Alinitishia kusambaza picha zangu za utupu kama nisipompa milioni 1. Nilitoa taarifa polisi akakamatwa

Alinitishia kusambaza picha zangu za utupu kama nisipompa milioni 1. Nilitoa taarifa polisi akakamatwa

Mwambie avujishe tu huna mpango wa kumpa hiyo milionii, Kama mbwai na iwe mbwai.

Au kama mapigo mazuri mwambie muipeleke brazzers kabisa huenda akapata nafasi ya kuigizia huko atapewa zaidi ya milioni
Yes, utaona demu atapooza
 
Wakuu hii issue ni ngumu kidogo naomba tuwe serious kutoa ushauri badala ya kulaumu, shit happens sometimes!



Deadline ni Jumatano.

Nawasilisha.
Wanaume tutafute Hela tuwape Hawa wanawake.
Kama anajua kwako anaweza kupata zaidi ya hiyo hawezi kufanya hivyo.
Tuwape hela Hawa wanawake.
Tuwale mbususu.
 
hivi umeshindwa kumdanganya mpaka mkakutana afu ukamyanganya hiyo simu,ukaiflash kwa fundi mtu kama huyo nenda naye taratibu ataingia laini
 
inamaana ye anajifungia ndani?ongea na police wamfatilie then wamyanganye simu na awapeke kwake wakafute kila kitu
 
Pole sana, muwahi yeye kwa kuweka picha zake humu upewe miongozo...
 
Wakuu hii issue ni ngumu kidogo naomba tuwe serious kutoa ushauri badala ya kulaumu, shit happens sometimes!

Hebu vaa hivi viatu kisha toa ushauri.

Una familia yako mke na watoto na una mchepuko wako, ghafla mchepuko ambao mnakwenda nao sawa muda wote unatega kamera na kuchukua tukio wakati mna vunja amri ya 6 kwenye chumba chake ulicho msaidia kulipa kodi

Baada ya hapo anakutumia clip kisha ana demand 1M la sivyo anaiuza kwa dada Mange au anaivujisha tu.

Mchepuko umekwanda mbali na kudai kama mbwai mbwai, ukimpeleka tu polisi anaiachia mitandao kwa Da Mange, yupo tayari kurisk lolote ili mradi aipate 1M.

Tafadhali mahubiri na wale wa kwanini uchepuke kaeni pembeni kwanza, majemedari wapangue hii kesi kisha mtafuata baadae.

Usiniulize kama ni mimi au la, toa ushauri tafadhali.

Deadline ni Jumatano.

Nawasilisha.

Suluhisho kwa blackmailer ni kumuua tu kwani hata ukitoa hiyo m1 ataendelea kudai tena na tena na tena.
 
Sina maneno mengi ila naungana na majemedari "USITOE PESA HATA KAMA ATASHUKA MPAKA JERO"
 
Pole mkuu fata ushauri wa wadau hapo juu maana utageuka mtumwa wake na mwisho wa siku ataitoa tu.
 
Ongea na police wa Cyber, wape ya brash mia. Wam-shake, aelewe anaweza kwenda jela na kulipa fine ya mamilioni. Huyo mchepuko atafuta mpaka alizosave kwenye cloud. Usiogope kuhusu wife, kama anakujua vzr anajua unachepuka huenda nayeye pia anachepuka.
Usitume pesa
Usitume pesa
Usitume pesa


Nimeandika mara tatu kwa msisitizo ..


Cha kufanya record message zake za vitisho na mpigie kumbembeleza ili upate audio records kusanya ushahidi vya kutosha


Nenda polisi wape hata kilo wam shake kidogo kwa kesi ya blackmail mbona atazifuta
cc Mayu fanyia kazi huu ushauri, toka kwa vvm na Kunguru wa Manzese
 
Mbona kesi rahisi sana hii.

We mwambie afanye anachotaka, usitoe pesa.
Kesi ndogo sana hii, kuhusu mkeo unampanga kimasta tu kazi kwisha
 
KUWA MWANAUME KAMILI

Nakupa Mbinu japo Ni ngumu na Inatakiwa Ujitoe Akili kisawasawa kwani nachokwambia Hapa Ni UMAFIA.

Tafuta Watu wa KAZI wamteke halafu mleweshe kwa Madawa mchukue Video za Utupu ambazo zinamuonyesha kwa Uwazi wote. Hakikisha Unafanya UNYAMA ambao hautahusisha Kupoteza UHAI wake.

Hakikisha BLACK MAIL yako inakuwa Ya Kibabe zaidi.
 
Usitoe Hela mwambie avujishe tu na record simu sms zake za vitisho na akivujisha kamfunge tu Mungu atakusamehe
 
Back
Top Bottom