Alinifanyia kiburi nikamuonyesha ujeuri. The rest is history

Alinifanyia kiburi nikamuonyesha ujeuri. The rest is history

Firstly I would like to apologise to all men in this platform for going rogue to our Gents rule which is "Never kiss and tell". I think I have to tell this tale to y'all coz you might get something Worth.


View attachment 2480804
-C. Cole
Mm sijaelewa hapo sehemu ya pili baada ya kukwambia uende home kwake..... yaani hukutokea ama ulituwakilishajeh??? ukavunga
 
Hiyo Mistari ya mwisho ndio nimeielewa.

Lazma ajue tofauti ya Mwanaume wake na Shost wake! Mwanamke ukimruhusu akufahamu atakusumbua sana, ikiwemo na kukuvurugia maisha ki ujumla
Ukimfuatisha mwanamke lazima uharibikiwe,mpotezee kiaina kuwa Na misimamo kwenye show piga ipasavyo kisha huna muda yaaani lazima kila wakat akutafute
 
Ukimfuatisha mwanamke lazima uharibikiwe,mpotezee kiaina kuwa Na misimamo kwenye show piga ipasavyo kisha huna muda yaaani lazima kila wakat akutafute
That's my code. I kiss no frog
 
Back
Top Bottom