Alinifanyia kiburi nikamuonyesha ujeuri. The rest is history

Alinifanyia kiburi nikamuonyesha ujeuri. The rest is history

Firstly I would to apologise to all men in this platform for going rogue to our Gents rule which is "Never kiss and tell". I think I have to tell this tale to y'all coz you might get something Worth.

Well, I met this perfidious malcontent in early last year, it wasn't a first time to see her... She's my neighbor from 3 blocks away but kutokana na mazingira ya eneo hili unaweza kuishi hata 3yrs majirani msijuane mnapishana tu barabarani. So she was walking that day and i met her.

Akaniuliza kama nilikua nimetoka kufanya mazoezi (Hua wanafanya) mimi nikajibu ndio nimetoka akasema nimpe namba yagu siku nikitaka kwenda nimshitue tue tunaenda nae. Agreed!

Tukawa tunachat chat tu kawaida ili kufahamiana...Kama kawaida law of Magnetism "Unlike pole attract each other" tukawa tunapiga stori za mambo hayo ya jinsia tofauti.

After some days Tukapanga muda na siku ya kuenjoy maisha mwenyewe ananisisitiza kua niwahi. Kutokana na alivyojiweka na umri wake sikudhani kama anaweza kuzingua (She's 4yrs older than me) Cha ajabu muda tuliopanga 18:00Am ukapita bila hata yeye kutoke na simu wala sms hapokei...Nilichukia manusra kupasuka!!😔😩

Katika maisha yangu hakuna kitu sipendi na ukinifanyia kamwe siwezi kukusamehe kama kunidanganya..I don't know but yaani ukinidanganya hata kwa kunitania siwezi kua karibu nawe hata kama upo vipi sitakuheshimu tena.. That's me, I'm so succumbed with truth and I can't hep about it.

So huyu dada alivyoniongopea siku hiyo sikutaka mabishano nilifuta namba yake na kila kitu about her! Nikafanya kama sijawah kufahamiana nae...Siku moja nakutana nae barabarani natembea akafanya kama anataka kunigonga halafu akachekaa...ndio nikazidi kumchukia.

Siku ya siku nikaona sms ananisalimu, nikachat nae kawaida kama hakuna kilichotokea Mwenyewe akawa anauhitaji...akaniambia nijiandae saa 18:00 twende somewhere akanirefund for my trouble of that day. Tukakubaliana location Levolosi tukawa tunasubiri mida tu huku tunachats 🙊🙈

Muda ukawaidia sasa kama kawaida ukinidanganya sikusamehi kamwe nikapanga nimpige tukio gani akome uswahili...nikaona nimlipizie alichofanya. Kajiandaa kamaliza akatoka nje ananisubiria mimi sikutoka ndani! Nikawa namchungulia kwenye geti namuona ananiangaza mimi nikarudi zangu ndani akabaki na hamu zake.. nilifurahi sana kumkoamoa.. nikitaka aone kile alichotaka kunipatia it's not a big deal to me! Naweza kuipata kwa mwanamke yoyote nitakayemuelewa Na siendeshwi kwa hisia I only se*+ when I want.
View attachment 2480787
[Sms zake hizo siku hiyo]

After two days nikashuka zangu dar nikafuta no yake!
This week nimerudi mtaani nikakutana nae tena akanilaumu kuhusu nilichomfanyia last year.... Nikameambia nitakuchek mida. Nikatafuta no yake kwenyw contact backups nikaipata nikamcheki. Tukachat tukapangana irudiwe...This time akasema niende anapokaa. Kwakua sio uswahilini nikaenda...Nikawawakilisha 🙈🙈View attachment 2480791
[Juzi deal done]
Baada ya hapo naona hakauki kunitext namm hata sina shida nae maana alinidanganya and that I can't forgive!
View attachment 2480801
Mwenyewe Naona kanogewa ila mimi hapana Liars and lies will be my last thing to deal with..

For mens...hawa wenzetu wanapenda watu wenye maamuzi ya kikatili ukimbembeleza anakuona mjinga na utakoma kwanini umemuachia nafasi ajue unamuelewa zaidi. Usimuonee huruma mwanamke kwenye maamuzi wanapenda masculinity. Ukimbembeleza anaona wewe shost yake.

So I take this as absolutely Win
View attachment 2480804
-Criston Cole
Ukikua utaacha.
 
Hakika,
sema yataka Moyo kwa mwanaume type ya mtoa mada
😁 mimi nipo kama yeye!
Silazimishi mapenzi silazimishi mtu akae na mimi! Na nikipenda napenda kwa dhati! Nikimwendea mwanamke naenda kwa kumaanisha.

Sijui mwanamke kachomoa nianze kumbembeleza kwangu haipo hiyo! Nasonga mbele naendelea na mishe zangu! Huwa siwezi ku seek attention na mtu ambaye hana attention na mimi.

Kwa mwanaume kama mwanamke kachomoa songa mbele tu! Ukikomaa naye atakupotezea muda wako, pesa yako na your resources kwa ujumla.

Songa mbele, atakayekupenda kama ulivyo atatokea. Na kama huyo mwanamke anayekuletea maringo akirudi kwako mbeleni ni uamuzi wako ufanyaje mwenyewe!
 
Ungeendelea na kingreza chako ningeachia para ya kwanza.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]nimecheka sanaaaaa
 
Watoto wa mboga sana bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuchomeshwa mahindi kawaida sana kwa mwanaume, wewe una element za ukike.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kuna mambo 4 Kama mwanaume unapaswa kuyajua
1.Wanaume tunatamani Kwanza
2. Wanawake wanapenda baadae
3. Ukizidisha attention,unazd kumkosa,
4. Akishakupenda, usipompa attention anachanganyikiwa
damn true it works like that
 
Watoto wa mboga sana bwana🤣🤣🤣

Kuchomeshwa mahindi kawaida sana kwa mwanaume, wewe una element za ukike.
bro i dont agree with you, usivumilie huo ujinga wa wanawake. Juzi kati nipo kwenye grupu la whatsap la Soni Lushoto, kuna members wapya walikuwa added ikabidi wajitambulishe kwa kutuma picha.

Moja ya member yupo mkoa mmoja na mimi though ni wa huko Soni Lushoto, nika quote sms yake nikareply privately, kaja kunijibu badae, kwann umenifata inbox siungeulizia kulekule, nikaona sio shida nikarudi kwenye kundi tukachatia kule then nikamrudisha DM , nikamuuliza ulihisi nakutaka??? Akajibu kwani mwanamke kutakwa ni jambo la ajabu nikasema sio ajabu , hapo hapo kanitumia video ina mb 13 wakat naendelea download sijaplay akafuta lakini video inaonesha alikuwa kitandani kajirekod matako yake na ile video ili sindikizwa na caption , hivi mwanamke kama mimi suala la kutakwa ni la ajabu???

Nikamuuliza kwann umefuta na sijaplay bado akajibu we yann, nikamuomba atume akagoma, nikampa okay nikakaushaa , akaanza mi nalala , usiku mwema sijui kesho nikajibu okay.

Nika delete convo sijamcheki tena na sina time nae akafie mbelee , lengo alake nioneshe kuwa nauhitaj sana na ile kideo then aniwekee masharti maana kwa picha aliyotuma ya utambulisho kwenye kundi kama umesoma cuba unajuaa huyu anauza nyapu tu.

Try not to be manipulated japo sometimes ni ngumu
 
Back
Top Bottom