweza kupata wote hao, aje kushindwa kumpata mwingine km hao?!!

Kwanza huyo mwarabu anaombwa msamaha anarudisha majeshi, yeye mwenyewe ana mke..!!
Jamaa yetu kapuyanga bwanaa,Kigamboni to Mbweni kupeleka umbea?Mimi nawaza alisemaje kwa huyu mwarabu?

Like Kaka mwarabu najua hunijui ila demu wako kule kigamboni kaingiza mwanaume ndani😂😂😂
 
Noma sana, nikuambie kitu kwa vile hajakujua kama ni ww mchongeaji wake basi weka mazingira ule kei yake

Muulize upo wapi? Sikuoni hapa siku hizi jirani.

Akikuhadithia mpe pole nyingi sana na kusikitika.

Kisha muulize utaishije sasa jirani na maisha yalivyo magumu? Akijielezea na kujiliza mwambie yote Maisha but bado una nafasi kubwa sana kutusua.


Fanya hivi nina vingi vya kukushauri juu ya kilichotokea na situation ya maisha ya baadae hatuwezi kuyaongelea kwenye simu tukamaliza, nakuomba week ijayo nina safari ya Kikazi Dodoma, njoo tukutanie hapo tupate muda wa kuongea na kushauriana.

Note: weka disappearing message na mkimaliza huo mjadala delete for all ili asije screej shot na kusambazia rafik yake au yoyote.

Mwambie bimefuta kwa usalama wako maana bado uko kwenye ugomvi na maelewano asije iona mtu aako ikaongeza ugomvi mwingine.


Ukishindwa kumla niite Nyau
 
Unampelekea umbea mwarabu imagine 😹😹
Mwisho mwarabu ahisi anamtaka yeye ndo ampindue mchepuko wake, si unajua mwarabu wa mafuta hachagui pa kuchomeka kuni 🤣
Katuaibisha sana mjinga huyu,Fikiria
Kigamboni-Kapita darajani-> Tazara>Ubungo->mwenge-Makonde na boda tuuu na upepooo afu karudi kapanda gari ya mwarabu😂😂
 
Back
Top Bottom