Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ambao tupo mbaliMchele nunua mashineni
Huku mijini machine za kukoboa mchele ni issue, na wafanyabiashara kwa sasa wamebuni njia mpya wanachanganya na original,colabo laki si mchezo!Mchele nunua mashineni
Bora ufe na njaa tu kuliko mchele mwengine.Ambao tupo mbali
Kwa mfano Dar mashine ya kukoboa mpunga utaiona wapi?Mchele nunua mashineni
Hajui Anageneralised MamboKwa mfano Dar mashine ya kukoboa mpunga utaiona wapi?
Mchele wenyewe wengine tunanunua nusu na robo😂😂😂😂
Nimejalibu kuupika lakn dah mchele kilo mafuta lita moja
Hahaha, nusu na robo watu wa dar ndo kiswahili Chao.Kwa mfano Dar mashine ya kukoboa mpunga utaiona wapi?
Mchele wenyewe wengine tunanunua nusu na robo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani umelazimishwa kununua? Wabongo mna matatizo gani?Upo mchele ambao umeingia katika soko la nchi yetu ni msafi kweli lakini kwa hakika huu sidhani kama ni mchele maana hauna ladha, haukolei mafuta, unaumiza tumbo,mnaopewa tenda za vyakula ndugu zanguni muwe mnaangalia vitu vya kuwaletea Tanzania, sijui wengine mmewahi kudadisi hili? (kuna baadhi ya maeneo wanauita mchele wa Samia) jina ambalo sidhani kama ni sahihi sana,na huwa unauzwa kati ya 2600-2700,madukani.View attachment 2612770View attachment 2612791
Yaelekea wewe ni mbinafsi na hujali wala kuthamini afya za umma wa watanzania.Kwani umelazimishwa kununua? Wabongo mna matatizo gani?
°Fresh tunauza nje, tunaagiza mbovu ndio tunakula sisi. 😇😇😇Kama mnaruhusu mchele wetu uuzwe nje wakati ndani hatujitoshelezi, mwategemea nini?