Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hata usijali kijana wangu!kama ni kitu kinakupa furaha kuwawazia watu kifo we fanya tu, kwa maana hata usipowawazia kifo kitawapata,hata ukiwawazia kifo kitawapata....kifo ndio kitu cha pekee binadamu tuna uhakika nacho hundreds 💯 kitatokea, vingine ni probabilitymama mchungajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nakuja unitoe mapepo ya kuwawazia kifo watu