Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja akuchane🤣😂😂Mbichwa mkubwa sana
Unanikumbusha Kabudi alipoanza bunge kwa mbwembwe😅Try me
Umesha update kwani?Try me
Basi sikuchokozi tena😅Ndio. Ni swala la kucheza na hormones za Dopamine
Baada ya ku update ndo umeona unichokoze, huu ni wiziMimi nataka kukuchokoza sasa
Nitakukimbia kwani sh ngapi!!😂😂Hata urusi anamtambia Usa na Nato kwakua ahsajiandaa kwa siraha. 😅.
Bahati yako umefunga mlango
Na viatu nimevua tayari kwa mbioHutakiwi kuogopa...
Unayama ni mwingi mwaisa, mod aliyeunga hizi id alaaaniweWell, I met this perfidious malcontent in early last yearView attachment 2480809
Mm sijaelewa hapo sehemu ya pili baada ya kukwambia uende home kwake..... yaani hukutokea ama ulituwakilishajeh??? ukavungaFirstly I would like to apologise to all men in this platform for going rogue to our Gents rule which is "Never kiss and tell". I think I have to tell this tale to y'all coz you might get something Worth.
View attachment 2480804
-C. Cole
Ukimfuatisha mwanamke lazima uharibikiwe,mpotezee kiaina kuwa Na misimamo kwenye show piga ipasavyo kisha huna muda yaaani lazima kila wakat akutafuteHiyo Mistari ya mwisho ndio nimeielewa.
Lazma ajue tofauti ya Mwanaume wake na Shost wake! Mwanamke ukimruhusu akufahamu atakusumbua sana, ikiwemo na kukuvurugia maisha ki ujumla
The same to wanaumeInteresting...
How old are you?..
Kama hupendi kuongopewa na wanawake..utaweza ndoa kweli?
Wanawake na uongo ni samaki na maji...