Aliondolewa 2022, karudishwa tena 2024! I’m confused

Aliondolewa 2022, karudishwa tena 2024! I’m confused

Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Fako2dako hioo
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Ni chizi pekee pamoja na machawa wa CCM MamaSamia2025 , Lucas Mwashambwa , ChoiceVariable , et al ndio wanaweza tu kuulewa huu uteuzi wa kiquma anaofanya chifu Hangaya kila kukicha. Sijawahi kuona teuzi na tenguzi za kipimbi kama hz tangu dunia ilivyoumbwa!
 
Nimeelewa hivi

Waliomshauri aondoe team mwendazake ndio hao hao wamemsaliti Sasa ameona wale wa zamani wanafaa kuliko wahuni waliojiuzulu!!

anarudisha Imani Kanda pendwa lakini amechelewa coz the damage is done!
 
Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.
Anafaa Sasa kwa sababu baadhi ya mambo yaliyofanyika wakati hayupo wizarani hasingeyaweza. Kwa sababu tayari yamefanyika Sasa anaweza kurudi. Ni jukumu lako kuyajua yaliyofanyika wakati Mh Waziri Kabudi hayupo wizarani.
 
Hakuna tija yoyote ile inayopatikana kutokana na suala hili la Kuteua na Kutengua Mara kwa mara zaidi ya kuliangamiza Taifa kwa kufuja fedha za Kodi za Wananchi ili kugharamia teuzi hizi.

Aidha, kitendo cha Rais kufanya Uteuzi na Utenguzi wa Viongozi wa Serikali mara kwa mara kinaonyesha na kuthibitisha kwamba Rais huyo ni Dhaifu kupindukia hususani kwenye suala la kufanya Maamuzi sahihi na kwa wakati sahihi.

Hivi inawezekana vipi uwateue Watu kwenye nafasi sa Uongozi halafu ndani ya kipindi kifupi kabisa Mfano ktk kipindi Cha miezi mitatu tu unatengua teuzi zao zote kabisa na kisha unawateua tena Watu wengine ambao nao pia uteuzi wao ulitengua siku chache zilizopita????? Hii inawezekanaje?????

Ina maana kabla ya kuwateua Watu hao alikuwa hajawachunguza kwa umakini ili kuona Kama wanafaa au la ????? Je, ina maana kwamba Rais amekuwa akifanya uteuzi wa Watu kwa kukurupuka bila ya kuwafanyia kwanza Vetting ya kutosha Watu hao????

Pia inaonyesha kwamba ndani ya Tiss kuna tatizo kubwa sana, hususani kwenye Kitengo Cha Kufanya Vetting za hawa Wateuliwa. Kuwepo kwa Teuzi za hovyo hovyo kama hizi ni reflection ya kuwepo kwa Watu wa hovyo hovyo ndani ya Mamlaka za Uteuzi hususani wale wanaofanya Mchakato wa Vetting za hawa Wateuliwa.
Mkuu umemaliza kila kitu. Ambaye hatakuelewa tu ni chawa na toilet paper ya CCM na serikali yake.
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Simply a Failed office. CCM ina wanachana Hai zaidi ya milioni 20 then you Keep recycling kikundi cha Watu 20.
 
Sasa hivi wanarudishwa watu ili kuweka mazingira ya 2025 kwenye mipango ya Chama ndio maana alianza kuwatoa wale wadogo wawili ambao wanaweza kuwa na kundi ndani ya Chama na kuwaleta watu ambao wabadhani hawawezi kuwa na makundi kwa hali ilipofikia hata adui atateuliwa ili mradi tu aweze kupata kiapo cha 2025 na wakishinda kwa kishindo kama Kagame anatemwa tena...
 
Sasa hivi wanarudishwa watu ili kuweka mazingira ya 2025 kwenye mipango ya Chama ndio maana alianza kuwatoa wale wadogo wawili ambao wanaweza kuwa na kundi ndani ya Chama na kuwaleta watu ambao wabadhani hawawezi kuwa na makundi kwa hali ilipofikia hata adui atateuliwa ili mradi tu aweze kupata kiapo cha 2025 na wakishinda kwa kishindo kama Kagame anatemwa tena...
Anawaleta karibu sukuma gang ili aweze kuwamonitor kwa karibu. Wale wazee kuwa huru ilikua hatari sana kuelekea 2025.
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Ulishasema humú kuwa kazi anayoipenda ni kuteua na kutengua! Please allow her to enjoy herself. She is showing how incompetent and confused she is now. She need Loyal people's to her,no more no less
 
Anawaleta karibu sukuma gang ili aweze kuwamonitor kwa karibu. Wale wazee kuwa huru ilikua hatari sana kuelekea 2025.
Sasa hivi hawa aliokua nao nao wanautamani Urais na taarifa nyingi zinapatikana kwa walio nje kwa hiyo wanaletwa ili kuwa wapinzani wa wale wanae aliowaamini hapo mwanzo..
 
Wahuni kina Nape walikuwa wanamdanganya sana chura kiziwi!

Sasa hivi kqtambua ukweli
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Hana anachoweza kuvuta attention zaidi ya habari za kuonekana ameteua au kutengua tyu. Mimi nimeshaachaga hata kufatilia hizi habari za uteuzi naona michosho tu after 1 month you will hear again the same same pple have been discarded
 
Late jpm, alikuwa na watendaji wazuri kwa kiasi fulani, mf. Kalemani, huyu akirudishwa hakuna ubaya wowote, tena akapewa wizara/shirika pasua kichwa kama TTCL,endapo aliimudu Tanesco mbovu ya wakati ule, kipi kitamshinda?
Kalemani alifeli TANESCO. Prof. Muhongo ndiye aliyefanikiwa kupunguza uzembe na madudu ya jabu pale TANESCO.
 
Back
Top Bottom