kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
kiroba in thendege boot
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lawrence Mafuru?Kwa mara ya kwanza nashuhudia hili tukio kupitia picha hii.
View attachment 3149000
Leo utaondoka kwa ndege ukiwa daraja la kwanza (first class) ila na hatimaye kesho unarudi na ndege hiyo hiyo kama mzigo.
Haya maisha yetu yanafikiliaha sana ndg zangu,tuishi kwa amani na tafakuri sana.
Kwa mara ya kwanza nashuhudia hili tukio kupitia picha hii.
View attachment 3149000
Leo utaondoka kwa ndege ukiwa daraja la kwanza (first class) ila na hatimaye kesho unarudi na ndege hiyo hiyo kama mzigo.
Haya maisha yetu yanafikiliaha sana ndg zangu,tuishi kwa amani na tafakuri sana.
kwa Neema na Baraka za Mungu tunaishi.Kwa mara ya kwanza nashuhudia hili tukio kupitia picha hii.
View attachment 3149000
Leo utaondoka kwa ndege ukiwa daraja la kwanza (first class) ila na hatimaye kesho unarudi na ndege hiyo hiyo kama mzigo.
Haya maisha yetu yanafikiliaha sana ndg zangu,tuishi kwa amani na tafakuri sana.
Acheni uzushiChura kiziwi is no more
Ni kama sielewi elewi nani kafarikiHivi kama ni kweli kwamba hatuko naye, na jamii haina taarifa rasmi, na wenye mpini wanatengeneza mazingira ya kuonyesha yuko pamoja nasi na mitando yake ya kijamii kupost mambo kadhaa wa kadhaa hadi sasa,
Ikumbukwe huwezi kuficha msiba,
Je watakuja na gear ipi kwa umma ili kutoa taarifa, je watatangaza kuwa anaumwa kwanza au moja kwa moja ni tangazo la kukata moto?
Ila mnatuchanganya nyie mnaongea kimafumbo sanaHivi kama ni kweli kwamba hatuko naye, na jamii haina taarifa rasmi, na wenye mpini wanatengeneza mazingira ya kuonyesha yuko pamoja nasi na mitando yake ya kijamii kupost mambo kadhaa wa kadhaa hadi sasa,
Ikumbukwe huwezi kuficha msiba,
Je watakuja na gear ipi kwa umma ili kutoa taarifa, je watatangaza kuwa anaumwa kwanza au moja kwa moja ni tangazo la kukata moto?
Ukizipata nijuzeHuyo si mzee mengi ??
BTw, hakuna code kweli hapa ? Ngoja nitafute spana
Tena haohao wanao tisha wengine ndiyo wanatangulia mbele za hakiKufa ni pie so ni swala muda ukufikie hamna haja ya kutishana maana kila mtu atakufa.
Noma sana!Aise
Mafumbo ni muhimu kuepuka wanaojulikana, hahahaaaIla mnatuchanganya nyie mnaongea kimafumbo sana
dah wacha kabisa mkuuNoma sana!
Wewe SI umetoka kusema ni uzushi hapo juu!Ila mnatuchanganya nyie mnaongea kimafumbo sana
Kwa mara ya kwanza nashuhudia hili tukio kupitia picha hii.
View attachment 3149000
Leo utaondoka kwa ndege ukiwa daraja la kwanza (first class) ila na hatimaye kesho unarudi na ndege hiyo hiyo kama mzigo.
Hata ukiishi kwa fujo na ghasia kufa kupo palepale.Haya maisha yetu yanafikiliaha sana ndg zangu,tuishi kwa amani na tafakuri sana.
mkubwa wangu nadhani kuna tofauti ya mila ya makabila na makabila= yanafikirisha
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwanini asizikwe hukohuko alikofia?