Alinikataa kaja kunikubali baada ya kupata mtoto

Alinikataa kaja kunikubali baada ya kupata mtoto

Huyu jamaa ananikumbusha dem nltongoza mwaka 2018...nltongoza dem amenizid umri..kipindi hiko ana miaka 29...!!akanikatalia....!!nikapotezea...!!mwaka huu nkasema nitest naona kila nisemacho ni Ndiioo...ndiiooo...!!hapo ujue ana miaka kama 34...!!
Hahahahaha... Inafurahisha sanaaa[emoji16]
 
Soko lake limeshuka lako limepanda then unataka kujipoteza hahahaa acha ujinga wewe
Hivi unajua kwamba kuna soko la mahusiano kwa wote Mwanamke na mwanamme...

Acha ujinga wewe dogoo..
Hebu jenga maisha yakoo
Halafu kuna watu wana mambo ya kipuuzi kweli... unaoaje mtu aliekukataa at first... wewe lofaa na second choice also known as Option...
If no love and attraction at first sight usinambie unanipenda baadae pumbavu
 
Soko lake limeshuka lako limepanda then unataka kujipoteza hahahaa acha ujinga wewe
Hivi unajua kwamba kuna soko la mahusiano kwa wote Mwanamke na mwanamme...

Acha ujinga wewe dogoo..
Hebu jenga maisha yakoo
Halafu kuna watu wana mambo ya kipuuzi kweli... unaoaje mtu aliekukataa at first... wewe lofaa na second choice also known as Option...
If no love and attraction at first sight usinambie unanipenda baadae pumbavu
ahahaha... mkuu nakubaliana na wewe, ila co kwamba soko lake limeshuka.. yaani ni hivi.. huyu binti ni mkenya.. kijijini kabisaa.. then amekuja DAR.. anafundisha private school..BASI ZA NJANO.. ko hapa dar hana mwenyeji yeyote yule.. naye alivosikia et nipo dar ndo akaanza ivoo...
basi yaani huyu mdada ameiva kweli.. na ameshajijengea akilini mwake et nitamuoa..
.. kila siku anataka aje huku ninakokaa tuonane.. yaan kila weekend ikifika.. ijumaa jioni lazima aniulize kuhusu swala hili la kuonana sema mimi ndo nampiga chenga.
AMEIVA KWELI
 
ahahaha... mkuu nakubaliana na wewe, ila co kwamba soko lake limeshuka.. yaani ni hivi.. huyu binti ni mkenya.. kijijini kabisaa.. then amekuja DAR.. anafundisha private school..BASI ZA NJANO.. ko hapa dar hana mwenyeji yeyote yule.. naye alivosikia et nipo dar ndo akaanza ivoo...
basi yaani huyu mdada ameiva kweli.. na ameshajijengea akilini mwake et nitamuoa..
.. kila siku anataka aje huku ninakokaa tuonane.. yaan kila weekend ikifika.. ijumaa jioni lazima aniulize kuhusu swala hili la kuonana sema mimi ndo nampiga chenga.
AMEIVA KWELI

Kumbuka mwanamke hapotezi maslahi yake.
Ukishangaa utajiingiza kwenye majukumu yasiyo ya lazima ambayo baadae utayajutia... usimuoe or else unajitafutia matatizo
Halafu kazi yake hela zake ni zake dogo
Hakuna shared ownership ujue..
Usije kula pesa ya mwanamke kama wewe mwanamme na usimfuate mwanamke kwa hali yake ya kiuchumi...

Jenga maisha yako hata kwa kuchelewa, tafuta hela zako then atakuja atakaekupa unachotaka...
Huyo anapambana na ukuta, hana soko, washkaji anaopata ni wapitaji tuu ameamua kurudi kwako...

Avoid her or Hit and run kama washikaji waliomzalisha..

Unaanzaje kufikiria kuoa single mom... baharia aliye pita hapo ataendelea kula uhakika..
Kazi kwako but don’t commit to her...
Anacheza game ndogo usipoijua unaingia kingi
 
Kumbuka mwanamke hapotezi maslahi yake.
Ukishangaa utajiingiza kwenye majukumu yasiyo ya lazima ambayo baadae utayajutia... usimuoe or else unajitafutia matatizo
Halafu kazi yake hela zake ni zake dogo
Hakuna shared ownership ujue..
Usije kula pesa ya mwanamke kama wewe mwanamme na usimfuate mwanamke kwa hali yake ya kiuchumi...

Jenga maisha yako hata kwa kuchelewa, tafuta hela zako then atakuja atakaekupa unachotaka...
Huyo anapambana na ukuta, hana soko, washkaji anaopata ni wapitaji tuu ameamua kurudi kwako...

Avoid her or Hit and run kama washikaji waliomzalisha..

Unaanzaje kufikiria kuoa single mom... baharia aliye pita hapo ataendelea kula uhakika..
Kazi kwako but don’t commit to her...
Anacheza game ndogo usipoijua unaingia kingi
kaka unachaosema kina mantiki sana.. nimeipenda na ikiwezekana nitaitumia ..
mimi hapa ndo kwanza naingia chuoni mwezi wa tisa.. jana usiku akaniuliza.. vip utapanga au utakaa hosteli?? nikamwambia mimi sina ela ya kupanga nje, nitakaa hostell. nikamuuliza mbona umeniuliza kuhusu hilo? akasema nimekuuliza tu.
ila mkuu KWA KWELI SINA MPANGO WA KUMUOA .. nilikuja humu jf kupata ushauri na tayari nimepata.. maana hakuna anayenisapoti kumuoa. BUT NITAENDA UGENINI KUCHEZA MECHI YA KIRAFIKIIIII HALAFU NARUDI..
japo yeye anajivunia san akijua nitamuoa..
nitaendelea kumdanganya kwa kipindi hich .. nakula tundaaaaaa... ikifika muda wa kuingia chuoni. nakatisha mawasiliano mkuu..
 
Asante bosi.. ila nilipomuuliza kuhusu baba wa mtoto.. aliniambia et ameshaoa na mpaka sasa ana familia..
Wewe ni Mwanaume suruali,nyie ndio mnachafua brand hii adhimu ya Mwanaume shubamiti zako. Eti "nikubali mtoto ni wangu" nenda chuo kasome labda utakuwa na akili za kiuanaume.
 
Wewe ni Mwanaume suruali,nyie ndio mnachafua brand hii adhimu ya Mwanaume shubamiti zako. Eti "nikubali mtoto ni wangu" nenda chuo kasome labda utakuwa na akili za kiuanaume.
sas we hapo nachafuaje brand adhimu ya mwanaume wakati mimi nimequote kilichosemwa na huy mdada???
niende shule nikasome nipate akili za kiuanaume kana kwamba akili yangu niliyonayo ni ya dadaako??
naomba tuheshimiane pliz.. kama unatoa ushauri toa kwa njia inayoeleweka na siyo kuchafua siku za watu sawa?..
matusi hayo yametoka wapi sasa..
kwani ulisikia nimeshakubali kumuoa huyo msichana?????..
naomba ulinde heshima zako ili nikuheshimu.
mimi ni mwanaume suruali???????..
DAAH!!
maisha yangu unaniendeshea wewe?? kama mimi ni mwanaume suruali basi nipe shangazi yako nikae naye uone kama ataniendeasha unavofikilia na haya mawazo yako finyu..
JIHESHIMUUU .
 
sas we hapo nachafuaje brand adhimu ya mwanaume wakati mimi nimequote kilichosemwa na huy mdada???
niende shule nikasome nipate akili za kiuanaume kana kwamba akili yangu niliyonayo ni ya dadaako??
naomba tuheshimiane pliz.. kama unatoa ushauri toa kwa njia inayoeleweka na siyo kuchafua siku za watu sawa?..
matusi hayo yametoka wapi sasa..
kwani ulisikia nimeshakubali kumuoa huyo msichana?????..
naomba ulinde heshima zako ili nikuheshimu.
mimi ni mwanaume suruali???????..
DAAH!!
maisha yangu unaniendeshea wewe?? kama mimi ni mwanaume suruali basi nipe shangazi yako nikae naye uone kama ataniendeasha unavofikilia na haya mawazo yako finyu..
JIHESHIMUUU .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] povu zitoooo
 
sas we hapo nachafuaje brand adhimu ya mwanaume wakati mimi nimequote kilichosemwa na huy mdada???
niende shule nikasome nipate akili za kiuanaume kana kwamba akili yangu niliyonayo ni ya dadaako??
naomba tuheshimiane pliz.. kama unatoa ushauri toa kwa njia inayoeleweka na siyo kuchafua siku za watu sawa?..
matusi hayo yametoka wapi sasa..
kwani ulisikia nimeshakubali kumuoa huyo msichana?????..
naomba ulinde heshima zako ili nikuheshimu.
mimi ni mwanaume suruali???????..
DAAH!!
maisha yangu unaniendeshea wewe?? kama mimi ni mwanaume suruali basi nipe shangazi yako nikae naye uone kama ataniendeasha unavofikilia na haya mawazo yako finyu..
JIHESHIMUUU .
Najisikia fahari sana nisipoheshimiwa na Mwanaume suruali kama wewe,demu kakuzidi kila kitu akili,maarifa na ujanja. Nyie ndio wale Wanaume mnaopigaga magoti wakati wa kumvisha Mwanamke Pete.
 
we ni pimbii wanaokaa kwenye mawe hizi ndo akili za mwanachuo mkubalie
 
Una umri gani mkuu!

Najisikia fahari sana nisipoheshimiwa na Mwanaume suruali kama wewe,demu kakuzidi kila kitu akili,maarifa na ujanja. Nyie ndio wale Wanaume mnaopigaga magoti wakati wa kumvisha Mwanamke Pete.
daah.. hapa ndo nimekubali kwamba sio kila anayevaa nguo nyeupe ni daktari.. wengine ni wauza nyama tuu..
dah.. nimeamini kwamba.. siyo kila mzee ana busara. kumbe kuna wajinga pia wanazeeka.
 
Komaa na chuo na masomo, fikiria namna ganj utajiandaa na future yako siku za usoni.. iwe kujiajiri au kuajiriwa..

Akili yako bado haijakomaa kujingiza kwenye mahusaino na mwanamke mama mwenye mtoto anayekushawishi umdanganye mama yako kuwa mtoto ni wa kwako.

Amekushawishi hivyo kwasababu anaijuwa akili yako bado ya kitoto huna upeo wakufikiri mambo!

Pia anaku manipulate sana... anakuongopea anakupenda kitu ambacho sio kweli... ni kwasababu tu yupo desperately na wewe ni kama second option kwake- ana stress za nani atalea naye mtoto ,ndio maana kakuuliza utapanga au hostel??

Huyo mwanamke kakuzidi umri ,uwezo wa kufikiri na experience ya mahusiano... anauwezo wa kukucontrol atakayo.. ila wewe naona utaka uvuke stage ya boyfriend na girlfriend uingie kwenye majukumu ya kuwa baba wakati hata pesa ya kuonana nae weekend ulikosa...

Jiondoshe kwenye hiyo mikosi acha mahusiano naye fasta .. nenda chuo focus on your goals and dreams .... kama kuhangaika hangaika na visichana vya chuo huko huko utapata experience how relationship works
 
Mwaka 2012-2015 nilikuwa nchi jirani kwa mjomba wang (yaani kwao mamaangu) nikiendelea na masomo yangu..

Kulikuwepo dada mmoja.. kwa jina ngoja nimpe jina la fatuma .. for privacy.
huy mdada nilitokea kumpenda ghafla.. ilibidi nimwambie ukweli kuhusu hilo. ila alinikatalia na kunipotezea. pindi nilipomwambia kuhusu hilo swala ananichikia na kuniambia maneno yasiyofaa.. alikua mature enough.

Nilijizatiti kwa kipindi cha miaka miwili lakini sikufanikiwa kumpat.
mwaka 2015 nilimuacha huko nchini kwao nikarudi huku chini Tanzania na kuendelea na masomo yangu..
2016-2018 nilikuw nimemaliza elimu ya sekondari..o levo.

Siku moja ndani ya mwaka 2019 mwezi wa tatu. mama alikuwa ameenda katika biashara zake na bahati nzuri hakufanikiwa kurudi nyumbani .. muda ulienda ikabidi alale huko ajiandae na safari ya kurudi nyumbani kesho yake..

Alipokuwa kwenye ule mji.. alimkuta mdada mmoja mrefu mwembamba mweupe akiwa na mtoto mchanga akiwa pale anamnyonyeaha katoto kake keupe kazuri.. mama akamuulizia baba na mama wa familia ile(mji ule).. mama alizoea kuenda pale kupereka bidhaa zake pale..

Maongezi ya kujuana yaliendelea kwa dakika kadhaa.yule mdada alijitambulisha na kusema mimi naitwa fatuma .. natoka Nchi jirani.. kabila fulani..
mama akamuuliza tena.. '"unakaa wapi pale ......(mama alimuuliza sehemu ya mtaani kwao huku alikotoka).. kumbuka huko ndiko kwao mamaangu.

Mama akamuuliza tena.. umesoma shule gani pale (St Joseph's.. fatuma alijibu).. ""mmmmm.... jamani popote pale pana ndugu'" mama alisema maneno hayo baada ya kujua fatuma ni jirani yake kwa kule nchini kwao..

"" vip unamfahamu ngotho??"" mamaangu alimuuliza maana shule niliopelekwa ndo alisomea pia huyo fatuma..(yaani tumesoma shule moja)
"" ndiyo namfahamu, yeye ndo alikuwa akiongoza darasani kila mara, alikuwa mtulivu sana yule mkaka"" fatuma alijibu.
""mimi ndo mamaake ngotho""
mshangao ulikuw mkubwa sana baada ya fatuma kusikia swala hilo (mimi ndo maaamake)

Kesho yake kwenye saa nne asubuhi.. mama akanipigiia simu.. akaniuliza kama namfahamu fatuma. Nikamuuliza (fatuma gani unaongelea mama??) mama akampa simu .. sikuamini mpaka pale nilipoisikia sauti yake na kunikumbusha mambo ya nyuma ikiwemo kuhusu ..nilivokuwa naongoza darasani.

Kuanzia hapo mazungumzo yalipamba moto, kwan nilikuwa nikikumbuka uzuri wake kipindi tunasom, nikijua bado yupo vilevile. siku baada ya siku tuliwasiliana .

Ulipofika mwezi wa saba 2019 . nilisitisha mawasiliano kwa sababu niliingia shuleni na kuanza elimu ya advance.. naye akarudi kwao.. nchini kwao. .hapo tayari nishajua ana mtoto .. tena ni wa kike ndani ya miaka miwili hatuongei wala nini..
mwaka huu mwezi wa tano baada ya kumaliza shule.. kidato cha sita ..
nikaja huku dareselam kwa mjomba..

Tarehe 22/7/2021. ilikuwa saa moja jioni. nikaona namba ngeni ikipiga..
nilipokea ile simu na kutulia bila kuongea.. naye alitulia bila kupiga ""ellow"" kwa sekunde kama kumi na tano.
nikakata samu.. akapiga tena .. nilivopokea akaanza kufkoka..( we mbona unapokea simu ya halafu huongei??) daah.. nikasikia sauti ta kike.. nikasema..
samahani dada.. namba ngeni naomba ujitambulishe..

Alijibu kwaakasema ""Mungu akipanga binadamu hawezi kupangua"" alijibu kwa maneno hayo akataj jina lake kwa kuhesabu herufi za jina lake.. ""FA
TU MA""

Ndugu zangu nilifirahi hasa pale aliponiambia et yupo dareselam. .. kuna shule ya mtu binafsi amepata fursa ya kufundisha hapo...

Huyu mdada ananipenda kweli .. yaan kweli..
cha kushangaza ananiambia kuhusu uchumba .. et ananiomba msamaha kwa kunikatalia miaka ya(2012-2014) akijitetea eti bado hakuwa mature to engage kwenye mahusiano..

Lakini kwa sasa ana mtoto mmoja japo amemuacha huko kwao ana bibi yake..
wiki iliyopita aliniuliza kuhusu mamaang.. (vip my, mama hajambo? Naomba namba zake nimsalimie mamaang huyo.) bila shaka nilimpa na waliongea.
juzi jumamosi akaniuliza..
( vip mpenzi wangu.. mama anajua nini kuhusu mimi na wewe??)?

Wakuu.. huyu mdada yupo tayari kukutana na mimi muda wowote.. maana kilani ninachomwambiA hajawahi kukataa..
wiki iliyopita nilimwambia tukutane weekend, alikubali kwa roho safi ila cha ajabu pesa ilinipiga chenga maana tunakaa mbali kidogo hapa dareselam..

Ukiangalia, ndo kwanza naingia chuo mwezi wa kumi mwaka huu.. najiuliza vip baada ya miaka mitatu c atakuwa mmama kabisa??

Yeye anasema tuvumiliane maana amekubali kunivumilia mpaka nimalize chuo.. yaani mpaka 2024.
anasema et nimwambie mamaangu et yule mtoto ni wangu ili ikitokea tumeoana.. taarifa isijulikane mno.
wakuu naombeni ushauri juu ya huyu mdada..
natanguliza shukran..
Single maza hawaolewagi.
Piga sepaaaa.

#YNWA
 
Mwaka 2012-2015 nilikuwa nchi jirani kwa mjomba wang (yaani kwao mamaangu) nikiendelea na masomo yangu..

Kulikuwepo dada mmoja.. kwa jina ngoja nimpe jina la fatuma .. for privacy.
huy mdada nilitokea kumpenda ghafla.. ilibidi nimwambie ukweli kuhusu hilo. ila alinikatalia na kunipotezea. pindi nilipomwambia kuhusu hilo swala
Huna akili.
 
Acha kumpotezea muda zaidi muambie tu ukweli kuwa huna mpango wala plan za kuowa single mother

nilikuwa na mdogo wangu muajiriwa wa TPA kigoma alidate na single mother end of the day akagoma kumuowa .....now my young bro yupo anahangaika na kesi ya uhujumu uchumi maakamani baada ya yule single mother (kipenyo muandamizi) kumbambikia kesi ya rushwa
kaka unachaosema kina mantiki sana.. nimeipenda na ikiwezekana nitaitumia ..
mimi hapa ndo kwanza naingia chuoni mwezi wa tisa.. jana usiku akaniuliza.. vip utapanga au utakaa hosteli?? nikamwambia mimi sina ela ya kupanga nje, nitakaa hostell. nikamuuliza mbona umeniuliza kuhusu hilo? akasema nimekuuliza tu.
ila mkuu KWA KWELI SINA MPANGO WA KUMUOA .. nilikuja humu jf kupata ushauri na tayari nimepata.. maana hakuna anayenisapoti kumuoa. BUT NITAENDA UGENINI KUCHEZA MECHI YA KIRAFIKIIIII HALAFU NARUDI..
japo yeye anajivunia san akijua nitamuoa..
nitaendelea kumdanganya kwa kipindi hich .. nakula tundaaaaaa... ikifika muda wa kuingia chuoni. nakatisha mawasiliano mkuu..
 
Back
Top Bottom