Aliondoka kwa First Class ila Karudi Kama Mzigo Kwenye Ndege

Aliondoka kwa First Class ila Karudi Kama Mzigo Kwenye Ndege

Ndio maana kila siku nnasemaga msiwapeleke watoto wenu shule za English Mediums kwa sababu mnahangaika kulipa mamilioni ya nini kama mwisho wa mtu ni kufa.

Haya sasa twende kazi, haraka sana kamata watoto wako wanao soma English Mediums wapeleke shule za Kayumba haraka sana. Thank me later 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

Ila kama Uzi huu unahusika na kumuombea mtu kifo basi nikwambie mtoa Uzi utaanza kufa wewe.

sasa huko Kayumba unampeleka kufanya nini kama kuna siku atakufa.
 
Kwa mara ya kwanza nashuhudia hili tukio kupitia picha hii.

View attachment 3149000

Leo utaondoka kwa ndege ukiwa daraja la kwanza (first class) ila na hatimaye kesho unarudi na ndege hiyo hiyo kama mzigo.

Haya maisha yetu yanafikiliaha sana ndg zangu,tuishi kwa amani na tafakuri sana.
 
= yanafikirisha

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Kwanini asizikwe hukohuko alikofia?
Haya mambo ya kuzikwa huko huko alikofia mnayeweza nyie ndugu zetu Waislamu. Huku kwenye Ukristo ni changamoto. Zinatumika gharama kubwa kuhangaika na mwili wa marehemu pengine hata kuzidi gharama za matibabu, bila sababu za msingi.
 
Kila ukoo na familia wana utaratibu wao. Kuna koo utarudishwa tu labda uzame baharini
Ninekuelewa na nnayafahamu sana hayo, lakini Waislam wengi, maiti zetu huzikwa palepale tuunapofia, sisemi wote, ni wachache sana wasiofata utaratibu huo lakini wapo.

Hata misiba yetu haiwi mirefu.
 
Back
Top Bottom