Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Huyu jamaa siyo kabisa.270k halafu na unyoya hukulamba bado unauliza km atakua mwanamke sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa siyo kabisa.270k halafu na unyoya hukulamba bado unauliza km atakua mwanamke sahihi
ajHusband material
Block inauma vbaya aiseeSasa hii ndo zam yake ya yeye kupigwa blacklist..tumia hyo nafasi mkuu..block inauma..
Anyways kimbia fasta uyo kiumbe
Yani mim nikila block namm napiga block pale pale..aki unblock anakutana nayo nayeye[emoji1787]Block inauma vbaya aisee
Msadie apate hela ya lunchPole kwa kupigwa vizinga
Hahahah we noma hyo mbnu na mm ntaanza kuitumia aiseeYani mim nikila block namm napiga block pale pale..aki unblock anakutana nayo nayeye[emoji1787]
Ndo dawa mkuu... block inauma[emoji1787]Hahahah we noma hyo mbnu na mm ntaanza kuitumia aisee
Miezi kadhaa nilimtaka mwanamke jirani tu na ninapoishi,licha ya kunikubalia lakini chenga zikawa nyingi mnooo mpaka nikakata tamaa
Lakini siyo siri jumla ya thamani ya vizinga alivyonipiga ni kama laki 270 lakini sikupata penzi
Siku niliyoachana naye ni siku tumeenda hotel baada ya chakula cha jioni alisepa bila taarifa
Usiku huo akaniweka blacklist, nikaamua kupotezea
Ni miezi 8 tangu niache kufuatilia,nashangaa ananitext whasap na kunisalimia ,naitikia vizuri lakini anaanza kuniulizia kama nimeishamsaliti nimemchukua mwingine
Namjibu hamna 'ananiambia alikuwa ananichunguza sasa ameamini mimi ni mwanaume bora nafaa kuwa naye" Napata mshtuko
Je huyo mwanamke anaandaa mazingira mapya ya kunipiga vizinga au ana mishe nyingine kwangu?
Najua alikuumiza.. KULA KWANZA KITU. Halafu na yeye Muumize kama alivyokuumiza. Wasilete michezo hapa.Miezi kadhaa nilimtaka mwanamke jirani tu na ninapoishi,licha ya kunikubalia lakini chenga zikawa nyingi mnooo mpaka nikakata tamaa
Lakini siyo siri jumla ya thamani ya vizinga alivyonipiga ni kama laki 270 lakini sikupata penzi
Siku niliyoachana naye ni siku tumeenda hotel baada ya chakula cha jioni alisepa bila taarifa
Usiku huo akaniweka blacklist, nikaamua kupotezea
Ni miezi 8 tangu niache kufuatilia,nashangaa ananitext whasap na kunisalimia ,naitikia vizuri lakini anaanza kuniulizia kama nimeishamsaliti nimemchukua mwingine
Namjibu hamna 'ananiambia alikuwa ananichunguza sasa ameamini mimi ni mwanaume bora nafaa kuwa naye" Napata mshtuko
Je huyo mwanamke anaandaa mazingira mapya ya kunipiga vizinga au ana mishe nyingine kwangu?
Sasa hii ndo zam yake ya yeye kupigwa blacklist..tumia hyo nafasi mkuu..block inauma..
Anyways kimbia fasta uyo kiumbe
Duh mkuuUna umri gani?
Gold rabanHujui kulipa kisasi kitakatifu?
Lipa kisasi cha mapenzi...hii ni kwa wanaume wenye akili pekee wanaweza
Anataka sasa Akuunge kwenye gridi ya taifa.Miezi kadhaa nilimtaka mwanamke jirani tu na ninapoishi,licha ya kunikubalia lakini chenga zikawa nyingi mnooo mpaka nikakata tamaa
Lakini siyo siri jumla ya thamani ya vizinga alivyonipiga ni kama laki 270 lakini sikupata penzi
Siku niliyoachana naye ni siku tumeenda hotel baada ya chakula cha jioni alisepa bila taarifa
Usiku huo akaniweka blacklist, nikaamua kupotezea
Ni miezi 8 tangu niache kufuatilia,nashangaa ananitext whasap na kunisalimia ,naitikia vizuri lakini anaanza kuniulizia kama nimeishamsaliti nimemchukua mwingine
Namjibu hamna 'ananiambia alikuwa ananichunguza sasa ameamini mimi ni mwanaume bora nafaa kuwa naye" Napata mshtuko
Je huyo mwanamke anaandaa mazingira mapya ya kunipiga vizinga au ana mishe nyingine kwangu?
Duuh kwanza uwo moyo unautoa wapi mkuu wakujibu sms zake? Na inamaana wewe iyo namba hukuwa umefuta mzee wangu? Alafu kama ni jirani yako ilikuwaje hukumpa heka heka maana icho kibunda ulimpa kwa mazingira gani?Miezi kadhaa nilimtaka mwanamke jirani tu na ninapoishi,licha ya kunikubalia lakini chenga zikawa nyingi mnooo mpaka nikakata tamaa
Lakini siyo siri jumla ya thamani ya vizinga alivyonipiga ni kama laki 270 lakini sikupata penzi
Siku niliyoachana naye ni siku tumeenda hotel baada ya chakula cha jioni alisepa bila taarifa
Usiku huo akaniweka blacklist, nikaamua kupotezea
Ni miezi 8 tangu niache kufuatilia,nashangaa ananitext whasap na kunisalimia ,naitikia vizuri lakini anaanza kuniulizia kama nimeishamsaliti nimemchukua mwingine
Namjibu hamna 'ananiambia alikuwa ananichunguza sasa ameamini mimi ni mwanaume bora nafaa kuwa naye" Napata mshtuko
Je huyo mwanamke anaandaa mazingira mapya ya kunipiga vizinga au ana mishe nyingine kwangu?