Aliondolewa 2022, karudishwa tena 2024! I’m confused

Aliondolewa 2022, karudishwa tena 2024! I’m confused

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.
Hakuna tija yoyote ile inayopatikana kutokana na suala hili la Kuteua na Kutengua Mara kwa mara zaidi ya kuliangamiza Taifa kwa kufuja fedha za Kodi za Wananchi ili kugharamia teuzi hizi.

Aidha, kitendo cha Rais kufanya Uteuzi na Utenguzi wa Viongozi wa Serikali mara kwa mara kinaonyesha na kuthibitisha kwamba Rais huyo ni Dhaifu kupindukia hususani kwenye suala la kufanya Maamuzi sahihi na kwa wakati sahihi.

Hivi inawezekana vipi uwateue Watu kwenye nafasi za Uongozi halafu ndani ya kipindi kifupi kabisa Mfano ktk kipindi Cha miezi mitatu tu unatengua teuzi zao zote kabisa na kisha unawateua tena Watu wengine ambao nao pia uteuzi wao ulitengua siku chache zilizopita????? Hii inawezekanaje?????

Ina maana kabla ya kuwateua Watu hao alikuwa hajawachunguza kwa umakini ili kuona Kama wanafaa au la ????? Je, ina maana kwamba Rais amekuwa akifanya uteuzi wa Watu kwa kukurupuka bila ya kuwafanyia kwanza Vetting ya kutosha Watu hao????

Pia inaonyesha kwamba ndani ya Tiss kuna tatizo kubwa sana, hususani kwenye Kitengo Cha Kufanya Vetting za hawa Wateuliwa. Kuwepo kwa Teuzi za hovyo hovyo kama hizi ni reflection ya kuwepo kwa Watu wa hovyo hovyo ndani ya Mamlaka za Uteuzi hususani wale wanaofanya Mchakato wa Vetting za hawa Wateuliwa.
 
Unaweza kumtoa mtu, pahala ukadhani, yule na yule watu perform better zaidi, lakini ikawa viceversa, basi si dhambi kumrejesha yule ambaye alipamudu na kupatetea kwa vifungu vya sheria kikanuni!
Hmm….ingekuwa ni suala limetokea moja tu, si ishu.

Lakini ni suala linalojirudia rudia….

Kuna tatizo mahali.
 
Hmm….ingekuwa ni suala limetokea moja tu, si ishu.

Lakini ni suala linalojirudia rudia….

Kuna tatizo mahali.
Late jpm, alikuwa na watendaji wazuri kwa kiasi fulani, mf. Kalemani, huyu akirudishwa hakuna ubaya wowote, tena akapewa wizara/shirika pasua kichwa kama TTCL,endapo aliimudu Tanesco mbovu ya wakati ule, kipi kitamshinda?
 
Unaweza kumtoa mtu, pahala ukadhani, yule na yule watu perform better zaidi, lakini ikawa viceversa, basi si dhambi kumrejesha yule ambaye alipamudu na kupatetea kwa vifungu vya sheria kikanuni!
Sawa. Nae ishirini ishirini na tano tutatengua Urais wake. Baada ya miaka mitano tutafikiria namna ya kumrejesha tena. " muosha huoshwa".
 
Nadhani snaonekana kwamba ni mtu ambaye ataweza kurudisha Imani ya watu kwa Serikali.
Umeona jana Diaspora walikuwa wamekasirishwa sana na mambo yaliyotokea.
Hasa zile habari kwamba Sugu na Mnyika walilazwa kifudifudi ndani ya gari na kila walpojaribu kuinua kichwa walikanyagwa na mabuti ili wasitoroke.
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Waziri huyo huyo last time alitufanyia vituko, kutuletea vitu vya ajabu. Huu mfumo wa nchi una white wash mawaziri wanao under perform? Jaman mbona kuna pontential people kuliko hao watu ?
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Waulize tiss, unamuuliza Rais yeye ndiye anapanga..mbona huwa tunajitoa ufahamu lkn wakati ukweli wote unajulikana..!
 
Hakuna tija yoyote ile inayopatikana kutokana na suala hili la Kuteua na Kutengua Mara kwa mara zaidi ya kuliangamiza Taifa kwa kufuja fedha za Kodi za Wananchi ili kugharamia teuzi hizi.

Aidha, kitendo cha Rais kufanya Uteuzi na Utenguzi wa Viongozi wa Serikali mara kwa mara kinaonyesha na kuthibitisha kwamba Rais huyo ni Dhaifu kupindukia hususani kwenye suala la kufanya Maamuzi sahihi na kwa wakati sahihi.

Hivi inawezekana vipi uwateue Watu kwenye nafasi sa Uongozi halafu ndani ya kipindi kifupi kabisa Mfano ktk kipindi Cha miezi mitatu tu unatengua teuzi zao zote kabisa na kisha unawateua tena Watu wengine ambao nao pia uteuzi wao ulitengua siku chache zilizopita????? Hii inawezekanaje?????

Ina maana kabla ya kuwateua Watu hao alikuwa hajawachunguza kwa umakini ili kuona Kama wanafaa au la ????? Je, ina maana kwamba Rais amekuwa akifanya uteuzi wa Watu kwa kukurupuka bila ya kuwafanyia kwanza Vetting ya kutosha Watu hao????

Pia inaonyesha kwamba ndani ya Tiss kuna tatizo kubwa sana, hususani kwenye Kitengo Cha Kufanya Vetting za hawa Wateuliwa. Kuwepo kwa Teuzi za hovyo hovyo kama hizi ni reflection ya kuwepo kwa Watu wa hovyo hovyo ndani ya Mamlaka za Uteuzi hususani wale wanaofanya Mchakato wa Vetting za hawa Wateuliwa.
There you r..Tiss ndio tatizo..!
 
Back
Top Bottom