Aliondolewa 2022, karudishwa tena 2024! I’m confused

Aliondolewa 2022, karudishwa tena 2024! I’m confused

Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Mfa maji hujishika hata kwenye unyasi
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Hii inaonesha aliyeteuliwa badala yake ameshindwa hiyo wizara na kuonekana wakati wa Kabudi ndo palikuwa na unafuu mkubwa
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Sasa wewe huamini mambo ya ndumba sisi tutakueleweshaje.?
 
Hakuna tija yoyote ile inayopatikana kutokana na suala hili la Kuteua na Kutengua Mara kwa mara zaidi ya kuliangamiza Taifa kwa kufuja fedha za Kodi za Wananchi ili kugharamia teuzi hizi.

Aidha, kitendo cha Rais kufanya Uteuzi na Utenguzi wa Viongozi wa Serikali mara kwa mara kinaonyesha na kuthibitisha kwamba Rais huyo ni Dhaifu kupindukia hususani kwenye suala la kufanya Maamuzi sahihi na kwa wakati sahihi.

Hivi inawezekana vipi uwateue Watu kwenye nafasi sa Uongozi halafu ndani ya kipindi kifupi kabisa Mfano ktk kipindi Cha miezi mitatu tu unatengua teuzi zao zote kabisa na kisha unawateua tena Watu wengine ambao nao pia uteuzi wao ulitengua siku chache zilizopita????? Hii inawezekanaje?????

Ina maana kabla ya kuwateua Watu hao alikuwa hajawachunguza kwa umakini ili kuona Kama wanafaa au la ????? Je, ina maana kwamba Rais amekuwa akifanya uteuzi wa Watu kwa kukurupuka bila ya kuwafanyia kwanza Vetting ya kutosha Watu hao????

Pia inaonyesha kwamba ndani ya Tiss kuna tatizo kubwa sana, hususani kwenye Kitengo Cha Kufanya Vetting za hawa Wateuliwa. Kuwepo kwa Teuzi za hovyo hovyo kama hizi ni reflection ya kuwepo kwa Watu wa hovyo hovyo ndani ya Mamlaka za Uteuzi hususani wale wanaofanya Mchakato wa Vetting za hawa Wateuliwa.
Tija zipo Kisiasa wewe huwezi elewa
 
Hakuna tija yoyote ile inayopatikana kutokana na suala hili la Kuteua na Kutengua Mara kwa mara zaidi ya kuliangamiza Taifa kwa kufuja fedha za Kodi za Wananchi ili kugharamia teuzi hizi.

Aidha, kitendo cha Rais kufanya Uteuzi na Utenguzi wa Viongozi wa Serikali mara kwa mara kinaonyesha na kuthibitisha kwamba Rais huyo ni Dhaifu kupindukia hususani kwenye suala la kufanya Maamuzi sahihi na kwa wakati sahihi.

Hivi inawezekana vipi uwateue Watu kwenye nafasi sa Uongozi halafu ndani ya kipindi kifupi kabisa Mfano ktk kipindi Cha miezi mitatu tu unatengua teuzi zao zote kabisa na kisha unawateua tena Watu wengine ambao nao pia uteuzi wao ulitengua siku chache zilizopita????? Hii inawezekanaje?????

Ina maana kabla ya kuwateua Watu hao alikuwa hajawachunguza kwa umakini ili kuona Kama wanafaa au la ????? Je, ina maana kwamba Rais amekuwa akifanya uteuzi wa Watu kwa kukurupuka bila ya kuwafanyia kwanza Vetting ya kutosha Watu hao????

Pia inaonyesha kwamba ndani ya Tiss kuna tatizo kubwa sana, hususani kwenye Kitengo Cha Kufanya Vetting za hawa Wateuliwa. Kuwepo kwa Teuzi za hovyo hovyo kama hizi ni reflection ya kuwepo kwa Watu wa hovyo hovyo ndani ya Mamlaka za Uteuzi hususani wale wanaofanya Mchakato wa Vetting za hawa Wateuliwa.
Changamoto kubwa ccm hakuna wabunge wenye credibility kwenye masuala ya uongozi unawalaumu watu wa kufanya vetting bure . Chama kina wabunge zaidi ya mia tatu ila ukitaka kuteua waziri unakosa , hii ni aibu kubwa sana
 
Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?
Sababu aliyoitaja siku Kabudi na Lukuvi wanaondolewa ilikuwa umri mkubwa. Labda kwa mtazamo wa mh rais, umri wao miaka miwili waliyokuwa nje umesonga nyuma badala ya kusonga mbele.
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Jambo ni lile lile! Kucheza na akili za wadanganyika baada ya tukio la afande Awadh Ili kuwasahaulisha,mbaki kuzungumzia teuzi.
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Wanasema eti kwa sasa remote control haifanyi kazi tena imeharibika !
 
Ni wazi kwqmba wanaopewa madaraka wana uwezo mdogo wa kada wanazopewa...

Sina uhakika anayewapa madaraka anakuwa na visions gani na namna gani anawasaidia (coaching) aliowapa madaraka kutimiza visions zake...

Kwa kawaida tu, failure ya waziri maana yake ni failure ya kiongozi wake pia...
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Huyu maza anahangaika sana, hajui alifanyalo
 
Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021.

2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara.

Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria.

Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye?

Kama Kabudi aliondolewa kwenye hiyo wizara hiyo 2022, maana yake ni kwamba hakufaa.

Nini kilichobadilika toka hiyo 2022 mpaka kupelekea yeye kurudishwa tena?

Oh well, labda ni mimi tu na hii elimu yangu ya fom foo ndo sielewi kinachoendelea.

Mnaoelewa, nielewesheni.

Pia soma:News Alert: - Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Wanakula Kwa zamu.Hata nape na January watateulwa tea kabla ya uchaguzi kuu2025
 
Back
Top Bottom