Aliotuingizia mchele-kande kwa kibali cha kutuletea mchele alaaniwe!

Aliotuingizia mchele-kande kwa kibali cha kutuletea mchele alaaniwe!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Upo mchele ambao umeingia katika soko la nchi yetu ni msafi kweli lakini kwa hakika huu sidhani kama ni mchele maana hauna ladha, haukolei mafuta, unaumiza tumbo,mnaopewa tenda za vyakula ndugu zanguni muwe mnaangalia vitu vya kuwaletea Tanzania, sijui wengine mmewahi kudadisi hili? (kuna baadhi ya maeneo wanauita mchele wa Samia) jina ambalo sidhani kama ni sahihi sana,na huwa unauzwa kati ya 2600-2700,madukani.
600925-rice.jpg
IMG_20230507_070925_505.jpg
 
Upo mchele ambao umeingia katika soko la nchi yetu ni msafi kweli lakini kwa hakika huu sidhani kama ni mchele maana hauna ladha, haukolei mafuta, unaumiza tumbo,mnaopewa tenda za vyakula ndugu zanguni muwe mnaangalia vitu vya kuwaletea Tanzania, sijui wengine mmewahi kudadisi hili? (kuna baadhi ya maeneo wanauita mchele wa Samia) jina ambalo sidhani kama ni sahihi sana,na huwa unauzwa kati ya 2600-2700,madukani.View attachment 2612770
Inabidi ukiupika uunge na mbilimbi, pilipili, vitunguu na mdalasini ili kupata ladha
 
Mlitegemea mtapata Mchele kama wa Sumbawanga kutoka Nje hapo walikua wanatengeneza mazingira ya kupiga pesa tuu ila sio swala la kufikiria Walaji wa hicho chakula...TBS huwa sijui wanafanya nini na vitu karibu vyote vinaingia kwa vibali vyao ila ukija kuona hivyo vitu vyenyewe sasa hata kwa macho hutoi kibali wao utawakuta na Laptop za kutosha upigaji tuu hakuna lolote...
 
Wahusika na ukaguzi wa vyakula vinavyoingizwa nchini wapo likizo labda.Ila kwa mchele huu tumelishwa "plastic rice".
 
Back
Top Bottom