Alinikataa kaja kunikubali baada ya kupata mtoto

Huyu jamaa ananikumbusha dem nltongoza mwaka 2018...nltongoza dem amenizid umri..kipindi hiko ana miaka 29...!!akanikatalia....!!nikapotezea...!!mwaka huu nkasema nitest naona kila nisemacho ni Ndiioo...ndiiooo...!!hapo ujue ana miaka kama 34...!!
 
Huyu jamaa ananikumbusha dem nltongoza mwaka 2018...nltongoza dem amenizid umri..kipindi hiko ana miaka 29...!!akanikatalia....!!nikapotezea...!!mwaka huu nkasema nitest naona kila nisemacho ni Ndiioo...ndiiooo...!!hapo ujue ana miaka kama 34...!!
ahahaha... mkuu haujaoaa
 
Ndugu yangu kuoa ni mtihani...kukaa na binadam ndan inahitaji Moyo saaana
ahaha... halafu mkuu nilichogundua.. hawa viumbe wakishaitwa mama ndo wanajipendekeza.. maraa my... baby... baba watoto.. Sweetbert ..
na huku mtot hata si wa kwako..
wakiwa hawajazaa wanajiona keki.. ila baada ya kuzaa sis pia tunasema hatutumii vitafunwa..
 
Iyo nchi jirani nahisi ni Mambasa, anyway acha utoto huyo mwanamke hakufai, kaliona bwege lakulikamatisha ni wewe na kwel ww ni bwege tena bwege sio pole pole.
 
mwaka 2018 alikuwa na miaka 29 alafu leo ni mwaka 2021 ana miaka 34 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu jamaa ananikumbusha dem nltongoza mwaka 2018...nltongoza dem amenizid umri..kipindi hiko ana miaka 29...!!akanikatalia....!!nikapotezea...!!mwaka huu nkasema nitest naona kila nisemacho ni Ndiioo...ndiiooo...!!hapo ujue ana miaka kama 34...!!
 
Muoe tu lakini ni ujinga kuwadanganya ndugu zako kuwa yule mtoto ni wako siku wakijua ukweli manake lazima watajua tu utakuja kuonekana bwege wa kiwango cha lami.
 
Muoe tu lakini ni ujinga kuwadanganya ndugu zako kuwa yule mtoto ni wako siku wakijua ukweli manake lazima watajua tu utakuja kuonekana bwege wa kiwango cha lami.
Nani bwege? Unajua uliyem-qoute au umedhamiria?
 
Yani dogo ndo kamaliza A level, wenzake wako bize na maandalizi ya kwenda vyuoni yeye yuko bize na mke wa Mtu...

Dunia inaenda kwa kasi sana
 
we nenda pima oil ila kuoa hapana. Ni nafasi yako.pia kulipiza.
 
Yani dogo ndo kamaliza A level, wenzake wako bize na maandalizi ya kwenda vyuoni yeye yuko bize na mke wa Mtu...

Dunia inaenda kwa kasi sana
ahahhhhhaha.... mkuu ahahhaha... sio kwamba nipo busy na mke wa mtu...
yaan huyu mdada ametoka kenya na kuja hapa bongo .. dareselam a.. ananiletea mapenzi ambayo sijui hata yametokea wapi..
yaani kila mara ananiita mara mume wangu... baby wangu... mara ooo nakupenda....
ila kinachonishangaza ananiita et baba watoto...
ahhha.. yaani
 
Wakenya wamemla 0712 huyo ndio maana anamihemko sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…