Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.
2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.
Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.
Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?
Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.
Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?
Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.
Mnaoelewa, nielewesheni.
Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.
Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.
Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?
Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.
Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?
Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.
Mnaoelewa, nielewesheni.
Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
