Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Ndio maana kila siku nnasemaga msiwapeleke watoto wenu shule za English Mediums kwa sababu mnahangaika kulipa mamilioni ya nini kama mwisho wa mtu ni kufa.
Haya sasa twende kazi, haraka sana kamata watoto wako wanao soma English Mediums wapeleke shule za Kayumba haraka sana. Thank me later 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ila kama Uzi huu unahusika na kumuombea mtu kifo basi nikwambie mtoa Uzi utaanza kufa wewe.
Kwa mara ya kwanza nashuhudia hili tukio kupitia picha hii.
View attachment 3149000
Leo utaondoka kwa ndege ukiwa daraja la kwanza (first class) ila na hatimaye kesho unarudi na ndege hiyo hiyo kama mzigo.
Haya maisha yetu yanafikiliaha sana ndg zangu,tuishi kwa amani na tafakuri sana.
Haya mambo ya kuzikwa huko huko alikofia mnayeweza nyie ndugu zetu Waislamu. Huku kwenye Ukristo ni changamoto. Zinatumika gharama kubwa kuhangaika na mwili wa marehemu pengine hata kuzidi gharama za matibabu, bila sababu za msingi.= yanafikirisha
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwanini asizikwe hukohuko alikofia?
😩😩😩 Ndio ukweli japo hakuna anaeutamani.Uhakika ni kwamba by 2100 hakuna member active wa 2024 jf atakayekuwa hai. We will all be gone, zitabaki avatars na maandishi tu.
Bibie acha mambo ya kisenge jamvin= yanafikirisha
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwanini asizikwe hukohuko alikofia?
Mkuu usimtukane ustazati atakusomea alubadili iwe mwehu.Bibie acha mambo ya kisenge jamvin
Ni Prof. nani huyu aisee?Kuna Prof wa umeme alikatiwa ticket economy class akasusa safari seat ikaenda tupu akidai hilo daraja siyo hadhi yake
Kufa hakuna uhusiano wowote na kwenda Mbinguni. Mtu akifa anasubiri hukumu ya Yesu Kristo ndo itaamua anaenda Mbinguni au Jehanam.Inashangaza sana binadamu wanapenda waende mbinguni ila wanaogopa kufa
Ni classmate wa Ushimen.Ni Prof. nani huyu aisee?
Ndo ukome kupanda daraja lisilokuhusuKwa mara ya kwanza nashuhudia hili tukio kupitia picha hii.
View attachment 3149000
Leo utaondoka kwa ndege ukiwa daraja la kwanza (first class) ila na hatimaye kesho unarudi na ndege hiyo hiyo kama mzigo.
Haya maisha yetu yanafikiliaha sana ndg zangu,tuishi kwa amani na tafakuri sana.
Kila ukoo na familia wana utaratibu wao. Kuna koo utarudishwa tu labda uzame baharini= yanafikirisha
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwanini asizikwe hukohuko alikofia?
lohKwa mara ya kwanza nashuhudia hili tukio kupitia picha hii.
View attachment 3149000
Leo utaondoka kwa ndege ukiwa daraja la kwanza (first class) ila na hatimaye kesho unarudi na ndege hiyo hiyo kama mzigo.
Haya maisha yetu yanafikiliaha sana ndg zangu,tuishi kwa amani na tafakuri sana.
Ninekuelewa na nnayafahamu sana hayo, lakini Waislam wengi, maiti zetu huzikwa palepale tuunapofia, sisemi wote, ni wachache sana wasiofata utaratibu huo lakini wapo.Kila ukoo na familia wana utaratibu wao. Kuna koo utarudishwa tu labda uzame baharini
Mungu mwema, naendelea vyema kabisa dada angu.Unaendeleaje kaka
Analazimishq watu wote wafate protocol za allah,ujinga kipaji.We binti yangu nawe unatego, kwani huoni hapo kuna typo zimemisi?
Issue ya kuzikwa uliposema, jamii yake na protokali zimegoma kuzikwa huko!.