Aliotuingizia mchele-kande kwa kibali cha kutuletea mchele alaaniwe!

Aliotuingizia mchele-kande kwa kibali cha kutuletea mchele alaaniwe!

Kaka yangu anaishi Dar lakini mchele ananunua mashineni. Kalagabaho
Labda Kama huyo Kaka ako yupo karibu na mashine. Lkn kwa Dar mashine za mpunga Kama zipo basi ni chache sana. Huku sio kyela ndugu. Eti kuwa na mashine kila mtaa.
Huku mashine mtaani wanajaa Wanawake kusaga unga wa lishe wa watoto.
 
Labda Kama huyo Kaka ako yupo karibu na mashine. Lkn kwa Dar mashine za mpunga Kama zipo basi ni chache sana. Huku sio kyela ndugu. Eti kuwa na mashine kila mtaa.
Huku mashine mtaani wanajaa Wanawake kusaga unga wa lishe wa watoto.
Nenda manzese Acha ujinga mbona mashine zimejaa

Kawe kuna machine kibao ... Bunju mashine kibao

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kwani hamna mamlaka za ubora kwa ajili ya kutoa taarifa ya vitu tunavyohisi vina ubora hafifu?
 
Niko Morogoro Unaitwa Kwa Jina Hilo Ila Walioutumia Wanasema Haufai Kwa Matumizi Na Ni Muda Upo Nchini Mamlaka Kimya Hazisemi Lolote
Na wakiona taarifa imesambaa sana. Watakavhofanya ni kuja kukanusha tu
 
Ukiona aukufai kuna wengine utawafaa mnooo. We achana nao tu
 
Chele La Mama Nusu Na Robo Linajaa Jabaa
Haa Haa Chele Kuvimba Lakini Haliliki Kamwe
 
Vp wananchi tulihtaji mchele wowote kutoka nje? Its obvious hyo ilikua hole ya wao kujipgia pesa flani. Ndo mnasemaga bashe ni genious!!?
 
Vp wananchi tulihtaji mchele wowote kutoka nje? Its obvious hyo ilikua hole ya wao kujipgia pesa flani. Ndo mnasemaga bashe ni genious!!?
Nchi zote duniani anaekula chakula bora ni mkulima tu na ndio mana huo mchele feki unaotoka nje upo hapa dar tu huwezi kuukuta Kyela ama mbarali
 
Duhhh huo Mchele ni ukwl upo hausikii mafuta Wala kitunguu thomu hata kande Zina ladha ....nimewahi kukutana nao ni msafi sana kisura ila ukiupika Haina harufu Wala taste yoyote.....yaan kama nahisi Mchele ule tulikuwa tunaita Thailand na kitumbo una nafuuu....hebu mamlaka husika hili nalo mkalitizame,[emoji3166]sijui kama Bashe ana taarifa yoyote hebu likatizwamwe[emoji854]
 
Back
Top Bottom