Alinichoma nikafumaniwa na Mwanamke wangu, nimelipiza kisasi kikamilifu

Ila nawe ni mmbea, alaf unamlekaje mwanamke kwako na wewe? Mpeleke lodge huko mkafurahi sio kwako kama kitanda hicho analalia mwanamke wako unaempenda usichanganye wanawake kwenye kitanda kimoja utapata nuksi.

Ila umenizidi kwa umbea wewe Baba, huyo mwanamke nae mjinga mwanaume anatakiwa agharamie kila kitu kuhusu kutombana, subiri kuna siku utasutwaa.

Mwisho, huyo mchumba wako kama ni mkorofi Mungu kakuepushia wanawake wakishaingia kwenye ndo, wanakuwa mara kumi ya hivyo unavyowaona niamini mimi. Ndg zako na wazazi wake wasingekuwa na amani nyumban kwako. Ww uliepushiwa tuu naweza ukalipa baya mbwa wewe
 
Yani kaweza kupata wote hao, aje kushindwa kumpata mwingine km hao?!!

Kwanza huyo mwarabu anaombwa msamaha anarudisha majeshi, yeye mwenyewe ana mke..!!
ukishakuwa kijijini nani atakuona huko? kumbuka hamna boom la kununua vipodozi, usichukulie poa.

unaongelea msamaha kwa mwanaume aliyekufumania? hamna mwanaume mwenye moyo wa namna hiyo labda uwe umemuendea kwa mganga
 
Hiyo ndio inaitwa UBAYA UBWELA MKUU AU?
 
Ubaya ubwela
 
Mbona unaonekana wewe ndio umeumia kuliko huyo mdada


Anyway jamaa ana tabia za umbea na hazifai kwa mwanaume
 
Chai umejitahidi kutafuta viungo halisi maana umesema binti wa kondoa ili angalau ilete maana. Mabinti wa kondoa hawajawahi kutenda dhambi ya kukataa.
 
Mimi naona umefanya jambo sahihi kabisa kwa kuwa huyo mwanamke hujamzushia ni kweli kaingiza mwanaume ndani......

Hao wanaosema hayakuhusu achana nao na ndio hao hao wanaleta nyuzi humu kulalamikia wanawake zao.....

Kumhudumia mwanamke ni jambo kubwa sana linalotaka heshima.....kumleta mwanaume sehemu unayolala na mwanaume wako ni dharau za kiwango kikubwa

Hata kama unaonekana mbeya haina shida lakini umemuokoa mwanaume mwenzio kwenye dhahama..........

Kama na yeye alidiriki kufanya yasiyo mhusu ili kukuharibia basi na wewe umefanya jambo la maana......

Yeye katumia umalaya wako kukuachanisha na mpenzi wako na wewe ukatumia umalaya wake kumuachanisha......
 
πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£βœŒπŸΏβœŒπŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…