Alipoingia alisema hataki 'Mabango' sasa Kazoea Utamu wa 'Mercedes Benz' anasema yakusanywe yote ili yafanyiwe Kazi je, tumueleweje?

Alipoingia alisema hataki 'Mabango' sasa Kazoea Utamu wa 'Mercedes Benz' anasema yakusanywe yote ili yafanyiwe Kazi je, tumueleweje?

Nimehisi hiyo hali imemtokea kulingana na eneo alilokwenda, linafahamika kiuhalisia ni ngome ya upinzani, hivyo ameona bora awe mpole ili akibebe chama chake na yeye binafsi kwa ajili ya 2025.
Moshi siyo ngome ya upinzani.

Upinzani wa kweli uko Pemba!
 
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Unafiki na Mtu kupenda Kukurupuka bila ya Kwanza Kushirikisha Halmashauri yake ya Ubongo, Kichwa na Akili pia.

Hata hivyo sishangai sana kwani ndiyo maana hata Juzi Nyerere Day Shada la Maua limewekwa Chato Mkoani Geita kwa aliyekufa tarehe 17 Machi 2021 badala ya kuweka Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shujaa wa Taifa aliyekufa tarehe 14 Oktoba 1999.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu hivyo tuvumiliane tu na ukitaka GENTAMYCINE asiwe anakukosoa sana hapa JamiiForums hakikisha unafanya Mambo yenye Akili ns siyo yenye Akili za Kunywa Wine ( Mvinyo ) kila mara tu.
Chato walikwenda kuzima upepo wa jpm kupitia mwenge
 
Nimehisi hiyo hali imemtokea kulingana na eneo alilokwenda, linafahamika kiuhalisia ni ngome ya upinzani, hivyo ameona bora awe mpole ili akibebe chama chake na yeye binafsi kwa ajili ya 2025.
Huu ndiyo Unafiki na Upumbavu nisioutaka GENTAMYCINE Mimi.
 
Umeanza kichwa cha habari vizuri umeharibu uliposema maua kuwekwa Chato.Hakuna asiyejua juhudi zilizofanywa na JPM katika harakati za maendeleo kwa nchi hii na Afrika kiujumla.Nadhani hata Nyerere huko alipo alifurahi sana na angependa miaka yote shughuli za Mwenge zihitimishwe Chato,Kwa heshima ya shujaa mwenzake wa Afrika.
Damn Fool....!!
 
Mimi sitaacha kushangaa..HUWEZI KUNYAMAZISHA NGUVU YA UMMA, wananchi si wajinga. Huwezi ukawaambia waandike mabango ya kusifia tu wakati wao wanateseka. Tatizo letu sisi masikini siku tukipata tunajisahau tunaanza dharau. Mabango ni sehemu ndogo sana ya ujumbe wa wananchi kwa kiongozi, kama kiongozi unashindwa kusoma hata huo ujumbe mchache basi hautufai.

Nimesikia mtu akitangazia wanawake wajiandae kuweka Rais wao 2025, baadae nikasikia mara viatu vya mtangulizi wake ni vikubwa mno hawezi kuvivaa...maana mtangulizi alikuwa shupavu na jasiri. Sasa najiuliza huyu anataka avae sandozi za wazi tusijue size ya viatu vyake 2025..kweli atatufaa huyu...au tuendelee kuishi kwa akili na hawa viumbe (tutawaliwe kwa akili na hawa viumbe kwakweli)
 
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Unafiki na Mtu kupenda Kukurupuka bila ya Kwanza Kushirikisha Halmashauri yake ya Ubongo, Kichwa na Akili pia.

Hata hivyo sishangai sana kwani ndiyo maana hata Juzi Nyerere Day Shada la Maua limewekwa Chato Mkoani Geita kwa aliyekufa tarehe 17 Machi 2021 badala ya kuweka Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shujaa wa Taifa aliyekufa tarehe 14 Oktoba 1999.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu hivyo tuvumiliane tu na ukitaka GENTAMYCINE asiwe anakukosoa sana hapa JamiiForums hakikisha unafanya Mambo yenye Akili ns siyo yenye Akili za Kunywa Wine ( Mvinyo ) kila mara tu.
Na kumbe "kuyafanyia kazi mabango" ni kuyachoma moto. Mama ni msanii hakuna mfano
 
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Unafiki na Mtu kupenda Kukurupuka bila ya Kwanza Kushirikisha Halmashauri yake ya Ubongo, Kichwa na Akili pia.

Hata hivyo sishangai sana kwani ndiyo maana hata Juzi Nyerere Day Shada la Maua limewekwa Chato Mkoani Geita kwa aliyekufa tarehe 17 Machi 2021 badala ya kuweka Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shujaa wa Taifa aliyekufa tarehe 14 Oktoba 1999.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu hivyo tuvumiliane tu na ukitaka GENTAMYCINE asiwe anakukosoa sana hapa JamiiForums hakikisha unafanya Mambo yenye Akili ns siyo yenye Akili za Kunywa Wine ( Mvinyo ) kila mara tu.
Wakati anaanza alikuwa na ulinzi wa kawaida sn, now days ni zaidi ya Rais wa Marekani yaani hata waliompa hicho cheo hawaamini tena
 
Mimi sitaacha kushangaa..HUWEZI KUNYAMAZISHA NGUVU YA UMMA, wananchi si wajinga. Huwezi ukawaambia waandike mabango ya kusifia tu wakati wao wanateseka. Tatizo letu sisi masikini siku tukipata tunajisahau tunaanza dharau. Mabango ni sehemu ndogo sana ya ujumbe wa wananchi kwa kiongozi, kama kiongozi unashindwa kusoma hata huo ujumbe mchache basi hautufai.

Nimesikia mtu akitangazia wanawake wajiandae kuweka Rais wao 2025, baadae nikasikia mara viatu vya mtangulizi wake ni vikubwa mno hawezi kuvivaa...maana mtangulizi alikuwa shupavu na jasiri. Sasa najiuliza huyu anataka avae sandozi za wazi tusijue size ya viatu vyake 2025..kweli atatufaa huyu...au tuendelee kuishi kwa akili na hawa viumbe (tutawaliwe kwa akili na hawa viumbe kwakweli)
Hafai hata kidogo ni wa kumuondoa haraka sn
 
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Unafiki na Mtu kupenda Kukurupuka bila ya Kwanza Kushirikisha Halmashauri yake ya Ubongo, Kichwa na Akili pia.

Hata hivyo sishangai sana kwani ndiyo maana hata Juzi Nyerere Day Shada la Maua limewekwa Chato Mkoani Geita kwa aliyekufa tarehe 17 Machi 2021 badala ya kuweka Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shujaa wa Taifa aliyekufa tarehe 14 Oktoba 1999.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu hivyo tuvumiliane tu na ukitaka GENTAMYCINE asiwe anakukosoa sana hapa JamiiForums hakikisha unafanya Mambo yenye Akili ns siyo yenye Akili za Kunywa Wine ( Mvinyo ) kila mara tu.
Acha uongo hakuseme hataki mabango
 
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Unafiki na Mtu kupenda Kukurupuka bila ya Kwanza Kushirikisha Halmashauri yake ya Ubongo, Kichwa na Akili pia.

Hata hivyo sishangai sana kwani ndiyo maana hata Juzi Nyerere Day Shada la Maua limewekwa Chato Mkoani Geita kwa aliyekufa tarehe 17 Machi 2021 badala ya kuweka Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shujaa wa Taifa aliyekufa tarehe 14 Oktoba 1999.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu hivyo tuvumiliane tu na ukitaka GENTAMYCINE asiwe anakukosoa sana hapa JamiiForums hakikisha unafanya Mambo yenye Akili ns siyo yenye Akili za Kunywa Wine ( Mvinyo ) kila mara tu.
Acha uongo samia hakusema hataki mabango,alichosema akiona mabango basi hao viongozi wa maeneo hayo kazi hawawezi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Nimehisi hiyo hali imemtokea kulingana na eneo alilokwenda, linafahamika kiuhalisia ni ngome ya upinzani, hivyo ameona bora awe mpole ili akibebe chama chake na yeye binafsi kwa ajili ya 2025.
Mama ana flexibility hayupo #RIGID
 
Back
Top Bottom