Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamzungumzia nani mkuu?The old man lost about 100 killos, licha ya kuwa alikuwa ni mmoja wa watu wenye pesa nyingi sana na alikuwa anakula msosi mzuri
mwanae anasema siku anamuona baba yake kaja kumpokea Airport alishangaa sana mpaka akamuuliza kulikoni
Hii ni kweli kabisa...mwanaume kila chupi unataka uifunue, lazima unasishwe na bacteria [emoji848]Ukweli ni kwamba ukiendekeza ngono zembe uwezekano wa kupata ngoma ni mkubwa nimeshuhudia watu wa kalibu yangu walio kuwa wananifanyia wao asipite demu mkali lazima wawe nae wote hawapo duniani Tena baba zangu wadogo wawili jilani watu ni wengi
Bora tutulie tu tuwaheshimu wake zetu tuache kuwatia majonzi pili tuangalie watoto wetu tueaonee huruma baba unapo ondoka watoto wanabaki kuhangaika sana
Unafikiri?? Real?...it's not scientificallyNafikiri pia kwa mtu anayetumia ARV ni ngumu sana kumuambukiza mwingine hata kama watagongana kavu kavu, Virusi vyake vinakuwa vimefubaa.
Mi navitafutaga pharmacy nakosa![emoji848]Vipo dispensary kaka,vipo vingi sana kwenye haya mashirika au NGO zinazotoa huduma za HIV! Na kumbuka serikali ilitunga sheria kwamba kila mtu anaweza jipima HIV popote alipo! Kwa hiyo hivi vifaa vinapatikana tu!
Kabisa demu akianza swaga za sijui naogopa,sijajiandaa, ungeniambia mapema,anza kuweka doubt,la sivyo itakula kwako! Chakata mbususu na kifungashio!
[emoji134][emoji134]Usiamini sana! Jaribu kutokuweka maisha yako rehani! Demu ambaye ni mapepe,peleka dispensary kapime nae kwanza ndiyo anza kuuza mechi! Hawa mademu wa one night stand, ndiyo kabisa,usikubali kuuza mechi hata kama umelewa vipi!! Uke wa mwanamke ni mwepesi sana kuchubuka kama utapiga kavu bila yakumuandaa,sasa imagine wote mkachubuka si balaa hilo!
Niliwahi piga manzi mmoja anagoma,sikuuza mechi,baada ya mwezi mmoja msela ananipa story za yule manzi kua anakula njugu,aiseeee niliwaza sana,na yule manzi alikuja fariki baada ya mda!
Hata sperm content pia huwa ina kiwango kidogo cha virusi, ishu ni mchubuko na damu kugusana at the end kupata ukimwi si rahisi hivyo mimi niliponea chupuchupu kuambukizwa na binti mmoja nakumbuka siku hiyo nilikuwa nimelewa chakari na ilipigwa show the whole night na sikutumia protection ila nilitoka mzima.Mate ya percentage ndogo ya virusi kulinganisha na sperms na damu.![]()
Scientifically? Yes or No, kutokana na shuhuda kadhaa kuna watu wanaishi na waathirika, wanazaa watoto na maisha yanaendelea bila kuambukizana.Unafikiri?? Real?...it's not scientifically
Asante mkuu nitakustuaVipo vingi sana,ukihitaji sema nikutumie! Nina boxes 2 zipo tu ghetto
Tafiti zinaonesha ukimwi umeshika kasi sana kwa mabinti age 18 hadi 30. Yaaani kundi hili ni balaa. Wengine wamezaliwa nao ndio wamefikia makamo ya kuanza kuzaa na mabinti wanadanga sana. Clinic kupima ni lazima hivyo takwimu zinatisha
marehemu Franco LuamboUnamzungumzia nani mkuu?
Ni nani? Alifanyaje?marehemu Franco Luambo
Naam nampata Fela ila kijana wake simfahamu, Fela kuti nasikia alikuwa na wanawake wengi sana yule ni kweli umeme sio mchezo !!!Unamjua mwanamuziki wa Nigeria wa miaka hiyo alikuwa anaitwa Fela Kuti Anikulapo. Ana kijana wake nae ni mwanamuziki kama babake anatumia nae ubini huohuo wa dingi yake. Mzee huyo nae aliondoshwa na ngwengwe. Wanamuziki miaka hiyo na hata Sasa kwa huo umaarufu wao ni wa kuombewa. Kiujumla ngwengwe ni hatari kuliko Covid.
Mkuu sperms hazina virusi vya ukimwi isipukuwa semen na vagina fluids,ingekuwa sperms Zina vvu Basi watoto wote walozaliwa na wazazi ambao ni positive wangekuwa na ukimwi.Mate ya percentage ndogo ya virusi kulinganisha na sperms na damu.
Ni kweli alikuwa na wanawake wengi na pesa alikuwa nayo,na umaarufu vilevile mana alikuwa ametokea familia maarufu. Akaongezea na kipaji chake so wanawake kwao alikuwa ulimbo na ngwengwe hakuikwepa. Alifariki akiwa kwenye 50's bado kabisa.naam nampata Fela ila kijana wake simfahamu, Fela kuti nasikia alikuwa na wanawake wengi sana yule
ni kweli umeme sio mchezo !!!
Kwahiyo nyeto umeona sio option? Buree kbs wwUKISHINDWA KABISA TUMIA CONDOM kwa usahihi hiyo ndio Option ya mwisho.
Amemaanisha kuwa mabint wengi wabichi ambao wnaume wengi tunapenda kuwakimbilia ndo walioubeba Ukimwi, wengi wao hawajazaa au ndo kaanza kuzaa!Fafanua kidogo tupate elimu mkuu
Una bahati sana best, weeeee na sasa kama usingemuona huyo wa BMW? please bado nakuhitaji kukuona hapa jukwaani, tumia kinga ukishindwa acha kabisaaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂😂 mie nimeshawahi kumkimbia mrembo kweli kweli wakati huo mimi na kinga mbali mbali kabisa halafu yule mrembo Caroline alitokea kunipenda sana. Kutokana na uzuri w