Alinidanganya kuwa mumewe alikufa kwa stroke kumbe ngoma

Alinidanganya kuwa mumewe alikufa kwa stroke kumbe ngoma

Ukweli ni kwamba ukiendekeza ngono zembe uwezekano wa kupata ngoma ni mkubwa nimeshuhudia watu wa kalibu yangu walio kuwa wananifanyia wao asipite demu mkali lazima wawe nae wote hawapo duniani Tena baba zangu wadogo wawili jilani watu ni wengi
Bora tutulie tu tuwaheshimu wake zetu tuache kuwatia majonzi pili tuangalie watoto wetu tueaonee huruma baba unapo ondoka watoto wanabaki kuhangaika sana
Hii ni kweli kabisa...mwanaume kila chupi unataka uifunue, lazima unasishwe na bacteria [emoji848]
 
Vipo dispensary kaka,vipo vingi sana kwenye haya mashirika au NGO zinazotoa huduma za HIV! Na kumbuka serikali ilitunga sheria kwamba kila mtu anaweza jipima HIV popote alipo! Kwa hiyo hivi vifaa vinapatikana tu!

Kabisa demu akianza swaga za sijui naogopa,sijajiandaa, ungeniambia mapema,anza kuweka doubt,la sivyo itakula kwako! Chakata mbususu na kifungashio!
Mi navitafutaga pharmacy nakosa![emoji848]
 
Usiamini sana! Jaribu kutokuweka maisha yako rehani! Demu ambaye ni mapepe,peleka dispensary kapime nae kwanza ndiyo anza kuuza mechi! Hawa mademu wa one night stand, ndiyo kabisa,usikubali kuuza mechi hata kama umelewa vipi!! Uke wa mwanamke ni mwepesi sana kuchubuka kama utapiga kavu bila yakumuandaa,sasa imagine wote mkachubuka si balaa hilo!

Niliwahi piga manzi mmoja anagoma,sikuuza mechi,baada ya mwezi mmoja msela ananipa story za yule manzi kua anakula njugu,aiseeee niliwaza sana,na yule manzi alikuja fariki baada ya mda!
[emoji134][emoji134]

Ukimwi is real asee!
 
88BA0FDC-6A9C-4021-8B24-456CFE720997.jpeg
Mate ya percentage ndogo ya virusi kulinganisha na sperms na damu.
Hata sperm content pia huwa ina kiwango kidogo cha virusi, ishu ni mchubuko na damu kugusana at the end kupata ukimwi si rahisi hivyo mimi niliponea chupuchupu kuambukizwa na binti mmoja nakumbuka siku hiyo nilikuwa nimelewa chakari na ilipigwa show the whole night na sikutumia protection ila nilitoka mzima.

Na kumbuka kwenye mapenzi kuna mambo mengi kama kissing n etc ila nilitoka salama salimini na mwanzo nilijua tayari nipo kwenye reli ila baada ya muda kupita nikaja gundua niko salama.

From there on nikawa nachukua tahadhari ila si kwa asilimia 100 maana unaweza kutana na mdada/mmama wakati wa mchezo unachomoa condom unadumbukiza nyama kama ilivyo na bado niko salama.

Sema around this time nikaona si vibaya, nikajinunulia rapid test zangu kabla ya kudumbukiza nyama nahakikisha nakupima ndio mambo mengine yanaendelea.

Ila nimekuja gundua kitu kupata ukimwi si kitu rahisi kama watu wanavyosema, ingekuwa ni rahisi na hakika nusu ya watanzania wangekuwa ni waathirika maana wanapenda ngono kuliko kazi.
 
Tafiti zinaonesha ukimwi umeshika kasi sana kwa mabinti age 18 hadi 30. Yaaani kundi hili ni balaa. Wengine wamezaliwa nao ndio wamefikia makamo ya kuanza kuzaa na mabinti wanadanga sana. Clinic kupima ni lazima hivyo takwimu zinatisha

Nafikiri wa kuzaliwa nao ni kwa % kidogo sana, wengi ni hawa maji mara moja watoto wamekuwa hawana uoga kabisa. Mtoto mdogo lakini mambo yake hayakamatiki[emoji27].
 
Unamjua mwanamuziki wa Nigeria wa miaka hiyo alikuwa anaitwa Fela Kuti Anikulapo. Ana kijana wake nae ni mwanamuziki kama babake anatumia nae ubini huohuo wa dingi yake. Mzee huyo nae aliondoshwa na ngwengwe. Wanamuziki miaka hiyo na hata Sasa kwa huo umaarufu wao ni wa kuombewa. Kiujumla ngwengwe ni hatari kuliko Covid.
Naam nampata Fela ila kijana wake simfahamu, Fela kuti nasikia alikuwa na wanawake wengi sana yule ni kweli umeme sio mchezo !!!
 
naam nampata Fela ila kijana wake simfahamu, Fela kuti nasikia alikuwa na wanawake wengi sana yule
ni kweli umeme sio mchezo !!!
Ni kweli alikuwa na wanawake wengi na pesa alikuwa nayo,na umaarufu vilevile mana alikuwa ametokea familia maarufu. Akaongezea na kipaji chake so wanawake kwao alikuwa ulimbo na ngwengwe hakuikwepa. Alifariki akiwa kwenye 50's bado kabisa.
 
Fafanua kidogo tupate elimu mkuu
Amemaanisha kuwa mabint wengi wabichi ambao wnaume wengi tunapenda kuwakimbilia ndo walioubeba Ukimwi, wengi wao hawajazaa au ndo kaanza kuzaa!

Wengi huwa tunadanganyika kuzani kuwa hawajaliwa sana na hivyo kuamini kuwa ni salama kuliko wenye watoto wengi kumbe ndo hatari kuliko hatari!
 
Hongera mkuu, shukuru sana Mungu wako, hakuna aliyeupata UKIMWI akijijua kuwa anaenda kuupata! Tumshkuru na kumuombea zaidi mgunduzi wa vidonge vya kufubaza makali ya virusi vya ukimwi kwani mbali ya kumrudishia mwathirika afya yake nzuri vinapunguza pia maambukizi mapya!

Ile miaka ya 80 na 90, ilikuwa mtu ukimgusa tu mwathirika kwa shughuli ya papuchi umeondoka nao!

Hata hivyo ifike mahala wanaume tuombe tu muafaka na wake zetu kuoa wake wawili walio salama kiafya kwasababu ukweli mke mmoja hatoshi!
 
😂😂😂😂😂 mie nimeshawahi kumkimbia mrembo kweli kweli wakati huo mimi na kinga mbali mbali kabisa halafu yule mrembo Caroline alitokea kunipenda sana. Kutokana na uzuri w
Una bahati sana best, weeeee na sasa kama usingemuona huyo wa BMW? please bado nakuhitaji kukuona hapa jukwaani, tumia kinga ukishindwa acha kabisaaaaaaaaaaaaa

Kwani ni chakula, maji au hewa useme lazima?

Hahahahhahahahah niache mimi naogopa hii kitu sana
 
Back
Top Bottom